Ruto na urais wake, Gachagua Mlima Kenya, taifa njiapanda

Watu wawili, mmoja mwenye maarifa makubwa ya biashara, mwingine alibeba mtaji mkubwa, waliungana kusaka mafanikio waliyonayo hivi sasa. Wakiwa kileleni, kila mmoja anajiona ndiye nguzo kuu ya mafanikio. Mwenye mtaji anajinasibu kuwa kwa maarifa yake, angeweza kuungana na yeyote mwenye mtaji na kufikia mafanikio waliyonayo. Aliyebeba mtaji, yeye anaona bila yeye hakuna ambacho kingewezekana. Kadiri…

Read More

Chilo: Safari ya Ulaya inanukia

BEKI wa kati wa Tanzania Prisons, Chilo Mkama amethibitisha kuwa katika mazungumzo na timu ya Ulinzi Stars ya nchini Kenya huku akieleza kuwa dili hilo likitiki inaweza kuwa safari yake ya kulisaka soka la kulipwa Ulaya. Nyota huyo aliwahi kuzichezea timu kadhaa kwa mafanikio ikiwamo Toto Africans, Mbao, Polisi Tanzania na msimu uliopita alikuwa beki…

Read More

Gamondi afichua jambo Yanga | Mwanaspoti

HESABU za Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi ni kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara mapema tu kadiri iwezekanavyo na ndiyo maana amefichua kuwa na dozi maalum kwa wachezaji wake kwenye uwanja wa mazoezi ili kila mmoja kuwa fiti na tayari kwa mchezo ambao atataka kumtumia. Baada ya kutolewa wiki chache zilizopita katika hatua ya…

Read More

Zama baharini kusaka utajiri kwenye Kasino ya Lucky Dolphin

  Unambiwa bahari imebeba viumbe vingi vya ajabu, samaki, majini na madini, lakini pia rasilimali zenye utajiri mkubwa kama mafuta na gesi kwa kiasi kikubwa vinapatikana baharini waulize wavuvi watakwambia juu ya maajabu ya baharini. Meridianbet kasino mtandaoni inakurudisha baharini kuusaka utajiri kupitia mchezo wa kasino unaitwa Lucky Dolphin. Lucky Dolphin ni sloti ya kasino…

Read More

Mnyika agusa madai ya Lissu, amtaka ayafikishe rasmi

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, amekanusha madai ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu yakiwamo ya ukosefu wa uadilifu na mfumo mbovu wa fedha, akitaka wanachama wenye malalamiko kama hayo kuyawasilisha kupitia njia rasmi za chama. Akitangaza nia yake ya kuwania uenyekiti wa Chadema jijini Dar es Salaam Desemba 12,…

Read More

Ali Kamwe aaga Jangwani, ataja sababu

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ali Kamwe ametangaza kuachia nafasi hiyo huku akisema muda wake umemalizika. Kamwe aliyehudumu katika nafasi hiyo kwa miaka miwili amethibitisha kuondoka Yanga kupitia ukurasa wake wa mtandao w Instagram leo Jumapili Julai 28, 2024. “Mtumbuizaji mzuri anatakiwa kujua ni wakati gani wa kuondoka Jukwaani. Maneno ya hekima kutoka…

Read More

Zawadi kwenye paketi za vyakula hatari kwa watoto

Dar es Salaam. Wakati matumizi ya bidhaa za vyakula vya kwenye paketi vinavyouzwa pamoja na zawadi ndogo, hasa kwa watoto yakiongezeka nchini, wataalamu wa afya wanaonya wakitaka uwepo umakini kwa watumiaji, kwani zawadi hizo zinaweza kusababisha madhara ya kiafya na kijamii. Zawadi hizo mara nyingi ni bidhaa za kuchezea au vifaa vidogo vya plastiki (kama…

Read More