Yona, Yanga dili limekwama hapa
LICHA ya dau zuri alilowekewa mezani na Yanga ili kuvaa jezi ya njano na kijani msimu huu, kipa wa Pamba Jiji, Yona Amos ameshindwa kujiunga na timu hiyo huku ikielezwa ameukwepa mziki wa Djigui Diarra. …
LICHA ya dau zuri alilowekewa mezani na Yanga ili kuvaa jezi ya njano na kijani msimu huu, kipa wa Pamba Jiji, Yona Amos ameshindwa kujiunga na timu hiyo huku ikielezwa ameukwepa mziki wa Djigui Diarra. …
……… Na Mwandishi wetu – Zanzibar Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar ameitaka Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) kuongeza kasi katika utoaji wa huduma kwa wawekezaji ambao wanaingia Zanzibar kwa shughuli za uwekezaji. Ameyasema hayo Januari 19, 2026 alipokuwa akipokea taarifa ya utekelezaji wa shughuli za NIDA kutoka kwa…
::::::::: Kanisa la Mlima wa Moto Tanzania limesema linatarajia kufanya maombezi maalum ya kuliombea Taifa la Tanzania kupitia Kongamano la Neno la Mungu lililopewa jina la *Anza Mwaka na Bwana*. Akizungumza na waandishi wa habari katika Kanisa la Mlima wa Moto lililopo Mikocheni B jijini Dar es Salaam, Mchungaji Samwel Hillary, ambaye ni mjumbe wa…
Last updated Jan 19, 2026 Na MWANDISHI WETUMSANII wa muziki nchini Rwanda, Bruce Melodie ametoa kibao kikali kinachokwenda kwa jina la POM POM. Katika wimbo huo, Bruce Melodie amepiga kolabo na wasanii wakali Afrika, Diamond Platnumz kutoka hapa Bongo na Joel Brown wa Nigeria. Kazi hii iliyotolewa na 1:55 AM Entertainment, ni mchanganyiko wa…
Tanga. Wizara ya Fedha imesema inaendelea kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha ifikapo mwaka 2030, angalau asilimia 80 ya Watanzania wanakuwa wamepata elimu ya fedha, ikilinganishwa na asilimia 53.5 ya sasa kwa mujibu wa Utafiti wa FinScope wa mwaka 2023. Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Kamishna wa Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha, Dionisia Mjema, wakati…
………………….. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Paul Christian Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Kandanda Barani Afrika (CAF) Dkt. Patrice Motsepe Jijini Rabat, Morocco na kukabidhi barua kutoka kwa Rais Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan. Pamoja na kukabidhi barua hiyo Mheshimiwa Makonda aliyeongozana na…
Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar, Said Mzee amesema kutokana na misingi ya chama hicho, hakuna mtu anayeweza kukinyooshea kidole kwamba kinafungamana na chama kingine cha siasa. Amesema hakuna mtu anayeweza kusema Chadema ni CCM B, washirika wa ACT Wazalendo au Chama cha Wananchi (CUF). Mzee ametoa kauli…
Mhandisi wa Miradi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Mhandisi Edwin akizungumza na waandishi wa habari leo Januari 19, 2026 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga **#Rais Samia Aendelea Kuimarisha Miundombinu #Reli ya Kati kuboreshwa kwa Kiwango Kikubwa #Mabwawa, Madaraja kujengwa #Kutoka Makontena 400 Hadi 6,000 # Serikali yatoa Onyo Kali kwa Wahujumu…
Dar es Salaam. Raia wa Bulgaria, Eduardl Mladenov (32) na Mtanzania Juma Ndambile (58) wanaodaiwa kujihusisha na miamala ya kutoa fedha katika Benki za CRDB na NBC, wamemuandikia barua Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), wakiomba kufanya majadiliano ya kukiri makosa (plea bargaining) ili kuimaliza kesi inayowakabili. Washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka sita, yakiwamo ya kuongoza genge…
*Ni baada ya kukutana na kufanya naye mazungumzo nchini Norocco *Amwambi Rais Samia yupo tayari kushirikiana na CAF kutekeleza mipango ya maendeleo ya soka Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Paul Christian Makonda amekutana na Rais wa Shirikisho la Kandanda Barani Afrika (CAF) Dkt. Patrice Motsepe Jijini Rabat, Morocco na kukabidhi…