TANTRADE INAONGOZA MAGEUZI YA SEKTA YA BIASHARA NCHINI KUPITIA MPANGO WA CART.IS

Dodoma, 25 Machi 2025 TanTrade inaongoza mageuzi ya sekta ya biashara nchini Tanzania kupitia Mpango wa CART.IS, unaolenga kuimarisha biashara ya kidijitali kwa urahisi na ufanisi zaidi. Kupitia ujumuishaji wa mifumo ya taasisi mbalimbali na matumizi ya taratibu zisizohitaji karatasi, CART.IS inapunguza urasimu, inaokoa muda na gharama, na kurahisisha huduma kwa wafanyabiashara. TanTrade ikiwa ni…

Read More

Serikali Yaongeza Msukumo Mageuzi ya Sera ya Elimu

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema suala la utekelezaji wa mabadiliko na maboresho yaliyofanyika kwenye Sera ya Elimu na Mafunzo, na Mitaalal inahitaji ushirikiano wa hali ya juu miongoni mwa wadau wote wa elimu, taasisi za serikali na zile zisizo za serikali, wazazi na jamii yote kwa…

Read More

NMB, DarTU zaingia makubaliano kusaidia vijana

Dar e Salaam. Benki ya NMB na Chuo Kikuu cha Tumaini Dar es Salaam (DarTU), wamesaini makubaliano ya ushirikiano (MoU) wa kimakakati, wenye lengo la kujenga mfumo rasmi wa uandaaji vijana na kuwajengea maarifa ya kitaaluma, ujuzi wa vitendo na uzoefu wa kukabiliana ushindani wa soko la ajira. Ushirikiano huo wa miaka mitatu, unakwenda kuweka…

Read More

Linah alivyoagwa Kigamboni, urithi alioacha…

Dar es Salaam. Wakati familia, ndugu na waombolezaji wakimkumbuka Linah Kimaro kama mtu mcheshi na mwenye upendo wakati wa uhai wake, Jeshi la Polisi limesema linaendelea kuchunguza kwa kina chanzo cha kifo chake kilichozua maswali mengi. Linah anayedaiwa kuuawa Machi 20, 2026 majira ya saa saba mchana kwa kuchomwa kisu na mdogo wake, Meshack, ameagwa…

Read More

Lukuvi alivyogusa maisha ya wananchi Idodi

Iringa. Kifo cha William Vangimembe Lukuvi (70) kimeibua simanzi kijijini kwao, Idodi, Jimbo la Islamani, mkoani Iringa kwa wananchi aliowaongoza kwa miaka zaidi ya 31 wakishikwa butwaa wasiamini kilichotokea. Kifo hicho kimetangazwa leo Machi 25,2026 na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka juu ya msiba…

Read More

BANDA LA KLINIKI YA WALAJI LAVUTIA WADAU MBALIMBALI MKOA MARA

  WATUMISHI wa Tume ya Ushindani Ofisi ya Kanda ya Ziwa wametoa elimu kwa wadau mbalimbali, wakiwemo wanafunzi, waandishi wa habari na wafanyabiashara, walipotembelea Banda la Kliniki ya Walaji katika Manispaa ya Musoma Mkoani Mara. Banda hilo limegeuka kuwa kitovu cha maarifa, likiwavutia wengi waliotaka kuelewa kwa undani haki zao kama walaji pamoja na namna…

Read More

MTENDAJI MKUU ADEM YASISITIZA UWAJIBIKAJI NA UMOJA KWA WATUMISHI

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM), Dkt. Maulid J. Maulid, amefanya kikao kazi na watumishi wa taasisi hiyo kutoka kampasi zote, akisisitiza umuhimu wa uwajibikaji, umoja na mshikamano katika kufanikisha malengo ya taasisi. Akifungua kikao hicho, Dkt. Maulid mesema kuwa watumishi wanapaswa kuwajibika kikamilifu katika nafasi zao huku wakidumisha mshikamano…

Read More

Mchongo mpya kujiunga Yanga Soccer School.

NDOTO za vijana wanaopenda soka kutoka mtaani zimepata fursa mpya kufuatia ushirikiano kati ya Yanga na kampuni ya Emwani ambao utawafanya kupata nafasi ya kujiunga na mradi wa Yanga Soccer School. Kupitia mashindano maalum yaliyoandaliwa kutokana na ushirikiano huo ambayo yatafanyika Jumamosi wiki hii Machi 28, 2026 huko Kigamboni kwenye kituo cha TFF, vijana chini…

Read More

Mvua yaua 18 Mbeya, wamo watoto 14

Mbeya. Mvua kubwa inayoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini imesababisha maafa ya vifo vya watu 18 kati yao 14 ni watoto Kata ya Nkunga, Lupepo, Kawetele na Ikuti wilayani Rungwe. Vifo hivyo vimetokea kati ya saa 6 hadi 9:30 usiku wa kuamkia leo Jumatano, Machi 25, 2026 baada ya mvua iliyokuwa na upepo kusababisha nyumba zaidi…

Read More