Waziri Mkuu abaini dosari Nkasi, aagiza uchunguzi
Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amebaini viashiria vya ubadhirifu wa fedha katika ujenzi wa mabweni ya Shule ya Sekondari ya Chala, Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa unaogharimu Sh310 milioni huku akiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuanza uchunguzi. Dk Mwigulu amehoji inakuaje mradi ambao bado haujaisha unapata nyufa na…