Zizou abaini kitu Sierra Leone

KIUNGO wa kimataifa wa Tanzania, Zuwena Aziz ‘Zizou’, anayekipiga katika timu ya Mogbwemo Queens ya Sierra Leone ametaja utofauti wa ligi ya nchi hiyo na Tanzania. Zizou ambaye alijiunga na Mogbwemo Queens akitokea Tausi (zamani ikiitwa Ukerewe Queens), aliitumikia kwa msimu mmoja na kuipandisha Ligi Kuu. Akizungumza na Mwanaspoti, Zizou amesema jambo la kwanza ni…

Read More

Richardson Ng’ondya atua anga za KMC

KMC inaendelea na maboresho mbalimbali dirisha hili dogo na kwa sasa uongozi wa kikosi hicho uko katika mazungumzo ya kumnasa kiungo mshambuliaji wa Geita Gold inayoshiriki Ligi ya Championship, Richardson Ng’ondya. Nyota huyo wa zamani wa Mbeya City na Kagera Sugar, ni pendekezo la benchi la ufundi la kikosi hicho chini ya kocha mkuu wa…

Read More

Fei Toto amebakiza mawili tu Bara

BAO la pili lililofungwa na kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ katika dakika ya 35 wakati timu hiyo ikiizamisha Coastal Union kwa mabao 3-0 juzi usiku kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam limezidi kumpaisha nyota huyo katika Ligi Kuu Bara. Azam ilipata ushindi huo uliokuwa ni wa tatu kwa timu…

Read More