SERIKALI YAPONGEZA UBUNIFU USHIRIKI MASOKO YA MITAJI
WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, ameagiza wadau wote katika masoko ya mitaji na dhamana wazingatie sheria na kanuni za masoko ya fedha huku wakiimarisha utoaji wa huduma kwa njia ya kidigitali. Akizungumza Jumanne wakati wa sherehe ya 5 ya kuhitimisha kozi ya Cheti cha Sekta ya Dhamana na Shindano la Vyuo Vikuu na…