Haya ndio matumaini mapya wakazi Kisiwa cha Uzi

Unguja. Baada ya kilio, mateso na kuhangaika kwa muda mrefu wakazi wa kisiwa cha Uzi na Ng’ambwa Mkoa wa Kusini Unguja, sasa wameeleza matumaini mapya baada ya kuanza ujenzi wa daraja lenye urefu wa kilometa 2.2 kuunganisha visiwa hivyo na maeneo mengine. Kwa kawaida wananchi wa visiwa hivyo kuingia na kutoka hutegemea kupwa na kujaa…

Read More

Samia kufanyia kazi ombi la Nzega kuwa mkoa mpya

Nzega. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznia kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuyafanyia kazi maombi yaliyowasilishwa kwake na mgombea ubunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe, ikiwemo kuanzisha mkoa mpya wa Nzega. Samia ametoa ahadi hiyo leo, Septemba 10, 2025, wakati wa mkutano wake wa kampeni katika Jimbo la Nzega…

Read More

Samia kufanyia kazi ombi la Nzega kuwa mkoa

Nzega. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznia kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuyafanyia kazi maombi yaliyowasilishwa kwake na mgombea ubunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe, ikiwemo kuanzisha mkoa mpya wa Nzega. Samia ametoa ahadi hiyo leo, Septemba 10, 2025, wakati wa mkutano wake wa kampeni katika Jimbo la Nzega…

Read More

Taifa yaimba na Mbosso | Mwanaspoti

Ni burudani tu ndani ya Uwanja wa Mkapa katika Simba Day, ambapo mashabiki wa Simba wameimba pamoja na msanii Mbosso. Mbosso ambaye ameanza kwa kuimba wimbo wake mpya wa Selemani kabla ya kuimba vigongo vyake kadhaa amewateka zaidi mashabiki kwa kuimba nao ‘live’ wimbo wake wa ‘Haijakaa sawa’ ambao aliutoa wakati yupo chini ya lebo ya…

Read More

TADB na Solidaridad wawezesha Vijana ufugaji Ng’ombe wa Maziwa Mkoani Tanga

Vijana wameendelea kupiga hatua za kimaendeleo Mkoani Tanga Kupitia ufugaji wa ng’ombe wa Maziwa waliowezeshwa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) kwa kushirikiana na Solidaridad. Katika kukabiriana na changamoto ya ukosefu wa ajira kwa vijana, TADB kwa kushirikiana na Solidaridad East Africa wameanzisha mpango wa kipekee unaoitwa Youth Farm Settlement (YFS), chini ya Dairy…

Read More

Baba’ke Kamwe ndani kwa Mkapa Simba Day

BABA mzazi wa Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe yupo kwa Mkapa akishuhudia kilele cha wiki ya Simba Day. Mzee Shaaban Kamwe ambaye amekuwa akitangaza kuwa ni shabiki wa Simba ameingia uwanjani akikaa jukwaa la VIP. Mzazi huyo wa msemaji wa mabingwa wa Ligi Kuu Bara ameingia uwanjani tangu saa 10:00 jioni akiwa na mtoto…

Read More

Historia mpya, washtakiwa 30 wakiri makosa ya ugaidi

Dar es Salaam. Linaweza kuwa moja ya matukio nadra kutokea katika usikilizwaji wa kesi, baada ya washtakiwa wote 30 kukiri makosa kadhaa ya ugaidi na kuhukumiwa kifungo cha miaka sita jela, baada ya kusota gerezani kwa miaka 10. Uamuzi wa washtakiwa kukiri makosa ya ugaidi unaingia katika matukio yaliyovunja rekodi katika haki jinai, hasa ikizingatiwa…

Read More