Madaktari bingwa watakiwa kuwaachia ujuzi waliowakuta Njombe

Njombe. Katibu Tawala Mkoa wa Njombe, Judica Omary amewataka madaktari bingwa waliofika mkoani humo kutoa huduma za kibingwa, kuwapa ujuzi madaktari wa eneo husika ili uwe msaada endelevu. Zaidi ya madaktari bingwa 36 wanaotibu  magonjwa mbalimbali wamefika mkoani Njombe kwa ajili ya kutibu wagonjwa mbalimbali, ambapo wametawanywa katika halmashauri zote za sita za mkoa huo….

Read More

NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA WILAYA YA KIGAMBONI.

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Dalmia Mikaya  Septemba 26,2025 amepokea vifaa tiba viivyotolewa na benki ya NMB ikiwa ni sehemu ya benki hiyo kurudisha sehemu ya faida yake katika Jamii. DC Dalmia amesema vifaa vilivyotolewa ni pamoja na vitanda vya Wanawake kujifungulia na vitanda vya uchunguzi 20 pamoja na mashine 20 za kusaidia kupumulia kwa…

Read More

Papa Leo kufanya ziara ya kwanza barani Afrika

Vatican. Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, anatarajia kufanya ziara nchini Algeria, Cameroon, Angola, na Equatorial Guinea katikati ya Aprili taarifa iliyotolewa na Vatican Februari 25, 2026.  Kwa mujibu wa taarifa hiyo kituo cha kwanza katika ziara yake ya siku 10 kitakuwa miji ya Algiers na Annaba kuanzia Aprili 13 hadi 15, 2026….

Read More

Simbu afunguka, ataja  kilichompa ujasiri Tokyo

Bingwa wa dunia wa marathoni, Alphonce Simbu amefunguka kilichombeba katika mashindano hayo alfajiri ya kuamkia leo Septemba 15, 2025 jijini Tokyo Japan. Simbu ametwaa medali ya dhahabu katika mashindano ya 25 ya dunia nchini humo akitumia saa 2:09:48, muda sawa na aliotumia mshindi wa pili, Amanal Petros wa Ujerumani wakitofautiana na Simbu sekunde 0.03, huku…

Read More

Dk Mwinyi anavyotembea na ajenda ya amani, maendeleo na uchumi

Unguja. Ahadi za kujenga mshikamano, amani na utulivu, maendeleo ya watu na kukuza uchumi, ndizo zinazoonekana kuyatawala majukwaa ya kampeni za urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Tayari kampeni hizo zilizozinduliwa katika Uwanja wa Mnazimmoja Unguja, zimeshatimiza siku ya saba tangu zilipoanza, zikibakiza mwezi mmoja kabla ya upigaji kura, utakaofanyika Oktoba 28 na…

Read More

Majaliwa ataka mikakati iendane na mabadiliko teknolojia

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amevisihi vyama vya wafanyakazi barani Afrika, kuweka mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia duniani. Amesema kwa kufanya hivyo kutawawezesha kupunguza hatari ya kupoteza ajira kutokana na ujio wa mashine na matumizi ya teknolojia mpya ikiwemo za akili unde. Majaliwa ameyasema hayo jijini Dar es Salaam leo Ijumaa,…

Read More