Rais Samia avitaka Vyama vya Siasa kujipanga kikamilifu kwa uchaguzi wa serikali za mitaa
Na Mwadishi Wetu, Mtanzania Digital Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa vyama vya siasa kujipanga kikamilifu kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa, akisisitiza umuhimu wa kutumia muda huu kuwafikia wapiga kura badala ya kusubiri matokeo na kulalamika. Akihutubia leo Oktoba 11, 2024 Chamwino mkoani Dodoma…