'Gharama isiyohesabika' ya migogoro kwenye maisha ya watoto – Masuala ya Ulimwenguni

Alisisitiza uharibifu ambao vita huacha kwenye miili ya wanafunzi wachanga, akili na roho zao, “kutoka majeraha na kupoteza maisha kwa kutekwa nyara, kulazimishwa kuhama makazi yao, unyanyasaji wa kijinsia, kuandikishwa kwenye mapigano, na kupoteza fursa.”. Kuanzia 2022 hadi 2023, kulikuwa na mashambulizi 6,000 dhidi ya wanafunzi, wataalamu na taasisi za elimu, ikiwa ni pamoja na…

Read More

Sababu Mkuchika kutogombea tena ubunge Newala Mjini

Dar es Salaam. Mbunge wa Newala Mjini (CCM), George Mkuchika ameeleza sababu za kutogombea tena ubunge katika jimbo hilo kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 ikiwamo ya uzee. Mkuchika ambaye pia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), aliwaeleza hayo wananchi jimboni kwake, jana, Machi 22, 2025. Kabla ya kuzungumza na wananchi hao,…

Read More

Serikali yavuna Sh1.8 trilioni sekta ya uziduaji

Dar es Salaam. Serikali imevuna jumla ya Sh1.877 trilioni kutoka kwa kampuni 44 zilizohusishwa katika sekta ya madini, mafuta, na gesi, huku tofauti kati ya malipo na mapato ikiwa ni Sh402.41 milioni kwa mwaka wa fedha 2021/22. Hayo yamebainishwa leo na Alhamisi Septemba 12, 2024 na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde alipokuwa akizindua ripoti ya…

Read More

Uhaba wa fedha unatishia unafuu kwa mamilioni ya wakimbizi wa Sudan: WFP – Maswala ya Ulimwenguni

Katika tahadhari, shirika la UN lilionya kwamba inakabiliwa na “kupunguzwa sana” kwa msaada wa kuokoa chakula, ambayo inaweza “kusaga kwa kusimamishwa” katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, Misiri, Ethiopia na Libya katika miezi ijayo wakati rasilimali zinamalizika. WFP Ilibainika kuwa hali ya wakimbizi wengi wa Sudan tayari ni mbaya, zaidi ya miaka miwili tangu vita…

Read More

Baba miaka 30 jela kwa kuzini na mwanaye

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Musoma, imebariki adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela kwa mkazi wa Bunda, aliyohukumiwa kwa kosa la kuzini na binti yake wa kumzaa  aliyekuwa na umri wa miaka 12. Kulingana na Kanuni ya Adhabu Sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marejeo mwaka 2022, kosa la kuzini na ndugu wa damu…

Read More

Simba Mwanza wanataka jambo moja tu

BAADA ya kusota na kutaniwa kwa misimu minne mfululizo bila makombe, wanachama wa Simba mkoani Mwanza wamesema msimu ujao ni mwisho wa dhihaka zote na wanataka jambo moja tu, ambalo ni ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Simba imeendelea kuambulia patupu na kuwa mnyonge mbele ya mtani wake, Yanga ambayo imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara…

Read More