Polisi yamtaka Morrison afike kituoni Mbweni

JESHI la Polisi limetoa ufafanuzi baada ya aliyekuwa mshambuliaji wa zamani wa Yanga na Simba, Bernard Morrison, kulituhumu jeshi hilo kituo cha Mbweni kuwa linachukua rushwa, likimtaka staa huyo kufikia kituo hapo. Juzi Morrison raia wa Ghana, alisambaza taarifa katika mitandao ya kijamii akikituhumu kituo cha Polisi Mbweni kuwa polisi wake wanachukua rushwa na wanafanya…

Read More

Majaliwa aionya tume uchunguzi ajali ya Kariakoo

Arusha. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amewaonya wajumbe wa tume ya wataalamu ya uchunguzi wa ajali ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa nne Kariakoo jijini Dar es Salaam, kutokulindana na kuwaficha wahusika wa uzembe uliosababisha ajali hiyo. Aidha amesema ripoti ya tume hiyo haitasaidia eneo la Kariakoo peke yake bali itatumika kote nchini kusimamia ujenzi uwe…

Read More

Gachagua akalia kuti kavu, adaiwa kukimbizwa hospitali

  Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, ameshindwa kujitetea mbele ya Bunge la Seneti, baada ya kudaiwa kuugua na kupelekwa hospitali. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Wakili wake, Paul Muite, ameliambia Bunge la Seneti kwamba Gachagua ni mgonjwa na kuwa yuko hospitalini, saa chache kabla hajajitetea mbele ya maseneta. Gachagua alitakiwa kujitetea mbele ya…

Read More

Siku 14 kuamua hatma ya Pacome Yanga

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa siku 10 hadi 14 baada ya kuumia kifundo cha mguu (Ankle sprain). Pacome aliumia kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Azam baada ya kugongana na Yahya Zayd katika mchezo huo timu yake iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 yakiwekwa kambani naye…

Read More

Mwakilishi ahoji kusuasua bandari za Pemba

Unguja. Mwakilishi wa Pandani, Profesa Omar Fakih Hamad amesema licha ya kauli za Serikali za kukusudia kukifungua kisiwa cha Pemba kupitia bandari inayoweza kutoa huduma za kimataifa, uhalisia wa jambo hilo bado haujaonekana. Profesa Hamad amesema hayo wakati akiuliza swali leo Alhamisi Februari 27, 2025 katika mkutano wa 18 wa Baraza la Wawakiliahi. “Ni kwa…

Read More

Nchi 33 kushiriki maonyesho ya utalii Tanzania

Dar es Salaam. Takriban nchi 33 zimethibitisha kushiriki maonyesho ya kimataifa ya utalii ya Swahili International Tourism Expo (Site) yanayotarajia kufanyika kati ya Oktoba 11 na 13, 2024 nchini Tanzania. Maonyesho hayo yanatoa fursa kwa Tanzania kuwa na uwezo wa kufikia masoko katika nchi ambazo bado hazijaleta watalii wengi licha ya kuwa na watu wengi….

Read More

Mchujo kupita Singida Black Stars

SINGIDA Black Stars ambayo msimu ujao itashiriki Kombe la Shirikisho Afrika, imepanga kufanya mchujo mkali kwa wachezaji iliowatoa kwa mkopo ili kufanya uamuzi wa kuendelea nao au kuwaacha. Taarifa kutoka katika klabu hiyo iliyo nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, zinabainisha kikosi hicho kina wachezaji zaidi ya 10 waliotolewa kwa mkopo katika…

Read More

Rais Samia: Kila anayestahili fidia atalipwa

Madaba. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema hakuna mwananchi atakayeguswa na mradi unaotekelezwa na Serikali asilipwe fidia. Ingawa inaweza kuchelewa, amesema Serikali itahakikisha inampa kila mwananchi haki yake anayostahili. Rais Samia ametoa hakikisho hilo la fidia kwa wananchi wakati akijibu ombi la Mbunge wa Madaba (CCM), Dk Joseph Mhagama aliyeomba wananchi watakaopitiwa na ujenzi…

Read More