Zizou abaini kitu Sierra Leone
KIUNGO wa kimataifa wa Tanzania, Zuwena Aziz ‘Zizou’, anayekipiga katika timu ya Mogbwemo Queens ya Sierra Leone ametaja utofauti wa ligi ya nchi hiyo na Tanzania. Zizou ambaye alijiunga na Mogbwemo Queens akitokea Tausi (zamani ikiitwa Ukerewe Queens), aliitumikia kwa msimu mmoja na kuipandisha Ligi Kuu. Akizungumza na Mwanaspoti, Zizou amesema jambo la kwanza ni…