Mnyika aitwa Polisi kuhojiwa mauaji ya Kibao
Dar es Salaam. Jeshi la Polisi limemwita Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika kwa ajili ya kumhoji kuhusu mauaji ya kada wa chama hicho, Ali Kibao. Kada huyo alitekwa na watu wasiojulikana Septemba 6, 2024 akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kuelekea mkoani Tanga kwa basi la Tashriff na Septemba 8 alikutwa akiwa ameuawa eneo…