Samia: Morogoro ya viwanda inarudi

Morogoro/Mwanza. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeendelea na kampeni kikiahidi kuirejeshea Morogoro hadhi yake ya kuwa mkoa wa viwanda, huku ikieleza itakachowafanyia wananchi wa Mwanza.   Mgombea urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan, leo Agosti 29, 2025 akiwa mkoani Morogoro ameahidi kuurejesha katika hadhi yake kama mkoa wa viwanda ili kuibua fursa nyingi za ajira kwa…

Read More

Pazi yaonyesha ukubwa wake BDL

Timu kongwe ya Pazi ilidhihirisha ubora wake katika Ligi ya Kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ni baada ya kuifunga timu ngumu ya ABC  katika michezo 2-1. Kwa ushindi huo, timu hiyo itacheza na JKT katika mchezo wa nusu fainali, na mchezo huo utatangazwa   baada ya mashindano ya Majeshi (BAMATA) kumalizika. JKT katika mchezo…

Read More

Museven achaguliwa mwenyekiti mpya EAC

Arusha. Rais wa Uganda Yoweri Museveni amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa kipindi cha mwaka mmoja kuanzia Machi 2026 hadi 2028, akichukua mikoba kwa Rais wa Kenya William Ruto aliyemali muda wake. Museveni amechaguliwa leo Jumamosi, Machi 7, 2026 katika Mkutano wa kawaida wa 25 wa wakuu wa nchi wa…

Read More

Furahia na dumisha ndoa yako kisayansi

Kwa muda mrefu, ndoa imekuwa ikitazamwa kama jambo la hisia, bahati au mapenzi yasiyo na maelezo. Watu wengi huamini kuwa ndoa ikianza vizuri, basi itaendelea kuwa nzuri, au ikianza kwa shida, basi ni mkosi wa maisha. Lakini utafiti wa kisayansi umeanza kubadilisha mtazamo huu. Leo, sayansi inaonesha kuwa ndoa yenye furaha si bahati nasibu, bali…

Read More