Guterres analaani mgomo wa Israeli kwa viongozi wa Hamas huko Qatar kama ‘ukiukwaji mkali’ – maswala ya ulimwengu

Katika taarifa yake, António Guterres alizungumza dhidi ya kile alichokiita “ukiukaji mkali” wa uhuru wa Qatari na uadilifu wa eneo. Alisisitiza kwamba vyama vyote lazima vizingatie kufikia mapigano ya kudumu huko Gaza, “sio (juu) kuiharibu”. Hakuna viongozi wakuu waliouawa, anadai Hamas Hamas aliripoti kwamba watu sita waliuawa, pamoja na mtoto wa mmoja wa viongozi wake…

Read More

Ukata watajwa kukwamisha kampeni za vyama vya upinzani Mbeya

Mbeya. Zikiwa zimetimia siku 14 tangu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuruhusu kuanza kwa kampeni, baadhi ya vyama vya siasa, hususani vya upinzani mkoani Mbeya bado hakijaeleweka, huku wagombea wakieleza sababu tofauti. INEC ilitangaza kuanza kampeni za uchaguzi mkuu tangu Agosti 28 kwa wagombea nafasi za urais, ubunge, udiwani na uwakilishi, lakini kwa…

Read More

Burudani zatawala nje kwa Mkapa

ACHANA na burudani inayotarajiwa kutolewa baadaye na Simba, lakini hivi sasa nje kuna vaibu lingine linaloendelea kwenye maeneo tofauti karibu na Uwanja wa Mkapa. Leo ni kilele cha wiki ya Simba Day ambayo hutambulisha wachezaji wapya na benchi la ufundi ikitaambatana na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali na mechi ya kirafiki. Kuna kikundi cha mashabiki…

Read More

Wauza jezi kicheko Simba Day

WAKATI zikisalia saa chache kuanza kwa kilele cha tamasha la Simba Day, asilimia kubwa ya mashabiki wamevalia jezi mpya ya timu hiyo, lakini wafanyabishara wa bidhaa hizo wakichekelea. Kilele cha wiki ya Simba Day ni siku ambayo hutambulisha wachezaji wapya, benchi la ufundi kitaambatana na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali akiwemo Ali Kiba, Yammi, Mbosso…

Read More

Mechi za Kukutajirisha na Meridianbet Hizi Hapa

JUMANNE ya leo mechi za kufuzu Kombe la Dunia Afrika zinaendelea kama kawaida ambapo kila timu inahitaji ushindi kujiweka kwenye nafasi nzuri ya ushindi. Suka jamvi lako la uhakika hapa na uibuke bingwa sasa. Tanzania baada ya kutoa sare mechi yake iliyopita akiwa ugenini, leo hii atakuwa mwenyeji wa Niger ambao kushinda mechi hii leo…

Read More

Wakamuliwa buku mbili, kupiga  picha bango la mastaa Simba 

WAKATI  biashara mbalimbali zikiendelea kufanywa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa linapofanyika tamasha la Simba Day leo, wapiga picha mnato nao wameanzisha ubunifu wa kuhakikisha wanajipatia pesa katika siku hii kubwa kwa mashabiki wa Simba. Badala ya kupiga picha tu za mashabiki wakiwa wamekaa sehemu tofauti tofauti, sasa wameamua kuweka mabango ambayo shabiki anayehitaji atapigwa picha…

Read More