HaloPesa Yazidi Kuwazawadia Wateja Kupitia Kampeni ya “Tamba na Bonasi”
HaloPesa Tamba na Bonasi imezidi kukiwasha zaidi katika soko la huduma za kifedha Tanzania, baada ya kufanikiwa kuwazawadia zaidi ya washindi 400 ndani ya kipindi cha mwezi mmoja tangu kuzinduliwa kwake. Kupitia kampeni hii, wateja wa HaloPesa wamekuwa wakipata nafasi ya kujishindia bonasi mbalimbali kila wanapofanya miamala, ikiwemo kutuma pesa, kutoa pesa, kulipa bili, au…