Misingi ya ununuzi yasisitizwa katika utekelezaji wa miradi

Dar es Salaam. Benki ya Dunia imesema utekelezaji wa miradi ya maendeleo hauwezi kufanikiwa bila mifumo madhubuti ya ununuzi inayozingatia ufanisi, uwazi na utekelezaji kwa wakati, ikisisitiza kuwa kuchelewa kwa maendeleo ni sawa na kuwanyima wananchi haki yao ya kunufaika na rasilimali za umma. Kutokana na hilo, Benki ya Dunia imeingia mkataba na Chuo Kikuu…

Read More

Nassoro Hamdani afariki dunia | Mwananchi

Tabora. Mjumbe mstaafu wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa kutoka Mkoa wa Tabora, Nassoro Hamdani, amefariki dunia leo wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam. Mbali na nafasi yake ya kisiasa, Hamdani alikuwa ni mkurugenzi wa kampuni ya usafirishaji ya NBS Classic. Akizungumza na Mwananchi, Salum Hamdani…

Read More

Mahakama yamruhusu mwalimu kufungua kesi kumpinga Rais

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Musoma, imempa muda wa siku 30, aliyekuwa mwalimu, Kasoga Mangire, kufungua shauri la maombi ya mapitio kupinga uamuzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuridhia kufukuzwa kwake kazi. Uamuzi huo umetolewa Januari 30, 2026 na Jaji Marlin Komba baada ya kukubaliana na maombi ya Kasoga kuongezewa muda…

Read More

Hisabati mwiba, robo tatu ya watahimiwa wapata alama F

Dar es Salaam. Wakati takribani nusu ya shule za sekondari nchini zimepata wastani dhaifu na sifuri katika matokeo ya kidato cha nne mwaka 2025, mitihani ya somo la hisabati, baiolojia na book keeping bado ni mwiba kwa wanafunzi. Hii ni kwa mujibu wa matokeo yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) Januari 31, 2026,…

Read More

MILIONI 30 KUSHINDANIWA MASHINDANO MAKUBWA YA QURAAN AFRIKA,MAKAMU WA PILI ZANZIBAR AZINDUA

 Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, leo Februari 1, 2026 amezindua rasmi mashindano makubwa ya usomaji wa Qurani ya mabara yote yanayofanyika nchini Tanzania kila mwaka katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Akizungumza katika uzinduzi huo, Abdulla amewashukuru viongozi wa kitaifa wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

Read More