Sababu Lissu kuomba muda zaidi, Mahakama yatoa kauli

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu ameiomba Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam, impe muda apitie uamuzi wa kesi zilizowasilishwa na upande wa mashtaka walipojibu hoja za pingamizi lake alizowasilisha katika kesi ya jinai inayomkabili. ‎Katika kesi hiyo, Lissu anakabiliwa na shtaka la uhaini kinyume cha kifungu…

Read More

ACT-Wazalendo waita nyomi hukumu ya kesi ya Mpina kesho

Dodoma. Chama cha ACT-Wazalendo kimeita wanachama, wadau na wale wanaotajwa kuwa wapenzi wa demokrasia kujitokeza kwa wingi kesho katika Mahakama Kuu Masijala Kuu Dodoma ili kusikiliza hukumu ya mtiania wao wa urais, Luhaga Mpina. Kaimu Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Mbarala Maharagande, amewaambia waandishi wa habari leo, Jumatano, Septemba 10, 2025, kuwa wanatarajia kuwa na umati…

Read More

Matumizi ya AI kwenye matibabu yawaibua wataalamu wa afya

Dar es Salaam. Matumizi chanya ya teknolojia ya Akili Unde (AI) katika utambuzi wa magonjwa na urahisishaji wa matibabu yameelezwa kuwa miongoni mwa afua muhimu zinazoweza kubadilisha taswira ya sekta ya afya barani Afrika. Kauli hiyo imetolewa na wataalamu wa afya waliohudhuria ufunguzi wa Maonesho ya 26 ya Africa 2025 MEDEXPO, yanayofanyika kuanzia leo, Septemba…

Read More