Mnyika aitwa Polisi kuhojiwa mauaji ya Kibao

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limemwita Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika kwa ajili ya kumhoji kuhusu mauaji ya kada wa chama hicho, Ali Kibao. Kada huyo alitekwa na watu wasiojulikana Septemba 6, 2024 akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kuelekea mkoani Tanga kwa basi la Tashriff na Septemba 8 alikutwa akiwa ameuawa eneo…

Read More

Ofisi ya Haki za UN inaongeza kengele juu ya kuongezeka kwa vurugu katika Benki ya Magharibi – Maswala ya Ulimwenguni

Ohchr Msemaji wa Thameen Al-Kheetan imeongezwa Kwamba operesheni ya kijeshi ya Israeli ndani na karibu na kambi ya wakimbizi ya Jenin ilihusisha utumiaji wa nguvu “isiyo na kipimo”, pamoja na viwanja vya ndege na risasi ambazo ziliripotiwa kulenga wakazi wasio na silaha. “Operesheni mbaya za Israeli katika siku za hivi karibuni Ongeza wasiwasi mkubwa juu…

Read More

Kesi ya mtoto wa Askofu Sepeku kuunguruma Sept 19

Dar es Salaam. Kesi ya Bernardo Sepeku ambaye ni mtoto wa marehemu John Sepeku aliyekuwa Askofu Mkuu wa kwanza wa Kanisa Anglikana Tanzania, Dayosisi ya Dar es Salaam, imeshindwa kuendelea kutokana na jaji anayesikiliza shauri hilo kuwa na majukumu mengine ya kikazi. Bernado alifungua kesi ya madai Mahakama Kuu, Divisheni ya Ardhi, akipinga kunyang’anywa zawadi…

Read More

Bado Watatu – 27 | Mwanaspoti

Raisa alinieleza: moyo wangu ulikuwa unakwenda kasi kama saa! Nilikuwa nimemtolea macho nikimsikiliza. Sikuwa hata na la kupinga, kwani ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.Raisa alipoona nipo kimya aliendelea kuniambia:“Sasa, mwenzangu, nawasha kitochi ili niione: kuna mtu alikorupuka na kuingia kwenye gari, akarudi nyuma na kuondoka. Haya niambie — ulikwenda kutupa nini usiku ule? Hata huogopi!”Kumbe —…

Read More

Clara Luvanga anavyokimbiza kimya Saudi Arabia

NYOTA wa kimataifa, Clara Luvanga anayekipiga Al Nassr ya Wanawake ameendelea kuonyesha kiwango bora kwenye mechi nne za ligi, akiwa anaongoza hadi sasa kwenye msimamo wa wafungaji kwa mabao sita. Ndiye Mtanzania pekee anayecheza Ligi ya Saudia, na ndani ya misimu mitatu akiitumikia klabu hiyo akitokea Dux Logroño ya Hispania, amekuwa mchezaji muhimu kwenye kikosi…

Read More

Maswali manne ishu ya Phiri kutua Yanga

WAKATI Yanga ikisubiri kujua hatIma ya sakata la kimkataba la mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube Inayempigia hesabu za kumchukua mwisho wa msimu huu, mabosi wa Jangwani wamerudi kwa mshambuliaji, Moses Phiri kama mbadala wa Mzimbabwe huyo. Yanga inamtaka Dube ambaye anaendelea kupambana na klabu yake akitaka kuachana nayo, lakini mabingwa hao wa Ligi Kuu…

Read More

Dar City yafunika BDL | Mwanaspoti

WATETEZI wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), Dar City, inaendelea kuongoza katika msimamo wa ligi hiyo kwa pointi 37, huku mpinzania wake UDSM Outsiders ikishika nafasi ya pili kwa pointi 34. Timu zinazofuatia Savio pointi 34, JKT pointi 32, Mchenga Star pointi 29, ABC pointi 28, Vijana ‘City Bulls’ pointi  28…

Read More

Bolt yamteua Dimmy Kanyankole kuwa Meneja Mpya wa Tanzania

Kampuni inayoongoza kwa huduma za usafirishaji Tanzania na Barani Afrika, inafuraha kuwataarifu kuhusu uteuzi wa Bw.Dimmy Kanyankole kuwa Meneja mpya wa Bolt nchini Tanzania. Hatua hii ya kimkakati ni sehemu ya dhamira inayoendelea ya kampuni katika kuimarisha shughuli zake na uzoefu wa wateja katika kanda. Dimmy ni kiongozi atakayesimamia mapato yatokanayo na biashara na kufuatilia…

Read More

Twiga Stars yaaga WAFCON ikipoteza 4-1 dhidi ya Ghana

Twiga Stars imeondolewa kwenye mashindano ya WAFCON 2024 yanayoendelea huko Morocco baada ya kupoteza mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi dhidi ya Ghana kwa mabao 4-1. Bao la Twiga limefungwa na Stumai Abdallah huku mabao ya Ghana yakifungwa na Pricella Adubea, Alice Kusi, Evelyn Badu na Chantelle Boye. Katika mchezo huo Twiga ilitakiwa kupata…

Read More