SHULE MPYA YA MAPINDUZI KUWAONDOLEA ADHA YA UMBALI WANAFUNZI

Na Mwandishi Wetu, Handeni HALMASHAURI ya Mji Handeni mkoani Tanga imeandika historia mpya baada ya kukamilisha ujenzi wa Shule ya Amali ya Mapinduzi, hatua itakayowaondolea wanafunzi adha ya kutembea umbali wa kilometa 22 kila siku kufuata elimu katika Shule ya Sekondari Kwenjugo. Mradi huo uliofadhiliwa na serikali kupitia Mpango wa Kuimarisha Elimu ya Sekondari (SEQUIP)…

Read More

JKT yatinga fainali ya CECEFA

JKT Queens imetinga fainali ya michuano ya Afrika Mashariki na Kati kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake baada ya kuishinda Kenya Police Bullets kwa mikwaju ya penalti 4-2 kufuatia sare ya bao 1-1. Mechi hiyo imepigwa katika Uwanja wa Moi Kasarani, Naironi Kenya, ambako yanafayika mashindano hayo yaliyoanza Septemba 4 na fainali itapigwa keshokutwa…

Read More

MARY CHATANDA AMUOMBEA KURA DK.SAMIA MKURANGA, AMPIGIA DEBE ULEGA MKURANGA

Na Mwandishi Wetu,Mkurunga  MWENYEKITI wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania(UWT) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mary Chatanda amesema Chama hicho  kimewateua wagombea wanaokubalika kuelekea Uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29 mwaka huu. Hivyo amesema jukumu kubwa la wananchi ni kuhakikisha wanawachagua wagombea wa Chama hicho kuanzia nafasi ya Urais ,wabunge na madiwani kwa  kuwapa…

Read More

Ibenge awageukia washambuliaji wake | Mwanaspoti

AZAM FC baada ya kucheza mechi mbili za Ligi Kuu Bara ugenini na kutoka sare zote, leo Jumapili itakuwa nyumbani ikiikaribisha Mbeya Kwanza katika hatua ya 32 Bora ya Kombe la Shirikisho la CRDB, huku kocha wa kikosi hicho, Florent Ibenge akisema kuna kitu amekishtukia kwa washambuliaji wake. Pointi mbili ilizovuna Azam kwenye mechi hizo…

Read More

Viazi lishe kuinua kipato cha wakulima

Iringa. Serikali ya Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, imezindua rasmi mbegu za miche ya viazi lishe, hatua inayolenga kuimarisha usalama wa chakula, kuboresha lishe na kuongeza kipato cha wakulima wa mkoa huo. Uzinduzi huo umefanyika leo Jumatatu Machi 2, 2026 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa na kuongozwa na…

Read More

Saba waunganishwa kesi bosi wa Jatu, wasomewa mashtaka 37

Dar es Salaam. Watu saba sambamba na  kampuni ya Jatu Public Limited, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 37 yakiwamo ya ubadhilifu wa fedha, kutakatisha fedha na kuisababishia hasara Jatu Saccos ya  Sh3.149 bilioni. Katika mashtaka hayo 37,  32 yanaikabili kampuni ya Jatu Public Limited ambayo ni kutakatisha fedha kwa kujipatia…

Read More

Guterres inataka kusitisha mapigano kwani viongozi wa Ulaya wanathibitisha haki za Ukraine katika UN – Masuala ya Ulimwenguni

Akielezea baraza, Bwana Guterres Alisema Mzozo huo, sasa katika mwaka wake wa nne, “umeleta mateso makubwa na kutokuwa na utulivu katika mkoa na zaidi.” Alikumbuka kwamba mnamo Februari 2022, zote mbili Baraza la Usalama na Mkutano Mkuu ulipitisha maazimio ya kutaka mwisho wa vita na amani ya kudumu. “Lakini pia tumeona kuongezeka kwa mapigano –…

Read More