Kesi za wabunge Chato zaahirishwa, sababu yatajwa
Geita. Kesi mbili zinazowakabili wabunge wawili wa majimbo ya Chato na baadhi ya madiwani, zimeahirishwa baada ya watuhumiwa kushindwa kufika mahakamani kwa sababu mbalimbali. Kesi hizo zinazowahusu Mbunge wa Chato Kusini, Paschal Lutandula na Mbunge wa Chato Kaskazini, Cornel Magembe pamoja na madiwani wanne akiwemo aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Bathoromeo Manunga,…