Man Utd yatangaza kuwekeza £50m huko Carrington.

Manchester United itaanza kazi ya kurekebisha jengo la timu ya kwanza ya wanaume kuwa la kisasa kwenye Uwanja wa Mafunzo wa Carrington wiki ijayo, kwa kulenga kuweka mazingira ya utendakazi wa hali ya juu kwa wachezaji na wafanyikazi. Mradi huo wa pauni milioni 50 utasababisha maeneo yote ya jengo hilo kufanyiwa ukarabati ili kutoa kituo…

Read More

NBAA YAWANOA WATAHINIWA MITIHANI CPA

  Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendesha warsha kwa njia ya mtandao pamoja na mafunzo ya ana kwa ana kwa wanafunzi wanaotarajia kufanya mitihani ya Bodi, ikilenga kuongeza ufanisi na maandalizi bora kwa watahiniwa wake. Akizungumza wakati wa kufungua warsha hiyo kwa niaba ya  Mkurugenzi Mtendaji, Peter Lyimo, Mkurugenzi…

Read More

Mwananchi Day 2024… Nyie hamuogopi!

NDIYO kaulimbiu iliyoko mtaani leo katika siku ambayo Yanga wana pati lao la Mwananchi Day kwenye Uwanja wa Mkapa. Wanatamba kikosi chao ni bandika bandua hasa kutokana na mastaa wazoefu waliowaongeza kutoka katika baadhi ya washindani wao ikiwemo Simba na Azam. Shoo ya leo inafanyika saa 24 tu, tangu Simba nao wafanye pati lao la…

Read More

Samatta arudishwa Stars kuivaa DR Congo

KAIMU kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars, Hemed Morocco ametangaza kikosi cha wachezaji 23 watakaoshiriki katika maandalizi ya michezo miwili ya kuwania nafasi ya kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon 2025) dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo).  Tanzania ambayo ipo kundi H ikiwa na pointi nne baada ya kutoka suluhu…

Read More

Sababu bei ya nyama kupaa, Dar yaongoza

Dar es Salaam. Kupungua mifugo inayopelekwa sokoni, madai ya kuwapo wanunuzi kutoka nje ya nchi katika minada ya awali na ongezeko la mahitaji ya nyama ni miongoni mwa sababu ya zinazotajwa kupaisha bei ya nyama katika maeneo mbalimbali nchini, Dar es Salaam ikiongoza. Sababu hizo zimechochea kupanda kwa bei ya ng’ombe katika minada ya awali…

Read More

Waliojaribu Kumteka Tarimo Kizimbani, Warudishwa Rumande

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv WATUHUMIWA sita wanaodaiwa kufanya jaribio la kumteka Mfabyabiashara Deogratius Tarimo wamepelekwa gerezani baada ya kushindwa kutimiza masharti ya dhamana dhidi ya kosa lao hilo. Washtakiwa baada ya kusomewa kesi yao, mahakama iliwapa masharti ya dhamana ambapo kila mshtakiwa alipaswa kuwa na wadhamini wawili wenye barua za utambulisho kutoka kwa mwajiri…

Read More