UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Mambo haya 4 yakifanyika, tutaponya majeraha ya Oktoba 29

Hakuna ubishi kuwa taifa limegawanyika, watu wana maumivu makubwa mioyoni mwao kutokana na yale yaliyotokea Oktoba 29, 2025 na siku zilizofuata na jitihada za kulileta taifa pamoja zinaendelea, lakini kuna mambo tunakwepa kuyafanya. Kuna vidonge vinne tu ambavyo taifa likipewa vitatuliza maumivu, kusameheana na kuanza upya navyo ni watawala kukiri makosa, kuomba radhi, kulipa fidia…

Read More

DC Maswa aweka mkazo ufaulu darasa la nne, saba

Maswa. Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Dk Vicent Anney ametoa wito kwa walimu wakuu, walimu wa taaluma pamoja na wazazi na walezi kushirikiana kwa karibu ili kuongeza kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi wa shule za msingi, hususan wanafunzi wa madarasa ya mitihani likiwamo la nne na la saba. Akizungumza Januari 18, 2025 wakati…

Read More

Kinda JKT Queens azungumzia ushindani wa namba

KIUNGO fundi wa JKT Queens, Elizabeth John amesema ushindani wa namba katika kikosi hicho ni mkubwa hasa eneo la kiungo, lakini umechangia kuongeza kiwango cha wachezaji. Huu ni msimu wa pili nyota huyo wa zamani wa Alliance Girls kuitumikia JKT, msimu uliopita alikuwa mbadala wa Joyce Lema aliyekuwa nje msimu mzima akiuguza majeraha. Elizabeth ambaye…

Read More

Kiungo kutoka Uturuki atua KMC

KASI ya wachezaji wa Kitanzania wanaocheza soka nje kurudi nyumbani inazidi kuongezeka baada ya kiungo mshambuliaji wa zamani wa Beykoz Anadolu Spor ya Uturuki, Shafii Omary Kimambo naye kuunga juhudi akipewa mkataba wa miaka miwili klabu ya Ligi Kuu Bara, KMC. Kinda huyo wa miaka 20 hii inakuwa timu ya kwanza ya Ligi Kuu kuitumikia…

Read More

John Mgong’os kula shavu Ufilipino

VIONGOZI wa Mendiola inayoshiriki Ligi Kuu Ufilipino wako kwenye mchakato wa kumboreshea mkataba winga wa Kitanzania, John Mgong’os baada ya kuridhishwa na kiwango chake. Mgong’os alijiunga na timu hiyo akitokea Hua Hin iliyokuwa inashiriki Ligi daraja la pili Thailand na aliitumikia msimu mmoja akifunga mabao manane. Taarifa mbalimbali kutoka Ufilipino zinaeleza Mendiola imeridhishwa na kiwango…

Read More

Auawa akidaiwa kutembea na mke wa mtu

Tabora. Kijana mmoja anayefahamika kwa jina la Joseph Madaha, mkazi wa Kitongoji cha Kipela Magharibi, Kata ya Tumbi, Manispaa ya Tabora, amefariki dunia baada ya kushambuliwa kwa  kupigwa na kisha kukatwa sikio, akidaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mke wa mtu. Akizungumzia tukio hilo leo Jumapili Januari 18, 2026, Mwenyekiti wa Kijiji cha Tumbi,…

Read More

Mtibwa Sugar yaibana Simba jeshini

Simba imeendelea kukutana na matokeo mabaya kwenye michezo ya Ligi Kuu msimu huu baada ya jana kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar. Huu ulikuwa mchezo wa kwanza kwenye ligi kwa timu hiyo baada ya kupita zaidi ya mwezi mmoja na ulifanyika kwenye Uwanja wa Meja Isamhuyo Mbweni jijini Dar es Salaam, sehemu…

Read More

Hussein Masalanga atua Yanga | Mwanaspoti

KLABU ya Yanga, imemchukua kwa mkopo wa miezi sita golikipa wa Singida Black Stars, Hussein Masalanga ambaye atahudumu kikosini hapo hadi mwisho wa msimu huu. Uamuzi wa Yanga kumchukua Msalanga umetokana na kipa wake, Khomein Abubakar kupata majeraha ambayo yatamuweka nje ya uwanja kwa muda mrefu. Chanzo kutoka ndani ya Yanga, kimeliambia Mwanaspoti kuwa, Masalanga…

Read More