
Maji yanavyowatesa wakazi Buchosa | Mwananchi
Buchosa. Baadhi ya wananchi wa Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wanaotumia kivuko cha Kome II wamelazimika kulipia Sh500 kubebwa mgongoni ili kufikishwa kwenye kivuko hicho baada ya gati kujaa maji. Kujaa kwa maji katika gati hilo ni matokeo ya kuongezeka kwa maji katika Ziwa Victoria kulikosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo tofauti yanayozunguka ziwa…