Wasaini kanuni za maadili wakikumbushwa kuzingatia wajibu

Unguja. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji George Joseph Kazi, amezitaka pande tatu zinazohusika katika mchakato wa uchaguzi kuzingatia maelekezo ya kanuni za maadili ili kuhakikisha uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025, unafanyika kwa amani, haki na mshikamano. Ametoa kauli hiyo leo Jumapili, Agosti 24, 2025, katika ofisi kuu za ZEC Maisara,…

Read More

Ubalozi wachunguza madai ya Mtanzania kushambuliwa Afrika kusini

Dar es Salaam. Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini James Bwana amesema wanafuatilia kwa ukaribu tukio la kijana aliyedaiwa ni Mtanzania ambaye ameonekana akipigwa nchini humo huku akilazimishwa kufunga duka lake. Kupitia video fupi iliyotumwa mtandaoni kijana huyo wa kiume akiwa kwenye duka lake,alitakiwa kuonyesha nyaraka ambazo alizionyesha akitamka neno ‘valid’ikiwa na mana ziko sawa’…

Read More

HUSTLERS WAUNGANA UZINDUZI CHROME GIN KWA SGANGWE LA KIPEKEE

 :::::::::  Dar es Salaam ilishuhudia usiku wa burudani na sherehe zisizosahaulika pale Tanganyika Packers – Kawe, wakati wa uzinduzi wa Chrome Gin, kinywaji kipya kinacholenga kusherehekea hustlers wa Tanzania. Kwa mara ya kwanza, hustlers kutoka maeneo mbalimbali ya jiji waliunganishwa pamoja – kuanzia Manzese, Kariakoo hadi Kinondoni – wote wakija kusherehekea ushindi wao, mdogo au…

Read More

TISEZA na TCB kushirikiana kurahisisha huduma kwa wawekezaji

Mkurugenzi Mkuu wa  Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (Tanzania Investment and Special Economic Zones Authority – TISEZA), Gilead Teri na Afisa Mtendaji Mkuu wa TCB, Adam Mihayo wakibadilishana mikataba mara baada ya kusaini jijini Dar es Salaam  Septemba 18, 2025. Mkurugenzi Mkuu wa  Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi…

Read More

WATAALAMU WALIOSOMA JAPAN WACHOCHEA MIRADI YA MAENDELEO NCHINI

 :::::::: Wataalamu wa Kitanzania waliopata mafunzo nchini Japan wameelezwa kuwa rasilimali muhimu katika kuharakisha maendeleo ya sekta mbalimbali kwa kutumia ujuzi na teknolojia walizojifunza nje ya nchi. Akizungumza katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Msaidizi wa Ofisi ya Rais – Utumishi, Fadhili Mitimingi, amesema ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Japan International…

Read More