WAZIRI JAFO APONGEZA UWEKEZAJI KIWANDA CHA SUKARI KILOMBERO

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo,akikagua kiwanda cha sukari Kilombero kilichopo mkoani Morogoro mara baada ya kutembelea kiwanda hicho leo Julai 31,2024. Na Mwandishi Wetu, MOROGORO Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo leo ameupongeza uongozi wa kiwanda cha sukari Kilombero kilichopo mkoani Morogoro kwa uwekezaji mkubwa na kwasasa kinafanyiwa upanuzi mkubwa…

Read More

Serikali yaanza mpango wa kurasimisha upya wamachinga

  Serikali imesema inatarajia kuanzisha mfumo utakaowawezesha wafanyabiashara wasio rasmi kutambuliwa ili kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato ya kodi kwa maendeleo ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Mpango huo unalenga kuwahusisha wafanyabiashara hao katika mfumo rasmi wa uchumi na kuongeza mchango wao katika kuongeza mapato ya serikali. Akizungumza na waandishi…

Read More

Simba yamganda Mpanzu, Onana aitwa Dar

BAADA ya AS Vita kupindua meza dakika za jioni katika dili la winga Mkongomani Elie Mpanzu na Simba, wekundu hao wa Msimbazi wameendelea kumganda staa huyo hadi kieleweke. Awali Simba na Mpanzu walikubaliana kusaini mkataba wa miaka miwili lakini baadae vigogo wanaommiliki Mpanzu akiwemo moja ya matajiri wapya wa AS Vita, aliingilia kati dili hilo…

Read More

Tanesco Kagera kuwachukulia hatua vishoka, makandarasi wasio na leseni

Kagera. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) mkoani hapa limejipanga kuwachukulia hatua kali makandarasi wadogo wasio na leseni na mafundi vishoka wanaovaa sare zenye nembo ya shirika hilo kuwatapeli pesa wananchi. Vishoka hao wamekuwa wakiwatapeli wananchi  kwa ahadi ya kuwaunganisha na huduma za umeme. Hayo yamebainishwa katika kikao kazi kilichofanyika Juni 11, 2024 baina ya Meneja…

Read More

NMB Wapiga Tafu Mashindano ya Kimataifa ya Diplomatic Golf – MWANAHARAKATI MZALENDO

Benki ya NMB imefanikiwa kukabidhi udhamini wa vifaa vya michezo kwa ajili ya wachezaji 150 wanaotarajia kushiriki mashindano ya kimataifa ya Diplomatic Golf 2024. Michuano hiyo inayotarajia kuanza kutimua vumbi kwa siku mbili kuanzia Septemba 21-22, 2024 katika viwanja vya Kili Golf vilivyoko Mkoani Arusha yana lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia watoto…

Read More

Fadlu mkeka umetiki | Mwanaspoti

UNAWEZA kusema ni kama mkeka wa Fadlu Davids umetiki kwani ubora aliouonesha hadi sasa ndani ya Simba, umewafanya Wasauzi wenzake, Orlando Pirates kuanza hesabu za kumrudisha kikosini kwao. Fadlu ambaye alitambulishwa ndani ya Simba Julai 5, 2024 akitokea Raja Casablanca ya Morocco akiwa kocha msaidizi, alipewa mkataba wa miaka miwili kuliongoza benchi la ufundi la…

Read More

Mahakama yatoa amri tano kesi ya Lissu

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,  imetoa amri tano ikiwamo kuridhia, Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu apelekwe mahakamani hapo kwa ajili ya kusikiliza kesi yake ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wa Youtube. Lissu ambaye yupo rumande Gereza la Ukonga, anakabiliwa mashitaka matatu ya kutoa taarifa za uongo, kinyume cha sheria. Amri…

Read More

Wanne wajitosa Urais TOC, yumo Mtaka

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka ni miongoni mwa wagombea wanne waliojitosa kuwania urais kwenye uchaguzi wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC). Wengine ni makamu wa rais wa TOC anayemaliza muda wake, Henry Tandau, Nasra Juma Mohammed na Michael Washa. Mmoja wa viongozi wa Kamisheni ya uchaguzi huo, ameiambia Mwananchi kwamba wagombea hao watatu…

Read More

RAIS SAMIA AITKA WIZARA YA KILIMO KUANZIA MSIMU UJAO WAKULIMA WANALIPWA MOJA KWA MJOA NA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,akizungumza wakati akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha ziara yake mkoani Ruvuma, uliofanyika leo Septemba 28,2024 katika Uwanja wa Majimaji mjini Songea.  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,akizungumza wakati akihutubia wananchi katika mkutano wa hadhara wa kuhitimisha ziara…

Read More

JKT YAENDELEA NA UJENZI WA MAHANGA

Mkuu wa Tawi la Utawala JKT, Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akiweka  jiwe la Msingi  ujenzi wa Mahanga ya Vijana katika kikosi cha 824 KJ Kanembwa,Wilayani Kakonko Mkoani Kigoma. Na.Alex Sonna-KAKONKO JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limeishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kutoa fedha nyingi za maendeleo kwa ajili ya ujenzi wa  miundombinu na majengo  ili…

Read More