Fadlu aamua kuja kivingine | Mwanaspoti
SIMBA juzi usiku ilipata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika tamasha la Simba Day, lakini kocha wa timu hiyo, Fadlu Davids amefunguka kuhusu maandalizi ya kikosi kwa ajili ya msimu mpya akiweka bayana mfumo mpya anaokuja nao anaoamini utawatesa wapinzani. Kocha huyo Msauzi anayeinoa Simba kwa msimu wa pili, juzi…