Nsajigwa aanza na pointi moja Prisons, Ibenge akunja sura
Wakati Azam FC ikinung’unika na sare ya pili mfululizo, Tanzania Prisons ni kicheko kwa kupata pointi moja dhidi ya wapinzani wao hao katika mechi ya Ligi Kuu Bara. Kabla ya mechi hiyo iliyopigwa leo Machi 5, 2026 kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya, Azam ilitoka kupata pointi moja kwenye sare ya 2-2 dhidi ya Pamba…