Maji yanavyowatesa wakazi Buchosa | Mwananchi

Buchosa. Baadhi ya wananchi wa Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wanaotumia kivuko cha Kome II wamelazimika kulipia Sh500 kubebwa mgongoni ili kufikishwa kwenye kivuko hicho baada ya gati kujaa maji. Kujaa kwa maji katika gati hilo ni matokeo ya kuongezeka kwa maji katika Ziwa Victoria kulikosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo tofauti yanayozunguka ziwa…

Read More

Kafulila aipongeza CBE kwa miradi ya ubia

  KAMISHNA wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP), David Kafulila, amevitaka vyuo vya umma nchini kutumia sekta binafsi kujenga mabweni  na miradi mbalimbali kwa ubia na sekta binafsi bila kutegemea fedha za Serikali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Amesema miradi ya ubia inainufaisha zaidi serikali kwani inapata teknolojia…

Read More

ODD ONE OUT Sloti Yenye Njia 243 za Ushindi

  *Sloti ya Odd One Out WAKATI ambao wengi wanasubiri kuanza kwa msimu mpya wa Ligi duniani kote, wajanja wanazidi kupiga pesa kirahisi Zaidi, na Sloti ya ODD ONE OUT. Jisajili hapa kisha upate bonasi ya ukaribisho ya 3,000,000/= Mchezo wa sloti huu kutoka kasino ya mtandaoni inakupa njia 243 za kutengeneza ushindi, unaanzaje kushindwa…

Read More

Siku 3,074 za Kinana CCM kwa mtindo wa kuombwa kurudi, kujiuzulu

Aprili Mosi, 2022, Kanali mstaafu Abdulrahman Kinana, alichaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara. Nilifanikiwa kuzungumza na Kinana muda mfupi baada ya uchaguzi huo na nikamuuliza swali, kwa nini ameamua kugombea tena nafasi hiyo. Alinijibu kwa kifupi: “Nimeombwa kumsaidia mama.” Ni kipindi ambacho Rais Samia Suluhu Hassan, alikuwa akitimiza mwaka mmoja…

Read More

Mirathi ya mstaafu inapokuwa mtego wa panya…!

Mstaafu wetu amesoma moja ya vifurushi vinavyotolewa na hiki kibubu kinachomtunzia hela zake, ambacho kinadai kuwa ni mojawapo ya mikakati ya kibubu hicho kuboresha maisha ya mstaafu! Anaishia kutabasamu kwa uchungu na kuishia kuchoka kabisa. Kifurushi hicho ni kile kilichosema kuwa, inapofika siku ile mstaafu kutakiwa kwenda mbele za haki kupitia Kinondoni, au Mahezanguu kwa…

Read More

Sintofahamu kifo mgombea Chadema, Polisi yafafanua

Kagera. Jeshi la Polisi nchini limesema taarifa za kuuawa kwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wilayani Missenyi mkoani Kagera, Joseph Remigius (52) si za kweli na zinalenga kuupotosha umma. Msemaji wa Jeshi hilo, David Misime kupitia taarifa kwa umma ameeleza hayo leo Ijumaa Novemba Mosi, 2024. Awali kupitia mitandao ya kijamii zilisambaa…

Read More

Hifadhi ya Taifa Katavi Yaimarisha Ulinzi na Usalama Wake kwa Majangili

Na Mwandishi wetu,Katavi MHIFADHI Mwandamizi wa Idara ya Himasheria na Ulinzi wa Kimkakati kutoka Hifadhi ya Taifa ya Katavi, Benedict Mbuya amesema hifadhi hiyo imeendelea kuimarisha ulinzi na usalama wake katika kukabiliana na majangili wa wanyamapori. Ameyasema hayo jana mkoani Katavi wakati akiongea na waandishi wa habari,Mhifadhi Mbuya amesema kutokana na ufanywaji wa doria za…

Read More