Treni za Mwendokasi Zagongana na Kuua Watu 21, Hispania
Last updated Jan 19, 2026 Takribani watu 21 wamefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya treni za mwendokasi iliyotokea kusini mwa Hispania, huku mamlaka za nchi hiyo zikionya kuwa idadi ya vifo huenda ikaongezeka kadri shughuli za uokoaji na matibabu zinavyoendelea. Ajali hiyo imezua majonzi makubwa kitaifa, ikielezwa kuwa miongoni mwa matukio mabaya zaidi ya…