Uzinduzi Mabasi ya Mwendokasi Mbagala Wasogezwa Mbele – Global Publishers
DAR-Huduma ya Mabasi Yaendayo Haraka (Mwendokasi) katika barabara ya Mbagala, ambayo awali ilitarajiwa kuanza Septemba 1, 2025 imesogezwa mbele kutokana na kutokamilika kwa miundombinu muhimu ikiwamo mageti janja na kituo cha kujazia gesi. Akizungumzia kuhusu kutokamilika kwa miundombinu hiyo, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart),Dkt. Athuman Kihamia amesema, kuchelewa…