Vifo vya raia vifo katika wiki moja huku kukiwa na uhasama unaokua – maswala ya ulimwengu

Takwimu hii inawakilisha a ongezeko mara tatu kutoka wiki iliyopita, Wakati angalau raia 89 walipoteza maisha wakati wa uhasama unaoendelea. Mgogoro huo unachanganywa na kuongeza vurugu huko Kusini Kordofan na Blue Nile States, ambapo janga la kibinadamu liko, kulingana na Mratibu wa kibinadamu wa UN kwa Sudan. Clementine Nkweta-Salami. Kuongezeka kwa vurugu Wiki hii, mzozo…

Read More

JK AENDELEZA JUHUDI KUKUZA SEKTA YA MAJI BARANI AFRIKA.

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete ameshiriki Mkutano wa Bodi wa Taasisi ya Kimataifa inayojishughulisha na Masuala ya Maji Barani Afrika (Global Water Partnership – Southern Africa and Africa Coordination Unit – GWPSA – Africa) uliofanyika tarehe 29 Oktoba, 2024, jijini Pretoria, Afrika Kusini. Rais Mtaafu Dkt. Kikwete ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi hiyo inayotoa…

Read More

Vinywaji hivi hatari kwa mjamzito, mtoto

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya wametahadharisha kuhusu ongezeko la matumizi ya vinywaji vyenye sukari nyingi, hususani soda kwa wajawazito, wakieleza ni tishio kwa afya ya mama na mtoto. Tafiti zinaonesha idadi ya wajawazito wanaokunywa soda mara kwa mara inaongezeka hasa mijini kutokana na urahisi wa upatikanaji wake pamoja na dhana kuwa havina madhara makubwa…

Read More

Makocha 29 wapigwa msasa Arusha

Makocha 29 wamemaliza kozi ya awali ya ukocha wa soka maarufu kama Fifa Grassroots Football Coaching Course kwa ajili ya kufundisha vijana na watoto. Mafunzo hayo yamefanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Royal eneo la Sinoni Unga Ltd na Uwanja wa Sheikh Amri Abeid yakiandaliwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kushirikiana na…

Read More

WANANCHI WAAHIDI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUPAMBANA NA CHANGAMOTO YA WANYAMAPORI WAKALI NA WAHARIBIFU

Na. Beatus Maganja Kufuatia changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu nchini, wananchi wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa hususani Shinyanga na Mwanza wamekubali na kuahidi kushirikiana na Serikali kukabiliana changamoto hiyo ili kupunguza adha kwa wananchi hasa wale wanaoishi pembezoni mwa hifadhi. Wakizungumza na waandishi wa habari katika ziara iliyofanywa na Mamlaka ya Usimamizi wa…

Read More

CCM Mbeya yatoa siku 30 ujenzi mifereji makaburi ya Isanga

Mbeya. Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani hapa kimetoa mwezi mmoja kwa Halmashauri ya jiji la Mbeya kujenga miundombinu ya mfereji katika makaburi ya Isanga yaliyopo Mtaa wa Mkuyuni. Hatua hiyo imetokana na malalamiko ya wananchi kutokana na miili ya watu waliozikwa kwenye makaburi hayo kufukuliwa na kuelea kwenye maji au kusombwa hadi katika makazi ya…

Read More