Duchu apewa mikoba ya Tshabalala Simba

BAADA ya Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ kuondoka Simba, timu aliyoitumikia kwa takribani miaka kumi, sasa kuelekea msimu wa 2025-2026, mikoba yake ipo kwa David Kameta ‘Duchu’.  Tshabalala ambaye alikuwa nahodha wa Simba, msimu ujao atakuwa na kikosi cha Yanga alichojiunga nacho akiwa mchezaji huru. Mikoba aliyokabidhiwa Duchu si unahodha, bali ni jezi namba 15 aliyokuwa akiivaa…

Read More

Mgombea urais UDP aahidi majisafi, elimu bure hadi chuo kikuu

Geita. Mgombea urais wa Chama cha United Democratic Party (UDP),  Saumu Rashid amesema chama chake kimejipanga kutatua changamoto kubwa zinazowakabili Watanzania kwa kuhakikisha upatikanaji wa majisafi na salama, elimu bure hadi chuo kikuu, huduma za afya nafuu na uwekezaji wenye tija katika rasilimali za Taifa. Akizungumza leo Septemba 10, 2025 kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika…

Read More

Nyuki walioweka makazi Msamvu watimka na kung’ata watu

Morogoro. Baadhi ya watumiaji wa vyombo vya moto, baiskeli na watembea kwa miguu wameng’atwa na nyuki waliokuwa wamevamia eneo la Msamvu Mataa, Manispaa ya Morogoro, huku wengine wakipata majeraha baada ya kudondoka na vyombo vyao vya usafiri wakijaribu kuwakimbia nyuki hao. Tukio hilo limetokea leo Jumatano Septemba 10 kwenye nguzo za taa za barabarani zilizopo…

Read More

IDADI YA WATALII YAPAA MAPANGO YA AMBONI YAFIKIA 19,000

Na Oscar Assenga,TANGA IDADI ya Watalii wa Ndani na Nje ya Nchi imezidi kuongezaka katika Mapango ya Kihistoria ya Amboni Jijini Tanga katika kipindi cha kutoka Watalii 8000 mpaka zaidi 19000. Takwimu hizo ni katika mwaka wa Fedha 2024/2025 hatua hiyo imewezesha Kupata mapato ua zaidi ya Milioni 40 hali inayowezesha Kuwa Mapango yaliyo na…

Read More

Gor Mahia katikati ya mtego wa Simba

WAKATI tamasha la kilele la Simba Day likihitimishwa leo, kikosi cha Gor Mahia ya Kenya kiko katika mtego wakati kikiwa nyuma kwa bao 1-0 dhidi ya ‘Wekundu hao wa Msimbazi’. Iko hivi, mara ya mwisho kwa Simba kupoteza mechi ya Simba Day dhidi ya timu kutoka Kenya ilikuwa mwaka 2012, jambo linalosubiriwa kuona kama Gor…

Read More

Simba Day yamkosha BM3, ampigia chapuo Mghana mwenzie

NYOTA wa zamani wa Simba raia wa Ghana, Bernard Morrison ‘BM3’, amesifu tamasha la kikosi hicho linalofanyika leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Kupitia akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram, Morrison aliandika ‘Hili ndilo tukio langu bora kwa leo Tanzania, lenye mandhari ya ajabu, Simba Day.” Hata hivyo, licha…

Read More

Dk Nchimbi aeleza sababu CCM kuomba ichaguliwe tena

Katavi. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema mafanikio makubwa yaliyopatikana miaka mitano iliyopita, yanakifanya chama hicho kutoka kifua mbele kuomba tena ridhaa ya Watanzania kuwaongoza. Amesema maeneo mbalimbali nchini kuna miradi mingi imekamilika au inaendelea kutekelezwa mathalani ya afya, elimu, barabara, kilimo, ufugaji, uvuvi na maji inayochochea uchumi…

Read More

RAIS SAMIA APONGEZWA KWA KUTOA AJIRA MALIASILI NA UTALII

……………. Na Sixmund Begashe, Mwanza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa kutoa fursa ya ajira kwa vijana waliohitimu vyuo vilivyopo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii. Pongezi hizo zimetolewa na Naibu Katibu Mkuu (Uhifadhi) wa Wizara hiyo, Kamishna wa Polisi Benedict Wakulyamba, katika mahafali ya 61 ya Taasisi ya Taaluma ya Wanyamapori Pasiansi…

Read More