NIDA Yaaswa Kuongeza Kasi Utoaji Huduma kwa Wawekezaji

……… Na Mwandishi wetu – Zanzibar Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ameitaka Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kuongeza kasi katika utoaji wa huduma kwa wawekezaji ambao wanaingia Zanzibar kwa shughuli za uwekezaji. Ameyasema hayo Januari 19, 2026 alipokuwa akipokea taarifa ya utekelezaji wa shughuli za NIDA kutoka kwa…

Read More

Bruce Melodie agonga kolabo na Diamond Platnumz

Last updated Jan 19, 2026 Na MWANDISHI WETUMSANII wa muziki nchini Rwanda, Bruce Melodie ametoa kibao kikali kinachokwenda kwa jina la POM POM. Katika wimbo huo, Bruce Melodie amepiga kolabo na wasanii wakali Afrika, Diamond Platnumz kutoka hapa Bongo na Joel Brown wa Nigeria. Kazi hii iliyotolewa na 1:55 AM Entertainment, ni mchanganyiko wa…

Read More

WAZIRI PAUL MAKONDA AKUTANA RAIS WA CAF DKT MOTSEPE

………………….. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Paul Christian Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Kandanda Barani Afrika (CAF) Dkt. Patrice Motsepe Jijini Rabat, Morocco na kukabidhi barua kutoka kwa Rais Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Pamoja na kukabidhi barua hiyo Mheshimiwa Makonda aliyeongozana na…

Read More

Mzee: Chadema ndio chama halisi cha upinzani

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar, Said Mzee amesema kutokana na misingi ya chama hicho, hakuna mtu anayeweza kukinyooshea kidole kwamba kinafungamana na chama kingine cha siasa. Amesema hakuna mtu anayeweza kusema Chadema ni CCM B, washirika wa ACT Wazalendo au Chama cha Wananchi (CUF). Mzee ametoa kauli…

Read More

Wanaodaiwa kutakatisha Sh346 milioni za CRDB, NBC wamwangukia DPP

Dar es Salaam. Raia wa Bulgaria, Eduardl Mladenov (32) na Mtanzania Juma Ndambile (58) wanaodaiwa kujihusisha na miamala ya kutoa fedha katika Benki za CRDB na NBC, wamemuandikia barua Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), wakiomba kufanya majadiliano ya kukiri makosa (plea bargaining) ili kuimaliza kesi inayowakabili. Washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka sita, yakiwamo ya kuongoza genge…

Read More