Waziri Mkuu abaini dosari Nkasi, aagiza uchunguzi

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amebaini viashiria vya ubadhirifu wa fedha katika ujenzi wa mabweni ya Shule ya Sekondari ya Chala, Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa unaogharimu Sh310 milioni huku akiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuanza uchunguzi. Dk Mwigulu amehoji inakuaje mradi ambao bado haujaisha unapata nyufa na…

Read More

Manahodha Bara watia neno kanuni za Ligi Kuu

WAKATI kumekuwa na mijadala kuanzia mtaani hadi mitandaoni kuhusu kanuni za Ligi Kuu Bara msimu huu ambao zimeonekana kuuma kwelikweli, baadhi yaa mastaa na manahodha wa klabu za ligi hiyo wameshindwa kujizuia na kuzungumza. Kama hujui, kuna baadhi ya kanuni za Ligi Kuu zinazowahusu moja kwa moja wachezaji lengo likiwa ni kulinda nidhamu ya mechi…

Read More

Gamondi: Kwa Aucho, Chama subirini muone

SINGIDA Black Stars leo usiku inaanza kampeni ya kusaka taji la kwanza msimu huu itakapovaana na Coffee ya Ethiopia katika michuano ya Kombe la Kagame, huku kocha mkuu Miguel Gamondi akiwataja mastaa watatu wa zamani wa Yanga. Gamondi amesema uwepo kwa Khalid Aucho, Clatous Chama na Nickson Kibabage utamsaidia katika mechi kubwa za ndani na…

Read More

Masista wanne, dereva wafariki dunia ajalini Mwanza

Mwanza. Masista wanne wa Shirika la Wakarmeli Wamisionari wa Mtakatifu Teresia wa Mtoto Yesu, wamefariki dunia baada ya gari lao kugongana uso kwa uso na lori mkoani Mwanza. Waliofariki ni pamoja na Mama Mkuu wa Shirika hilo duniani, Sista Nelina Semeoni (60), raia wa Italia.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa amesema ajali…

Read More

Migogoro inayoenea ‘kama moto wa nyika’, mkuu wa haki za Umoja wa Mataifa anaonya – Masuala ya Ulimwenguni

UNHCR Moshi unafuka baada ya shambulizi la anga huko Beirut, Lebanon. Ijumaa, Machi 06, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Ghasia kote Mashariki ya Kati zinaendelea huku mashambulizi ya kijeshi na mashambulizi ya kukabiliana yakiripotiwa katika nchi kadhaa katika eneo hilo, na kuzua hofu ya kukosekana kwa utulivu na kuzorota kwa hali ya kibinadamu. Mashirika…

Read More

Bado Watatu – 24 | Mwanaspoti

Hata kama nitaendelea kuificha maiti ya Shefa, mtu aliyemuua atakuwa anajua kuwa maiti ya Shefa nimeificha humu ndani. Kama ataamua kunisaliti, anaweza kuwatonya polisi wakaja wakapekua nyumba yangu na kuikuta. Mawazo yote hayo yalipita katika akili yangu na kunikatisha tamaa. Niliona kwamba muda wangu wa kukamatwa na kuhusishwa na mauaji yale ulikuwa karibu sana. Kwanza,…

Read More

Tanzania Prisons yamnyatia Chilunda | Mwanaspoti

WAKATI KMC ikielezwa huenda ikaachana na aliyekuwa nyota wa kikosi hicho, Shaaban Idd Chilunda, uongozi wa Tanzania Prisons upo katika mazungumzo na kambi ya mchezaji huyo, ili kuipata saini yake kwa msimu ujao wa 2025-26. Chilunda ni miongoni mwa nyota wanaotajwa huenda wakaachana na KMC kutokana na kutofikia makubaliano ya kusaini dili jipya, jambo linaloziingiza…

Read More

ALHIKMA FOUNDATION YATANGAZA MASHARTI 10 YA NDOA 130

:::::::: Msharti 10 yaliyotangazwa na Taasisi ya Al-Hikma ili kutimiza kigezo cha kufanikisha mchakato huo.  Miongoni mwa masharti hayo yaliyotangazwa na mkurugenzi wa taasisi hiyo, Sheikh Nurdin Kishki ni pamoja na mwanamke ndio akachukue fomu ya mchakato huo, awe Mtanzania, muombaji asiwe na mume na huyo mtarajiwa wake asiwe na mke.  Mengine ni awe ameposwa…

Read More

Mgombea urais Ada Tadea aahidi kujenga viwanda kila wilaya Pemba

Pemba. Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADA Tadea, George Bussungu amesema endapo atapata ridhaa ya kuchaguliwa na wananchi kuiongoza Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,2025   kipaumbele chake kitakuwa ni  ujenzi wa viwanda katika kila wilaya Kisiwani Pemba. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika  katika Uwanja wa Kangagani…

Read More

Kampeni zaendelea, vyama vitatu vikisuasua

Dar/Mikoani. Wakati Chama cha Demokrasia Makini kikizindua kampeni zake za uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kesho Jumanne, vyama vinne vimepishana na ratiba ya uzinduzi wa kampeni zao iliyotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), huku Chama cha Mapinduzi (CCM) kikiendelea kujinadi kwa wananchi. Wakati kampeni zikiingia siku ya tano leo tangu zianze Agosti…

Read More