TRA KINARA UANDAAJI WA MAHESABU TUZO ZA NBAA

Mamlaka ya Mapato tanzania (TRA) yaibuka mshindi wa jumla kwenye uandaaji wa hesabu za kifedha zinazozingatia viwango vya kimataifa vya Uhasibu katika Sekta ya Umma (IPSAS) na Sekta za Kibiashara (IFRS). Tuzo hizo zimetolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) jana 29/11/2024. Vilevile, TRA imeibuka mshindi wa kwanza katika kipengele…

Read More

Mabao yatawabakisha Ligi Kuu | Mwanaspoti

MSIMU wa Ligi Kuu 2023/2024 unakaribia ukingoni na timu pamoja na wachezaji wanakaribia kuvuna kile walichokipanda ambacho ni ama kumaliza vizuri au kumaliza vibaya pindi mizunguko 30 ya ligi itakapokamilika. Timu mbili ambazo zitamaliza zikiwa mkiani mwa msimamo wa ligi zitashuka daraja moja kwa moja na mbili zitakazomaliza nafasi ya 13 na 14 zitacheza mechi…

Read More

CAF yairudisha tena Yanga Dar

KAMA ambavyo Mwanaspoti liliwahabarisha wiki iliyopita kwamba, Yanga huenda ikalainisha mambo katika Ligi ya Mabingwa Afrika mbele ya Vital’O ya Burundi, ndivyo ilivyo baada ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuridhia ombi la Warundi kuhamia Azam Complex kucheza mechi za nyumbani za michuano hiyo. Yanga sasa haitalazimika kwenda Burundi, baada ya Vital’O kuomba kuutumia Azam…

Read More

‘Ripoti za wasiwasi’ zinaendelea kutekwa nyara na kutoweka nchini Syria – maswala ya ulimwengu

“Miezi kumi na moja baada ya kuanguka kwa serikali ya zamani nchini Syria, Tunaendelea kupokea ripoti za wasiwasi juu ya kutekwa nyara na kutoweka kwa kutekelezwa“Msemaji wa Thameen al-Keetan Alisema Katika mkutano wa waandishi wa habari huko Geneva. Syria inapitia mabadiliko ya kisiasa kufuatia kupindua kwa serikali ya Assad mnamo Desemba 2024 na miaka 13…

Read More

Aliyekuwa Spika Bunge la Ukraine auawa kwa kupigwa risasi

Dar es Salaam. Aliyekuwa Spika wa Bunge la Ukraine, Andriy Parubiy ameuawa kwa kupigwa risasi katika Jiji la Magharibi la Lviv jana Jumamosi, kwa mujibu wa taarifa za Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu. Taarifa zinaeleza kuwa,  mtu mwenye silaha alifyatua risasi kadhaa na kumuua Parubiy papo hapo kisha kukimbia na msako mkubwa umeanzishwa kumtafuta muuaji…

Read More