KONA YA MALOTO: Uchaguzi Mkuu 2025, harakati na ukumbusho muhimu

Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye anawania kurejea madarakani kwa muhula wa pili, hivi karibuni alitoa kauli, na kwa msisitizo alikumbusha kwamba yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu. Alisema, Oktoba 29, 2025, siku ya uchaguzi, amani, utulivu na usalama vitatawala, watu wajiandae kupiga kura bila wasiwasi. Alisema: “Hakutakuwa na nywinywi wala nywinywinywi.” Kauli hiyo ya Rais Samia,…

Read More

Bado Watatu – 38

Kwa msaada wa polisi wa usalama barabarani pikipiki ilikamatwa mara moja. Ilikutwa katika kituo cha bodaboda cha Kwaminchi. Mwenye pikipiki ndiye huyu hapa niliyekuja naye. Sasa nataka na yeye mumsikilize.” Inspekta Amour akamatazama yule kijana wa bodaboda.

Read More

BDL Ngoma ngumu, Dar City ikishinda jiooni

NUSU fainali ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), imeanza na moto huku timu zilizoshinda zikifanya hivyo kwa mbinde kutokana na ushindani uliopo ambao umeyanfanya mashindano hayo mwaka huu kuwa ya aina yake. Tofauti na miaka michache ya karibuni iliyopita ambapo ligi hiyo haikuwa na ushindani mkali kutokana na kutokuwa na uwekezaji…

Read More

Bajana ataja yatakayoibeba JKT Tanzania

KIUNGO wa JKT Tanzania, Sospeter Bajana amesema kikosi hicho kitafanya vyema msimu huu, kwa sababu kuu mbili, falsafa ya Kocha Ahmad Ally na ubora wa mastaa. Bajana ambaye ameitumikia Azam kwa kipindi cha miaka 15, huu unakuwa msimu wake wa kwanza JKT Tanzania, akiwa amesaini mkataba wa miaka miwili. JKT Tanzania iliyoanza vyema Ligi Kuu…

Read More

Mtihani mwingine Ibenge, Folz Bara

LEO Jumatano, Kocha wa Azam, Florent Ibenge na wa Yanga, Romain Folz, wanaanza kibarua cha kuziongoza timu hizo katika Ligi Kuu Bara. Makocha hao wanaingia uwanjani wakiwa wametoka kupata ushindi muhimu ugenini kwenye mashindano yanayosimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) upande wa ngazi ya klabu. Azam itaikaribisha Mbeya City kwenye Uwanja wa…

Read More

Wakaguzi wa Ndani Wataka Sheria Maalumu ya Kuongoza Taaluma Yao

Na Mwandishi Wetu, Arusha. CHAMA cha Wakaguzi wa Ndani Tanzania (IIA Tanzania) kimeitaka Serikali kuharakisha mchakato wa kuandaa sheria mahsusi ya ukaguzi wa ndani ili kuimarisha utendaji kazi wao, kuongeza uwajibikaji na kupunguza mianya ya matumizi mabaya ya rasilimali za umma. Akizungumza jana jijini Arusha kwenye mkutano wa 12 wa viongozi wa mashirika na taasisi…

Read More

Bado Watatu – 37

Alinipeleka katika chumba kimoja ambako nilimkuta mume wangu Sufiani akiwa pamoja na askari niliyemfahamu kwa jina la Sajin Meja Robert. Polisi hao walikuwa wamepata ushahidi kuwa siku ile lilipotokea tukio…

Read More

Kombe la Europa Linarindima na Fursa za Ushindi Meridianbet

MASHINDANO ya Kombe la Europa yanarejea kwa kishindo leo, huku kila kikosi kikijiandaa kwa vita ya pointi muhimu kuelekea hatua za juu zaidi. Kwa mashabiki wa kubashiri, Meridianbet imeweka mezani michezo mingi ya kuvutia na machaguo tele kuhakikisha huachiwi nyuma katika safari ya ushindi. Kutoka jiji la Sevilla, Real Betis wanaingia dimbani Estadio De La…

Read More