NMB mwajiri bora mwaka wa tatu mfululizo

Dar es Salaam. Benki ya NMB imetangazwa kuwa mwajiri bora Tanzania kwa mwaka wa tatu mfululizo kupitia tuzo za kimataifa za waajiri 2026 zinazotolewa na taasisi ya Top Employers Institute, zilizotangazwa wiki hii. Cheti hicho cha mwajiri bora, kinachotolewa na taasisi ya kimataifa iliyobobea katika ubora wa rasilimali watu, kinaifanya NMB kuwa miongoni mwa takribani…

Read More

UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Mambo haya 4 yakifanyika, tutaponya majeraha ya Oktoba 29

Hakuna ubishi kuwa taifa limegawanyika, watu wana maumivu makubwa mioyoni mwao kutokana na yale yaliyotokea Oktoba 29, 2025 na siku zilizofuata na jitihada za kulileta taifa pamoja zinaendelea, lakini kuna mambo tunakwepa kuyafanya. Kuna vidonge vinne tu ambavyo taifa likipewa vitatuliza maumivu, kusameheana na kuanza upya navyo ni watawala kukiri makosa, kuomba radhi, kulipa fidia…

Read More

DC Maswa aweka mkazo ufaulu darasa la nne, saba

Maswa. Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Dk Vicent Anney ametoa wito kwa walimu wakuu, walimu wa taaluma pamoja na wazazi na walezi kushirikiana kwa karibu ili kuongeza kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi wa shule za msingi, hususan wanafunzi wa madarasa ya mitihani likiwamo la nne na la saba. Akizungumza Januari 18, 2025 wakati…

Read More