Nyota Wanaotengeneza Historia Hawa Hapa

LEO hii Jumatano wakali wa ubashiri Meridianbet wanakuletea orodha za wachezaji ambao ndio wafungaji bora wa muda wote kwenye Mataifa mbalimbali barani Afrika. Lakini leo hii pia unaweza ukasuka jamvi lako la ushindi na Meridianbet. Tukianza na Egypt rekodi ya mfungaji bora wa muda wote inashikilia na mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah ambaye mpaka sasa…

Read More

Sowah awa gumzo  mapema Simba Day

MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, raia wa Ghana, Jonathan Sowah amegeuka gumzo mapema kwa mashabiki wa timu hiyo walihudhuria katika tamasha la Simba Day, linalofanyika kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Katika mitaa mbalimbali ya nje ya uwanja huo, mashabiki wa timu hiyo wanazungumzia usajili wa nyota wapya msimu huu, huku Sowah akibeba…

Read More

KISARAWE KUNUFAIKA NA HUDUMA ZA AFYA BURE

Na Mwandishi wetu Kisarawe WAKAZI wa wilaya ya Kisarawe na maeneo ya jirani wanatarajia kunufaika na huduma za afya bure kutoka kwa madaktari bingwa wa hospitali ya wilaya hiyo. Madaktari hao ambao wamekuwa wakifanya kazi katika hospitali ya wilaya wataweka kambi ya siku tatu kuanzia Septemba 15 hadi 17 kutoa huduma za kibingwa bure. Akizungumza…

Read More

Kwa Mkapa ni  nyekundu, nyeupe 

IKIWA saa zinazidi kukatika kabla ya kuanza rasmi shughuli ya utambulisho wa nyota wapya wa kikosi cha Simba kwa msimu wa 2025-2026, ikishindikizwa na mechi ya kirafiki kati ya timu hiyo na Gor Mahia ya Kenya Kwa mMkapa kunakofanyika tamasha la Simba Day ni nyekundu na nyeupe. Rangi hizo zinazotumiwa na klabu ya Simba ndio…

Read More

Lupaso imechangamka | Mwanaspoti

WAKATI tamasha la Simba Day likifikia kilele leo, mashabiki wa timu hiyo wamejitokeza kwa wingi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Tamasha hilo linafanyika leo likiwa ni msimu wa 17 tangu lilipofanyika kwa mara ya kwanza mwaka 2009, chini ya uongozi wa Hassan Dalali na Mwina Kaduguda. Nje ya Uwanja wa Benjamin…

Read More

MFAHAMU MGOMBEA: Twalib Kadege ni spidi mperampera hadi Ikulu

Miaka 10 iliyopita, Taifa lilipokuwa linauelekea  uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, aliibuka na kaulimbiu ya “Hapa Kazi Tu” iliyobeba tafsiri ya maono yake ya kuwafanya Watanzania wafanye kazi bila lelemama. Mwaka 2020, mgombea urais wa Chama cha The United People’s Democratic Party(UPDP), Twalib Ibrahim…

Read More

DK.SAMIA ATAJA MAFANIKIO LUKUKI UTEKELEZAJI ILANI, AAHIDI MAKUBWA ZAIDI IRAMBA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Singida MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ameendelea kuchanja mbuga katika mikutano ya kampeni kuelekea Uchaguzi mkuu ambapo amehutubia maelfu ya wananchi wa Iramba mkoani Singida. Akizungumza leo Septemba 10,2025 katika mkutano wa kampeni uliofanyika wilayani Iramba mkoani Singida, Dk. Samia amesema  baada ya kutekeleza Ilani…

Read More