Hatua kwa hatua maandamano waliokatwa majina ugawaji vizimba Kariakoo

Dar es Salaam. Maandamano mengine ya wafanyabiashara yameibuka katika Soko la Kariakoo, jijini Dar es Salaam leo Julai 11, 2024 wakilalamikia majina yao kukatwa katika orodha ya wanaopaswa kurejeshwa sokoni humo. Maandamano hayo yaliohusisha wafanyabiashara zaidi ya 800, yamelenga kuushinikiza uongozi wa Shirika la Masoko Kariakoo kuingiza majina yao ili nao wawe sehemu ya watakaopewa…

Read More

BAHATI YAKO IPO MERIDIANBET LEO

NDUGU mteja wakati huu ambao ligi mbalimbali hazijaanza endelea kubashiri na Meridianbet mechi za kirafiki ambazo nazo zina ODDS za kibabe. Suka jamvi lako hapa na ujiweke kwenye nafasi ya kuibuka bingwa. FC Dynamo Kyiv atakipiga dhidi ya Union Berlin kutoka kule Ujerumani ambapo nafasi ya kuondoka na ushindi leo hii akipewa mgeni kwa ODDS…

Read More

Mtoto anusurika kifo baada ya kuchomwa na petroli

Geita. Mwanafunzi wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Kasota, Kata ya Bugulula Wilaya ya Geita (9) amejeruhiwa kwa kuchomwa moto kwa kutumia petroli na mama yake mzazi (jina linahifadhiwa). Tukio hilo limetokea jana Desemba 2, 2024 wakati mtoto huyo akiwa nyumbani kwao Kasota baada ya mama yake kumtuhumu kuiba Sh6,000 alizokuwa amezitunza kwenye…

Read More

Mbunge ataka udhibiti unywaji pombe treni za usiku SGR

Mbunge wa Viti Maalumu, Mwantum Dau Haji, ameitaka Serikali kuchukua hatua za kudhibiti unywaji wa pombe ndani ya treni za Reli ya Kisasa (SGR), hususan zile zinazofanya safari za usiku, akisema hali hiyo inahatarisha utulivu na usalama wa abiria. Akichangia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2025/26 leo Alhamisi, Mei…

Read More

Polisi waendelea kumng’ang’ania Malisa | Mwananchi

Moshi. Wakati Jeshi la Polisi likiendelea kumshikilia Godlisten Malisa, mwanaharakati na mkurugenzi wa GH Foundation katika Kituo Kikuu cha Polisi Moshi mkoani Kilimanjaro, Msemaji wa Taasisi hiyo, James Mbowe amedai kuwa mwanaharakati huyo amepata changamoto za kiafya akiwa kituoni hapo.  Malisa alikamatwa jana Juni 6, 2024 muda mfupi baada ya kesi inayowakabili yeye na meya…

Read More

Yanga yatua kwa Lawi | Mwanaspoti

IKIWA imesalia takribani mwezi mmoja kabla ya dirisha dogo la usajili kufunguliwa Desemba 15 mwaka huu, Yanga SC imerusha ndoano kuwania saini ya beki wa kati wa Coastal Union, Lameck Lawi ambaye awali alikuwa kwenye rada za Simba kabla ya mvutano kutokea na kila mmoja kwenda na njia yake. Uamuzi huo wa Yanga ambao inaelezwa…

Read More

CCT yasisitiza amani na utulivu uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Ikiwa imesalia miezi michache kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini, Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) imesisitiza kuzingatiwa kwa maadili ya kisiasa na hali ya utulivu katika kipindi chote kuelekea uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Jumuiya hiyo, pia imetaka Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) kuhakikisha inasimamia haki katika mchakato mzima…

Read More