FCT YAELIMISHA WADAU KUHUSU HUDUMA NA MAJUKUMU YAKE

BARAZA la Ushindani (FCT) jana Desemba 18, 2025, limeendesha semina ya elimu kwa wadau mkoani Mbeya kwa lengo la kuongeza uelewa kuhusu majukumu na huduma zinazotolewa na Baraza hilo. Semina hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya na kufunguliwa na Katibu Tawala Msaidizi – Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mkoa wa…

Read More

Mgombea ubunge Geita Mjini ataja vipaumbele 2025/30

Geita. Mgombea ubunge wa Jimbo la Geita Mjini, Chacha Wambura amesema endapo atachaguliwa kuongoza jimbo hilo kwa kipindi cha 2025/30 kipaumbele chake cha kwanza ni kuboresha sekta ya elimu, maji, afya na miundombinu ya barabara. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni uliofanyika katika Kijiji cha Nyaseke, Kata ya Bulela leo Septemba 15, 2025, mgombea huyo…

Read More

MAHAKAMA ZISITOE DHAMANA KWA MAFISADI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni anasema ufisadi unaweza kumalizika kwa urahisi ikiwa Mahakama haitatoa dhamana kwa mafisadi. Museveni ameyasema hayo wakati akihutubia Baraza la mawaziri katika Taasisi ya Uongozi ya Kyankwanzi, ambapo amesema msaada pekee unaohitajika kutoka kwa Mahakama sio dhamana kwa wale wanaotuhumiwa kwa mauaji, uhaini, ugaidi, ubakaji, unajisi, rushwa na wizi. Na aliwakumbusha…

Read More

BENKI YA STANBIC YABORESHA HUDUMA ZAKE ZA PRIVATE BANKING KWA WATEJA WA MBEYA, YATOA SULUHISHO MAALUMU ZA KIFEDHA KWA WAMILIKI WA BIASHARA.

Benki ya Stanbic yafikisha huduma zake za Private Banking kwa wateja wa Mbeya, Yawafikia watu wenye ukwasi mkubwa na wamiliki wa biashara kwa ushauri wa kipekee wa usimamizi wa mali, uwekezaji, na suluhisho za kifedha zilizo lenga mahitaji yao. · Upanuzi wa kimkakati jijini Mbeya unalenga mazingira yake imara ya biashara, ukiwapa wajasiriamali, wawekezaji, na…

Read More

Juventus vs Man City Kukupatia Faida Mara 2 Leo

MICHUANO ya kombe la Dunia kwa vilabu inazidi kuendelea ambapo Meridianbet kila siku wao wanatafuta namna pekee ya wewe kuweza kuondoka na mpunga wa maana kabisa na mechi hizi. Bashiri kwa GG&3+ mechi ya Juventus vs Man City ushinde pesa mara 2 zaidi. Juventus ambao wana kocha mpya Igor Tudor wanahitaji kushinda taji hili lenye…

Read More

Dkt Biteko Awaongoza Washiriki 12,000 Mbio za NBC Dodoma Marathon, Mil 700 Zakusanywa Kuokoa Maisha ya Mama na Mtoto

Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Dotto Biteko leo ameongoza washiriki zaidi ya 12,000 wa mbio za NBC Dodoma Marathon zilizofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma huku akiwapongeza waandaaji wa mbio hizo Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kufanikiwa kukusanya fedha kiasi cha sh milioni 700 zitakazoelekezwa katika kufadhili malengo makuu matatu yenye dhima ya…

Read More

DKT.MFAUME ATOA MAELEKEZO MAZITO KWA MAAFISA LISHE

OR-TAMISEMI Mkurugenzi wa Huduma za Afya Ustawi wa Jamii na Lishe Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt.Rashid Mfaume amewaelekeza Maafisa Lishe wa Mkoa na Halmashauri nchini kuhakikisha wanaimarisha huduma za lishe ikijumuisha afua za Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto ili kuwezesha makuzi kamilifu ya mtoto. Akitoa maelekezo hayo leo Julai 17,2024 Jijini Dodoma…

Read More

Mwenyekiti mpya CUF kujulikana leo

Dar es Salaam. Jawabu kuhusu kuendelea au kukoma kwa uongozi wa Profesa Ibrahim Lipumba katika nafasi ya uenyekiti wa CUF Taifa, linatarajiwa kupatikana leo, baada ya matokeo ya uchaguzi wa ndani wa chama hicho. Katika uchaguzi huo unaohusisha kuwapata viongozi wa chama hicho kwa ngazi za kitaifa, Profesa Lipumba anachuana na makada wengine wanane waliopitishwa…

Read More

THRDC yapaza sauti changamoto ya intaneti

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeitaka Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kufanya jitihada za kutafuta njia mbadala ya kurejesha mtandao (intaneti) katika hali yake ya kawaida, kwani kukosekana kwake ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Wito huo umetolewa leo Jumatatu na Mratibu wa…

Read More