Wanaodaiwa kutakatisha Sh346 milioni za CRDB, NBC wamwangukia DPP

Dar es Salaam. Raia wa Bulgaria, Eduardl Mladenov (32) na Mtanzania Juma Ndambile (58) wanaodaiwa kujihusisha na miamala ya kutoa fedha katika Benki za CRDB na NBC, wamemuandikia barua Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), wakiomba kufanya majadiliano ya kukiri makosa (plea bargaining) ili kuimaliza kesi inayowakabili. Washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka sita, yakiwamo ya kuongoza genge…

Read More

LHRC yafungua kesi kupinga adhabu ya viboko shuleni

Arusha. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimefungua kesi ya Kikatiba Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda Kuu -Dodoma, kupinga uhalali wa matumizi ya adhabu ya viboko shuleni, Tanzania Bara. Kesi hiyo imewasilishwa kwa niaba ya Samwel Maduhu, ambaye ni mlezi aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Mwasamba mkoani Simiyu,…

Read More

40 wajitokeza kuwekeza sekta ya bidhaa za afya Tanzania

Dar es Salaam. Wawekezaji 40 wamejitokeza kuwekeza katika sekta ya uzalishaji wa bidhaa za afya nchini Tanzania, huku 25 kati yao wakihudhuria mkutano maalumu uliowakutanisha wadau wa Serikali na sekta binafsi, wakitoka katika mataifa mbalimbali. Baadhi ya wawekezaji hao wanaotarajia kuanzisha viwanda vya bidhaa za afya nchini wametoka katika nchi za  Dubai, Misri, Ujerumani, Somalia,…

Read More

Hatua za kupunguza foleni mpakani Tunduma zaanza

Dar es Salaam. Agizo la Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba kuvunjwa ukuta uliopo pembezoni mwa barabara ya Tunduma ili ipatikane nafasi ya kupanua barabara hiyo, utekelezaji umeanza. Kauli hiyo ya kuanza kwa utekelezaji wa agizo hilo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Jabir Makame alipozungumza na Mwananchi leo Jumatatu, Januari 19, 2025 kwa simu….

Read More

Kihongosi aagiza watumishi wazembe kushughulikiwa

Itigi. Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi ameagiza hatua kali zichukuliwe kwa Mganga Mfawidhi wa kituo cha Afya Itigi kutokana na tuhuma za rushwa. Kihongosi alitoa agizo hilo jana jioni Jumapili Januari 18,2026 alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya stendi ya zamani. Mganga huyo alilalamikiwa na…

Read More

Siri abiria wa Mpigi Magohe kupanda daladala kwa foleni

Dar es Salaam. Moja ya changamoto sugu zinazowakabili wakazi wa maeneo mengi ya jiji la Dar es Salaam ni upatikanaji wa usafiri wa daladala, hali ambayo imekuwa ikisababisha msongamano mkubwa katika vituo na kulazimu baadhi ya abiria kupandia madirishani, huku wengine wakipata majeraha kutokana na kugombea nafasi za kupanda. Kero hiyo imechukua sura mpya katika…

Read More