WAFUGAJI WATII AGIZO LA DC KASILDA WAANZA KUONDOA MIFUGO.
SAME. WAFUGAJI wanaoishi nje ya wilaya ya Same ambao walikuwa wameingiza mifugo yao ndani ya wilaya hiyo katika vijiji vilivyopo kata ya Vumari bila kuwa na kibali wameanza kutii agizo la Mkuu wa wilaya hiyo, Kasilda Mgeni la kuondoa mifugo yao ndani ya wilaya hiyo. Kwa mujibu Mkuu wa Jeshi la Polisi wilayani Same, wafugaji…