Haya ndiyo machungu wanayopitia wanawake maishani

Acha niwape ‘story’ ya yanayomsibu mwanamke. Ninapogombana na mwanaume, anaponipiga makofi, kunikata na visu, kunipiga na mabapa ya panga hata kunitishia kunichoma na bisibisi, dunia nzima itanishikia kiuno. Wengi wakiwamo wanawake wenzangu watanyanyua midomo yao juu kama chuchunge bila kujua ninachopitia na mahakimu wasiosomea watatoa hukumu zao kwamba mimi ndio tatizo na kwa yaliyonikuta ni…

Read More

Waliokatwa Soko la Kariakoo waandamana ofisi za CCM Lumumba

Dar es Salaam. Wafanyabiashara zaidi ya 800 wanaodai majina yao hayamo kwenye orodha ya watakaorejea katika Soko la Kariakoo jijini Dar es Salaam, wamekusanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja kujiorodhesha, kisha wakaandamana kwenda ofisi za CCM Lumumba kulalamika. Wafanyabiashara hao ni miongoni mwa waliohamishiwa kwenye masoko mbalimbali baada ya kuungua Soko la Kariakoo, kupisha ukarabati…

Read More

Marefa hawa kuamua mechi za Yanga, Simba kimataifa

Marefa kutoka Guinea na Mauritania ndio wamepangwa kuchezesha mechi za nyumbani za wawakilishi wa Tanzania Simba na Yanga katika mechi zao za marudiano za raundi ya pili ya mashindano ya klabu Afrika. Mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Simba dhidi ya Al Ahly Tripoli utachezeshwa na refa Abdoulaye Manet kutoka Guinea mwenye umri…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Pafukapo moshi ujue pana moto

Siku moja nilidamka kwenda kwenye harakati zangu za kawaida. Lakini kabla sijatoa mguu wangu nje, mvua ikanya. Nikatoka lakini baada ya kujiandaa na mwavuli na viatu vya mvua. Nilipofika mjini hali ilikuwa tofauti kabisa na ile niliyoachana nayo nyumbani; jua lilikuwa kali na hakukuwa na dalili yoyote ya mvua. Hii ndiyo Dar es Salaam ambako…

Read More

TANZANIA NA CHINA ZASISITIZA KUKUZA USHIRIKIANO

Serikali ya Tanzania na China zimesisitiza kuongeza ushirikiano wa kimaendeleo kupitia ziara mbalimbali zinazofanywa na viongozi wa juu wa pande zote mbili ili kuimarisha ushirikiano wa kihistoria na kidiplomasia ulioasisiwa na waasisi wa mataifa hayo, Baba wa Taifa Hayati, Mwl. J.K. Nyerere wa Tanzania na Mwenyekiti Mao Zedong wa China. Msisitizo huwa umetolewa wakati Naibu…

Read More

SERIKALI ITAENDELEA KUISIMAMIA SEKTA YA AFYA-MAJALIWA

*Ampongeza Rais Dkt. Samia kwa kuendelea kutoa vibali vya ajira sekta ya afya WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu itaendela kuisimamia na kuipa hadhi sekta ya afya ikiwemo kwa kutoa vibali vya ajira pamoja na kujenga miundombinu ya kutolea huduma hizo katika ngazi zote….

Read More