SERIKALI KUREJESHA MIUNDOMBINU ILIYOATHIRIKA NA MVUA-MAJALIWA

-Asisitiza mpango wa Serikali wa kukuza sekta ya kilimo WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imejipanga kuendelea kurejesha miundombinu yote ya barabara zilizoathiriwa na mvua zilizonyesha nchini. Amesema hayo leo (Jumamosi Mei 25, 2024) alipokagua daraja lililopo katika kijiji cha Nambilanje ambalo limeharibika kutokana na mafuriko. Daraja hilo linaunganisha Wilaya za Liwale na Ruangwa….

Read More

KAPINGA; AZINDUA KITUO CHA MAUZO YA MAKAA YA MAWE MBINGA"

NAIBU waziri wa nishati Mh Judith Kapinga amezindua kituo cah mauzo ya makaa ya mawe kinachoendeshwa na kampuni ya Market insight limited MILCOAL kilichopo katika kijiji cha Paradiso kata ya Ruanda wilaya ya mbinga mkoa wa Ruvuma. Akizungumza katika uzinduzi huo Mh Judith Kapinga ambaye ndie mgeni rasmi ameipongeza kampuni ya MILCOAL kwa kuchagua wilaya…

Read More

ULEGA AUNDA TIMU KUCHUNGUZA KIVUKO CHA MV TANGA

:::::: Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega ameunda timu ya wataalamu na kuipa siku saba kuchunguza changamoto zinazojitokeza mara kwa mara katika Kivuko cha MV TANGA kilichopo wilayani Pangani, mkoani Tanga, baada ya kupokea malalamiko ya wananchi kuhusu kusuasua kwa utendaji wake. Akizungumza kwa nyakati tofauti mkoani humo, Ulega amesema serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan…

Read More

SBL yataka mazingira yenye usawa wa kodi kwenye bia

  Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Ltd (SBL) waishauri serikali kuzingatia kuimairsha mazingira wezeshi ya sera na kodi ili kukuza mapato ya serikali na ukomavu wa biashara nchini. SBL waliyasema haya kwenye kikao na kamati ya Bunge ya Viwanda na Biashara wikiendi hii. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). “Hali ya kodi…

Read More

Ufanisi wa Bandari ya Dar es Salaam wailteta kampuni ya ‘Volkswagen’ nchini

  KAMPUNI ya kutengeneza magari ya Volkswagen ya Ujerumani imeonesha nia ya kuitumia Bandari ya Dar es Salaam kusafirisha magari na vipuri baada ya kuitembelea bandari hiyo na kueleza kuridhishwa kwake na ufanisi kufuatia uwekezaji na maboresho makubwa yaliyofanyika bandarini hapo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Akiongea baada ya kutembelea eneo la…

Read More

Kocha Uganda achekelea ushindi wa kwanza

FURAHA na shangwe zilitawala kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, Namboole, Kampala baada ya Uganda Cranes kupata ushindi wao wa kwanza kwenye michuano ya CHAN 2024, wakiiadhibu Guinea mabao 3-0 katika mechi iliyochezwa Ijumaa usiku. Bao la kwanza la Uganda lilifungwa dakika ya 31 na Regan Mpande, aliyetumia vyema krosi na kuupiga kichwa kilichomshinda kipa wa…

Read More