Mfahamu Dk Alicia Massenga Mkurugenzi mpya wa Bugando

Mwanza. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limemteua Dk Alicia Massenga kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando, iliyopo jijini Mwanza. Taarifa kwa umma iliyotolewa leo Jumatatu, Juni 23, 2025 na aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa hospitali hiyo, Dk Bahati Wajanga imesema Dk Alicia ataanza majukumu yake leo. “Rais wa Baraza la Maaskofu…

Read More

Kampuni ya siri nyuma ya mgogoro wa P-Square

NI miaka mingi sasa wanamuziki pacha Peter na Paul Okoye wanaounda kundi la P-Square kutoka Nigeria hawana maelewano na hivyo kila mmoja kushika njia yake kimuziki na kifamilia, lakini hiyo haijawa mwarobaini wa tofauti zao. Kampuni ya siri ndiyo ipo nyuma ya mgogoro wao ambao umeshuhudiwa hivi karibani katika mitandao ya kijamii ikiwa ni matokeo…

Read More

Vodacom Supported Startups benefit from learning tour in China

Seven pioneering startups from the Tanzania Innovation ecosystem are innovating for social impact. Selected for Vodacom’s prestigious Digital Accelerator Program season 3, these visionary entrepreneurs recently returned from an enlightening trip to Shenzhen, China, a global tech hub. Among giants of innovation, they gained invaluable insights, fueling their mission to reshape Tanzania’s digital landscape. This…

Read More

BANK OF AFRICA YAZIDI KUBORESHA HUDUMA ZAKE KWA WATEJA

Na Mwandishi, Michuzi Tv BANK OF AFRICA Tanzania imeeleza dhamira yake ya kuendelea kuwekeza katika huduma bora kwa wateja wake ili kuchochea maendeleo ya kifedha na ukuaji wa uchumi nchini. Akizungumza kwenye hafla ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Wasia Issa Mushi,…

Read More

ATE, TUCTA, VETA Kuimarisha ujuzi Wahitimu wa Mafunzo ya Ufundi

Mtendaji Mkuu wa Chama  cha waajiri Tanzania (ATE) Suzanne Ndomba Doran na Katibu Mkuu wa Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Herny Nkunda wakisaini mikataba na  mikataba waliyosaini kwaajili ya kuimarisha Mafunzo ya Ufundi. Mtendaji Mkuu wa Chama  cha waajiri Tanzania (ATE) Suzanne Ndomba Doran akizungumza wakati wa utiaji wa saini ya kutekeleza makubaliano ya Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Shirikisho la wenye viwanda (CTI), Vyuo vya…

Read More

Sababu Yanga kuitwa kambini fasta

WACHEZAJI wa Yanga wamerejea mazoezini baada ya kuwa na mapumziko ya takribani wiki moja tangu watoke kuichapa Coastal Union mabao 3-1 katika mchezo wa hatua ya 32 bora michuano ya Kombe la Shirikisho (FA), Machi 12 mwaka huu. Kabla ya kucheza na Coastal, Machi 8 mwaka huu Yanga ilitarajiwa kuikabili Simba katika mchezo wa Ligi…

Read More