SMZ kutumia teknolojia kuwanasa wanaokata misitu Zanzibar

Unguja. Kutokana na kasi ya ukataji misitu inayoendelea, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeandaa mpango wa kuanza kufuatilia na kudhibiti wanaokata misitu hiyo kwa njia ya kidijitali. Hayo yamebainishwa leo Machi 23, 2026 wakati wa kuadhimisha siku ya upandaji miti duniani ambapo kitaifa kwa Zanzibar imefanyika katika Shehia ya Muyuni, Wilaya ya Kusini, Mkoa…

Read More

Tanzania kudhibiti kemikali hatari za dawa za kulevya

Nashville. Tanzania imeingia makubaliano na nchi zinazozalisha kwa wingi kemikali bashirifu zinazotumika katika utengenezaji wa dawa za kulevya ili kupunguza athari kwa vijana. Hayo yamesemwa na Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Aretas Lyimo ambaye ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki Mkutano wa 39 wa Kimataifa wa Mapambano Dhidi…

Read More

Beki Simba apewa mmoja Zambia

ALIYEKUWA beki timu ya vijana ya Simba, Alon Okechi Nyembe amesajiliwa na Zanaco inayoshiriki Ligi Kuu Zambia kwa mkataba wa mwaka mmoja. Beki huyo alicheza Simba U-20 misimu miwili kisha kupandishwa timu kubwa, ingawa aliishia benchi. Akizungumza na Mwanaspoti, Nyembe alisema kusajiliwa na Zanaco ni fursa kwake ya kuonyesha uwezo wake baada ya kuaminiwa na…

Read More

VYAMA 17 VYAREJESHA FOMU ZA KUTEULIWA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KIGAMBONI

 Na Mwandishi Wetu. VYAMA 17 vyama vilivyochukua fomu za kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Kigamboni vimerejesha fomu hizo na tayari zimebandikwa ili ziweze kukaguliwa na kama kutakuwa na upungufu wagombea wanaweza kuwekewa pingamizi. Aidha, wagombea wote wameteuliwa kugombea nafasi hiyo kwa hatua ya kuanza kampeni, kama hakutakuwa na pingamizi kwa wagombea yeyote…

Read More

Wavuvi Igombe wapewa elimu ya mpigakura

Mwanza. Wavuvi wa mwalo wa Igombe, Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza, wamepewa elimu ya mpigakura na kuhamasishwa kujitokeza kupiga kura Oktoba 29, 2025 ili kuchagua viongozi wanaowataka. Elimu hiyo imetolewa leo Jumapili, Septemba 28, 2025, katika mwalo huo unaokadiriwa kuwa na wavuvi zaidi ya 5,000. Mvuvi wa mazao ya samaki, Peter Bukanu, amesema elimu aliyoipata…

Read More

Mashaka yeye kwake kambi popote

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Valentino Mashaka amesema kitendo cha Simba kumtoa kwa mkopo ni fursa kwake kujipanga ili arejee katika ushindani. Katika mahojiano na Mwanaspoti, Mashaka anasema kujipanga upya siyo kitu cha ajabu kwa mchezaji, badala yake anaweza kufanya vitu vikubwa kuliko mwanzo akisisitiza hata Ulaya inafanyika hivyo. Baada ya kutoonyesha kiwango bora akiwa na…

Read More