Kesi za wabunge Chato zaahirishwa, sababu yatajwa

Geita. Kesi mbili zinazowakabili wabunge wawili wa majimbo ya Chato na baadhi ya madiwani, zimeahirishwa baada ya watuhumiwa kushindwa kufika mahakamani kwa sababu mbalimbali. Kesi hizo zinazowahusu Mbunge wa Chato Kusini, Paschal Lutandula na Mbunge wa Chato Kaskazini, Cornel Magembe pamoja na madiwani wanne akiwemo aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Bathoromeo Manunga,…

Read More

MZIKI WA DKT.AGNES GIDNA WAIKUNA KAMATI YA BUNGE.

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imempongeza Afisa Uhifadhi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Dkt. Agnes Gidna kutokana na umahiri, umakini, kujiamini na uchambuzi wake mkubwa wa masuala ya mambo kale na jiolojia. Wakiongozwa na mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Timotheo Mnzava wabunge hao wametoa pongezi hizo baada ya…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Pedro utafakari ushauri wetu

SISI hapa kijiweni kazi yetu ni kutoa ushauri tu halafu mwisho wa siku tunamuachia muhusika mwenyewe achague kuufanyia kazi au kuachana nayo. Kwa sababu tuna uzoefu kidogo na soka la Tanzania, kuna dalili fulani zikianza kujitokeza tunaanza kupata picha ya kile kinachoweza kutokea mbele ya safari kama kitakuwa na neema au nuksi. Hilo ndilo linatufanya…

Read More

Polisi Dar wakazia marufuku matumizi ya njia za mwendokasi

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesisitiza marufuku kwa magari binafsi, ya serikali pamoja na pikipiki kutumia barabara maalum za mabasi yaendayo haraka (BRT), likieleza kuwa hatua hiyo inalenga kuzuia ajali zinazoweza kusababisha madhara makubwa kwa abiria. Tamko hilo linakuja kufuatia kuendelea kwa ukiukwaji wa sheria za usalama barabarani…

Read More

Tabora Utd yaitaka nafasi ya Singida BS

ZIKIWA zimesalia takribani wiki mbili kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-26, uongozi wa Tabora United umesema inataka timu kufanya vizuri zaidi ili kumaliza ligi ndani ya nafasi nne za juu kwenye msimamo tofauti na ilivyokuwa msimu uliopita. Timu hiyo msimu uliopita ilimaliza katika nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu…

Read More

Ahueni wakulima Kishapu wakikabidhiwa matrekta

Shinyanga.  Wakulima wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wamekabidhiwa matrekta yenye thamani ya Sh238.4 milioni ili kuondokana na matumizi ya jembe la mkono na kuongeza uzalishaji kupitia kilimo na kukuza uchumi wao na taifa kwa ujumla. Akikabidhi matrekta hayo Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Peter Masindi leo Septemba 26, 2025 amesema hatua hiyo ni chachu ya kuwaletea…

Read More