KWIMBA WAISHUKURU TAASISI YA DORIS MOLLEL KUJENGA JENGO LA KISASA LA KIMATAIFA KUHUDUMIA WATOTO NJITI

Na Mwandishi Wetu,Kwimba WANANCHI wa Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza wameishukuru Taasisi ya Doris Mollel (Doris Mollel Foundation) kwa kuleta mabadiliko makubwa katika Wilaya hiyo baada ya kufadhili na kusimamia ujenzi wa jengo la kisasa la Kimataifa la kuwahudumia Watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (njiti). Jengo hilo limejengwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kwimba, ambapo…

Read More

Mahakama itakavyomua hatima kesi ya uhaini wa Lissu leo

‎Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, leo inatarajiwa kutoa uamuzi wa pingamizi la usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ambao utaamua hatima ya kesi hiyo. Uamuzi huo unatarajiwa kutolewa leo Jumatatu, Septemba 15, 2025 na jopo la majaji watatu waliopangwa kusikiliza…

Read More

Jinsi UNDP na Washirika wa Kimataifa Wanakabiliana na Sababu za Mizizi ya Misimamo mikali katika Mipaka ya Ghana – Masuala ya Ulimwenguni

Upatikanaji wa vifaa vilivyoboreshwa vya kusindika shea unasaidia wanawake kaskazini mwa Ghana kuboresha maisha na kuchangia katika jamii zenye amani na ustahimilivu. Credit: UNDP Ghana Maoni na Sifa Nutakor (umoja wa mataifa) Jumanne, Machi 03, 2026 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Machi 3 (IPS) – Katika mipaka ya dunia ambayo ni tete ambapo ukosefu…

Read More

CCM yashinda kiti cha udiwani Shiwinga

Mbozi. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka na ushindi katika uchaguzi mdogo wa udiwani wa Kata ya Shiwinga Jimbo la Mbozi mkoani Songwe, baada ya mgombea wake, Menard Mzumbwe kupata kura 5,030 kati ya kura halali 5,210 zilizopigwa. Uchaguzi huo umefanyika leo Alhamisi, Februari 26, 2026. Akitangaza matokeo rasmi msimamizi wa uchaguzi wa Kata ya Shiwinga,…

Read More

Ndugu waliombaka mwanamke kwa zamu watupwa jela maisha

Mbeya. Yametimia. Hii ni baada ya Mahakama ya Rufani Tanzania kubariki adhabu ya kifungo cha maisha jela kwa ndugu wawili wa kuzaliwa, waliotiwa hatiani kwa kosa la kumbaka kwa zamu mwanamke mwenye umri wa miaka 48. Kwa hukumu hiyo ya Mahakama ya Rufani, ndugu hao wawili, Furaha Mwasumbe na Nwaka Mwasumbe, wamefikia mwisho wa kupigania…

Read More

Simba, Azam moto wa CAF umewashwa

JANA Yanga na Singida Black Stars zilikamilisha vibarua vya mechi za marudiano katika michuano ya kimataifa, lakini leo ni zamu ya Simba na Azam.Timu hizo zinaingia uwanjani zikiwa na mtaji wa ushindi baada ya kufanya vizuri wikiendi iliyopita zikiwa ugenini ambapo pia hazikuruhusu mabao.Simba inayoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika inaikaribisha Gaborone United kwenye Uwanja wa…

Read More