Viongozi wa masoko watajwa uuzaji vizimba

Dar es Salaam. Migogoro ya vizimba vya biashara kwenye masoko nchini ni suala linalojitokeza mara kwa mara. Kwa kiasi kikubwa migogoro hii huwaathiri wafanyabiashara, mamlaka za serikali za mitaa na maendeleo ya masoko kwa ujumla. Ufuatiliaji uliofanywa na Mwananchi katika baadhi ya masoko nchini, migogoro hiyo huchangiwa na utaratibu wa utoaji wa vizimba unaodaiwa kugubikwa…

Read More

Taliban yaadhimisha miaka mitatu madarakani – DW – 15.08.2024

Katika sherehe za kusherehekea mwaka wao wa tatu tangu kuutwaa mji mkuu Kabul, zimefanyika katika kituo cha zamani cha anga cha Marekani iliotumika kusuka mipango ya kuwaondoa Taliban madarakani. Hotuba za viongozi hazikubeba ahadi za kumaliza changamoto za wananchi na badala yake ziliilenga jumuiya ya kimataifa, kuwataka kutoingilia masuala yake ya ndani huku wakiweka msisitizo…

Read More

Mtandao mpya wa kuwatafutia wabunifu mitaji wazinduliwa

Dar es Salaam. Wamiliki wa kampuni changa za kibunifu (Startups) huenda wakawa mbioni kuondokana na changamoto ya mitaji baada ya kuzinduliwa mtandao utakaowaunganisha na wawekezaji. Uzinduzi wa mtandao huo umefanyika wakati ambao mtaji ni kilio kwa wabunifu, hali inayosababisha mawazo yao kushindwa kuendelea na kuleta tija iliyokusudiwa kwa jamii. Mtandao ujulikanao Malaika (Rhapta Angels Investor…

Read More

Blanco anahesabu siku tu Azam FC

KLABU ya Azam inatarajia kufanya mabadiliko makubwa katika safu ya ushambuliaji mwishoni mwa msimu huu ikiwamo kumtema mshambuliaji wa kati, Jhonier Blanco aliyeshindwa kuonyesha kiwango cha juu tangu alipojiunga na timu hiyo. Blanco, aliyesajiliwa kutoka Rionegro Aguila ya Colombia, alitarajiwa kuwa mchezaji muhimu katika safu ya ushambuliaji ya timu hiyo, lakini hadi sasa ameshindwa kumudu…

Read More

Mgambo 60 waongeza nguvu msako wa mwanafunzi aliyepotea Babati

Arusha. Msako unaendelea kumtafuta mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Bagara, Joel Johannes (14) aliyepotea walipokwenda Mlima Kwaraa kwa ziara ya masomo. Katika kuongeza nguvu, mgambo 60 wameungana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama na wananchi kumsaka mwanafunzi huyo aliyepotea tangu Jumamosi ya Septemba 14, 2024. Akizungumza na Mwananchi leo Jumatano…

Read More

Eala yaridhia huduma bima ya afya kwa wote

Arusha. Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala) limeridhia azimio la kulitaka Baraza la Mawaziri na nchi wanachama wa Jumuiya hiyo kuharakisha mchakato wa kuwa na bima ya afya kwa wote, ili kuwa na jamii yenye watu wenye afya njema kwa lengo la kuongeza uzalishaji. Akiwasilisha hoja hiyo leo Jumanne, Oktoba 7,2025 katika mkutano wa…

Read More

IPBES Inatoa Wito wa Masuluhisho Kamili, Mabadiliko ya Mabadiliko katika Kukabili Upotevu wa Bioanuwai – Masuala ya Ulimwenguni

Bioanuwai ni muhimu kwa usalama wa chakula na lishe. IPBES imeonya kuwa upotevu wa viumbe hai unaongezeka kwa kasi duniani kote, huku spishi milioni 1 za wanyama na mimea zikitishiwa kutoweka. Credit: Busani Bafana/IPS by Busani Bafana (bulawayo) Ijumaa, Oktoba 11, 2024 Inter Press Service BULAWAYO, Oktoba 11 (IPS) – Mkabala wa kiujumla na mabadiliko…

Read More