Nyambui ashauri mambo matatu kukuza riadha

‎DAMIAN MASYENEN‎‎KUENDELEA kusuasua kwa riadha nchini kumemuibua mwanariadha mkongwe na kocha wa mchezo huo, Suleiman Nyambui ambaye ameshauri mambo matatu yatakayoupa hadhi mchezo huo. Nyambui ameyataja mambo hayo kuwa ni kupata wadhamini, mbio zinazoandaliwa katika maeneo mbalimbali nchini kuwa na maandalizi bora yatakayovutia wanariadha kushiriki pamoja na wadau na wanariadha kujitokeza kwa wingi pale mbio…

Read More

BoT yafichua uimara wa uchumi kipindi cha uchaguzi

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema itaendelea kuboresha hatua za kudhibiti mfumuko wa bei na kulinda thamani ya Shilingi kuhakikisha uchumi utaendelea kuwa imara licha ya nchi kuwa kwenye uchaguzi. Gavana wa BoT, Emmanuel Tutuba, akizungumza na gazeti dada la The Citizen, amesema benki hiyo itahakikisha mzunguko na thamani ya fedha vinabaki…

Read More

UMOJA WA VIWANDA VYA ALIZETI WAPATIWA ELIMU YA VIPIMO

Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Dodoma imewahakikishia wafanyabiashara wa Mji wa Kibaigwa Wilayani Kongwa kuwa itaendelea kusimamia usahihi wa vipimo vinavyotumika kufanyia biashara katika eneo hilo kwa lengo la kuhakikisha kunakuwa na biashara ya usawa na haki baina ya mnunuzi na muuzaji. Vilevile WMA Dodoma imetoa wito kwa wafanyabiashara hao kwa upande wao kuzingatia…

Read More

ALAF Yaahidi Kuendelea Kuwekeza Katika Afya za Wafanyakazi Kupitia Kili Marathon

Moshi, Tanzania – Kampuni ya ALAF Limited imeahidi kuendelea kuwekeza zaidi katika afya za wafanyakazi wake kwa kuhimiza ushiriki wao katika shughuli za michezo, ikiwemo mbio za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon zilizofanyika hivi karibuni mkoani Kilimanjaro. Akizungumza mara baada ya mgeni rasmi, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, kutembelea banda la…

Read More

Kufunga kwampa mzuka Adeyum Saleh

BEKI wa kushoto wa Bigman, Adeyum Saleh, amesema siri ya kufunga mabao zaidi kwa sasa katika kikosi hicho ni kutokana na umakini mkubwa aliokuwa nao wa kumalizia nafasi, hususani anapokuwa anatengeneza mashambulizi kutokea pembeni ya uwanja. Akizungumza na Mwanaspoti, Adeyum aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu baada ya kuachana na Geita Gold, amesemamechi za hivi…

Read More

Polisi, Uhamiaji kufungua dimba Ligi Kuu Zanzibar

TIMU za Polisi na Uhamiaji, zitafungua dimba la Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2025-2026 baada ya ratiba kutangazwa rasmi. Ratiba hiyo iliyotangazwa na Bodi ya Ligi Zanzibar, inaonesha mechi zitaanza kuchezwa Septemba 20, mwaka huu ambapo Polisi itakuwa mwenyeji wa Uhamiaji kwenye Uwanja wa Uwanja Mao A uliopo Unguja, saa 10:15 jioni. Katika ratiba hiyo,…

Read More

Dereva wa bajaji adaiwa kujinyonga

Njombe. Dereva bajaji, Msafiri Sanga (40), amekutwa amefariki dunia kwa kile kilichoelezwa kuwa alijinyonga, huku chanzo kikitajwa ni wivu wa mapenzi. Hata hivyo, leo Jumamosi Februari, 28 2026 alipotafutwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Mahamoud Banga kwa njia ya simu ili kupata taarifa rasmi za tukio hilo, simu yake haikupokewa. Mwili wa Sanga ulikutwa…

Read More

Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel, Kamoto Afanya Ziara ya Mradi wa Ukarabati Shule ya Msingi Kiromo

MKURUGENZI Mtendaji wa Airtel Tanzania, Charles Kamoto, pamoja na viongozi wengine wa kampuni, hivi karibuni walifanya ziara katika Shule ya Msingi Kiromo ili kuangalia maendeleo ya mradi wa ukarabati unaofadhiliwa na Airtel Tanzania. Mradi huu unaonyesha dhamira ya Airtel katika kuboresha mazingira ya kujifunzia na kusaidia elimu katika jamii wanazofanyia kazi. Wakati wa ziara, timu…

Read More