Rais wa Senegal Atangaza Mapumziko Baada ya Kushinda AFCON
Dakar, Senegal — Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye ametangaza mapumziko ya kitaifa kufuatia ushindi wa kihistoria wa timu ya taifa ya soka, Teranga Lions, katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Katika tangazo lililotolewa kupitia Ikulu, Rais alisema mapumziko hayo yamelenga kuwapa wananchi nafasi ya kusherehekea ushindi huo mkubwa ambao umeiletea Senegal…