Serikali ya Chaumma kupambana na madalali wa tumbaku

Kaliua. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimesema endapo kitaingia madarakani, kitahakikisha wakulima wa tumbaku wanapata manufaa halisi ya kilimo hicho kwa kuondoa changamoto zinazowakwamisha, ikiwamo udhibiti wa madalali wanaowanyonya. Chama hicho pia kimeahidi kuweka mifumo bora ya ununuzi wa tumbaku na kuhakikisha bei ya mazao inaakisi gharama halisi za uzalishaji ili kuongeza tija kwa…

Read More

Arusha warudisha hadhi ya marathoni

MKOA wa Arusha umeanza mkakati wa kurudisha hadhi ya riadha baada ya kutangaza kuwa mbio za Tanfoam zifanyika zikitumia umbali wa kilomita 42. Arusha ndiyo waanzilishi wa mbio ndefu za kilomita 42 na awali zilijulikana kuwa Mount Meru Marathon ambazo zilikuwa za kwanza kuwa na hadhi ya kimataifa kwa kuleta wanariadha nyota sehemu mbalimbali. Mount…

Read More

ADC yaahidi mapinduzi ya kilimo, mikopo, miundombinu na kodi

Simiyu. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznaoa kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Wilson Mulumbe, ameahidi kujenga kiwanda cha vifaa tiba mkoani Simiyu kwa lengo la kuongeza thamani ya zao la pamba, endapo kitashinda katika uchaguzi mkuu ujao. Akizungumza leo, Jumatano, Septemba 10, 2025, mjini Bariadi, Mulumbe amesema lengo la kiwanda…

Read More

Vifo vya kujiua vyageuka tishio

Dodoma/Dar.  Wakati Tanzania ikiadhimisha siku ya kuzuia kujiua duniani, imeelezwa idadi ya wanaojiua nchini inaongezeka, wanaume wakiongoza. Kuokana na hilo, mamlaka zinazohusika zimetakiwa kuchukua hatua za haraka kukabiliana na hali hiyo. Kwa mujibu wa Wizara ya Afya, jitihada kadhaa zinachukuliwa zikiwamo kampeni za uhamasishaji, kuboresha huduma za ushauri katika vituo vya afya na kuanzisha namba…

Read More

Kapombe, Mpanzu wateka utambulisho Simba Day

UTAMBULISHO wa kikosi cha Simba SC kwa msimu wa 2025-2026, umeteka hisia za mashabiki wa timu hiyo waliofika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam huku mastaa wawili Shomari Kapombe na Elie Mpanzu wakiibua shangwe lililopitiliza. Zoezi hilo la utambulisho lililoanza saa 12:21 jioni, liliongozwa na Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally…

Read More

Ilikuwa shoo ya Mbosso, Simba wakifanya yao

KAMA kuna mashabiki waliinjoi leo kwa Mkapa basi ni kushuhudia shoo ya Mwimbaji wa Bongo Fleva, Mbwana Yusuph Kirungi maarufu kama Mbosso. Kama kuna tuzo zingetolewa za ‘man of the show’ msanii huyo alikuwa anaondoka nayo kutokana na namna alivyoingia hadi anamaliza kuburudisha mashabiki waliokuwa wanainjoi burudani kutoka kwa mkali huyo wa wimbo wa Pawa….

Read More

Neema arejea nchini na ubingwa wa Perm Marathon

Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Neema Msuadi amerejea nchini akitokea Russia alikokwenda kushiriki mbio za Perm Marathon. Mbio hizo zilifanyika Oktoba, mwaka huu, jijini Perm ambako Neema alimaliza wa kwanza kwa muda wa saa 2:38:15 na kuwa Mtanzania wa pili kuongoza mwaka huu baada ya Gabriel Geay kufanya hivyo mwezi Februari akishinda Daegu Marathon za…

Read More

Watu wenye ulemavu 2,000 nchini kunufaika na pikipiki za nishati ya umeme

Babati. Watu wenye ulemavu 2,000 nchini watanufaika na pikipiki zenye magurudumu matatu zinazotumia nishati ya umeme, zinazotolewa bila malipo na taasisi ya Mati Foundation ya mjini Babati, mkoani Manyara. Taasisi hiyo imeeleza mpango wake wa kutoa pikipiki hizo zaidi ya 2,000 kwa makundi ya watu maalumu ili kusaidia kutatua changamoto zinazowakabili katika shughuli za utafutaji….

Read More

Sh1.08 trilioni kusaidia utekelezaji uchumi wa buluu

Dar es Salaam. Ili kuongeza mchango wa uchumi wa buluu katika pato la Taifa, Umoja wa Ulaya umetoa zaidi ya Sh1.08 trilioni kwa benki za biashara nchini ili zikopeshwe kwa makundi yaliyopo katika mnyororo wa thamani wa sekta hiyo. Fedha hizo, zilizotolewa na Benki ya Uwekezaji ya Ulaya (EIB), tayari zinatolewa kupitia benki za CRDB,…

Read More