Wanakimanumanu waitana Mkwakwani | Mwanaspoti

WAKATI African Sports ikiwa katika presha ya kushuka daraja, viongozi na benchi la ufundi wamewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi katika mechi ya mwisho na Transit Camp, itakayopigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga, Mei 10. Ukiachana na Biashara United iliyoshuka daraja baada ya sare ya bao 1-1, dhidi ya Geita Gold, kwa sasa ni timu…

Read More

SOMALIA YATISHIA KUSITISHA SAFARI ZA NDEGE ZA ETHIOPIAN AIRLINE – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Somalia imetishia kusitisha safari zote za Ndege za Ethiopian Airlines kuelekea katika ardhi yake kutokana na mzozo unaoendelea. Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya Somalia (SCAA) ilitangaza mnamo Agosti 21, 2024, kwamba Shirika la Ndege limeshindwa kujibu masuala yanayohusiana na uhuru wa Somalia. Mzozo huo uliongezeka baada ya Ethiopia kutia saini makubaliano mnamo…

Read More

Dawa 127 za asili zasajiliwa, ipo ya Kisukari

Dar es Salaam. Wakati mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) akiwa amekamilisha utafiti wake na kutengeneza dawa ya kisukari inayotumia mitishamba, Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala limesema hadi Juni 2024 dawa 127 zimesajiliwa. Mbali na kusajiliwa kwa dawa hizo, baraza limeweka wazi kuwa hakuna dawa ya figo wala Ukimwi iliyosajiliwa kwa sababu…

Read More

Absa Bank Tanzania concludes Spend & Win campaign with great success, third Subaru Forester winner applauds service excellence

The final winner of Absa Bank Tanzania’s three-month Spend & Win campaign, Ms. Amalia Lui Shio (center), receives the ignition key to a brand-new 2024 Subaru Forester from the bank’s Head of Retail Banking, Ms. Ndabu Lilian Swere, during a ceremony held in Dar es Salaam yesterday. The campaign aimed to encourage more Tanzanians to…

Read More