UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Mambo haya 4 yakifanyika, tutaponya majeraha ya Oktoba 29
Hakuna ubishi kuwa taifa limegawanyika, watu wana maumivu makubwa mioyoni mwao kutokana na yale yaliyotokea Oktoba 29, 2025 na siku zilizofuata na jitihada za kulileta taifa pamoja zinaendelea, lakini kuna mambo tunakwepa kuyafanya. Kuna vidonge vinne tu ambavyo taifa likipewa vitatuliza maumivu, kusameheana na kuanza upya navyo ni watawala kukiri makosa, kuomba radhi, kulipa fidia…