Rais wa Senegal Atangaza Mapumziko Baada ya Kushinda AFCON

Dakar, Senegal — Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye ametangaza mapumziko ya kitaifa kufuatia ushindi wa kihistoria wa timu ya taifa ya soka, Teranga Lions, katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Katika tangazo lililotolewa kupitia Ikulu, Rais alisema mapumziko hayo yamelenga kuwapa wananchi nafasi ya kusherehekea ushindi huo mkubwa ambao umeiletea Senegal…

Read More

ACT-Wazalendo ngoma mbichi sakata la SUK

Dar es Salaam. Ugumu umeendelea kuyatawala mazungumzo kati ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na Chama cha ACT- Wazalendo kuhusu mwafaka wa chama hicho kuingia katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK). Hiyo ni baada ya ACT – Wazalendo kuweka wazi kuwa, haijaafikiana na Serikali kuingia SUK, kwa kile kilichoelezwa na viongozi wake kuwa, bado…

Read More

Ajali treni ya mwendokasi yaua 21 Hispania

Hispania. Watu 21 wamepoteza maisha na wengine 30 wakijeruhiwa baada ya treni mbili za mwendokasi kugongana nchini Hispania, mamlaka za nchi hiyo zimethibitisha. Kwa mujibu wa DW na Al Jazeera, ajali hiyo imetokea usiku wa kuamkia leo Jumatatu, Januari 19, 2026, karibu na mji wa Adamuz mkoani Andalusia ambapo mkia wa treni iliyokuwa ikitoka Malaga…

Read More

SANGU: BODI YA WADHAMINI WCF KUTEKELEZA DIRA 2050

Na. OWM-KAM – Dodoma Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) imetakiwa kuweka mikakati ya kuanza utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili mfuko uchangie katika kutoa huduma bora zaidi ikiwemo kuongeza uzalishaji ajira kwa sekta binafsi. Akizungumza katika kikao hicho, Januari 17, 2026 Jijini Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi…

Read More

Mtoto Nilsa Afariki Dunia Akipatiwa Matibabu

Mtoto Nilsa, ambaye alikuwa akiishi na changamoto ya kiafya tangu kuzaliwa, amefariki dunia leo, Januari 18, 2026. Kifo cha Nilsa kimethibitishwa na baba yake mzazi, Saimon Braison, kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram, ambapo ameandika ujumbe mzito wa hisia uliojaa majonzi na uchungu wa kumpoteza mwanae mpendwa. “> Related

Read More

Mgogoro wa kibinadamu wa Gaza ‘mbali na kumalizika,’ ofisi ya uratibu wa misaada ya Umoja wa Mataifa yaonya – Masuala ya Ulimwenguni

“Hali ya kibinadamu na mzozo huko Gaza bado haujaisha,” Olga Cherevko kutoka ofisi ya uratibu wa misaada ya Umoja wa Mataifa. OCHA alisema Ijumaa katika sasisho kwa waandishi wa habari huko Jerusalem. “Kwa Wapalestina huko Gaza, maisha yao yanaendelea kufafanuliwa kwa kuhamishwa, kiwewe, kutokuwa na uhakika na kunyimwa.” Hii imechangiwa zaidi na “dhoruba kali zinazotokea…

Read More

Clara hashikiki huko Saudi Arabia

GOLI alilofunga jana mshambuliaji wa Al Nassr ya Saudia, Clara Luvanga dhidi ya Neom SC Ligi Kuu ya wanawake ya Saudi Arabia limemfanya afikishe idadi ya mabao 12 na asisti tatu na kukaa kileleni mwa wafungaji bora. Huu ni msimu wa tatu wa Clara Saudia, wa kwanza alifunga mabao 11 na asisti saba, uliofuata aliweka…

Read More

Winga Mzenji, Fountain Gate kuna kitu

UONGOZI wa Fountain Gate uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa JKU FC ya visiwani Zanzibar, Tariq Mohamed Mkonga, baada ya pande mbili kati ya nyota huyo na mabosi wa kikosi hicho kufikia hatua nzuri. Chanzo kutoka katika kikosi hicho, kililiambia Mwanaspoti mazungumzo kati ya upande wa mchezaji na uongozi…

Read More