Dk Mwinyi aeleza atakavyofungua Pemba

Unguja. Mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi, amesema Pemba inafunguka kupitia bandari na uwanja wa ndege wa kimataifa, ambao mwezi huu wanamkabidhi mkandarasi kuanza ujenzi. Pamoja na miradi hiyo, Dk Mwinyi amesema neema inakwenda kuwashukia wakulima wa karafuu na mwani, kwani tayari Serikali inayoongozwa na CCM imeshaweka mikakati…

Read More

Mgambo watatu mbaroni kwa tuhuma za mauaji

Mwanza. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia askari mgambo watatu kwa tuhuma za mauaji ya Rashid Nyandonga (31), fundi simu na mkazi wa Bugando Jeshini, Wilaya ya Nyamagana mkoani humo. Taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbrod Mutafungwa, iliyotolewa leo, Jumapili, Machi 22, 2026, imeeleza kuwa mgambo hao walikamatwa usiku wa Machi…

Read More

Wengi tunaugua maradhi ya kujitakia

Dar es Salaam. Dunia ya sasa inakumbwa na changamoto kubwa ya maradhi yasiyoambukiza, kama vile kisukari, shinikizo la damu, saratani, na magonjwa ya moyo.  Tofauti na magonjwa ya kuambukiza ambayo mara nyingi hutokana na vijidudu, vimelea au maambukizi ya moja kwa moja, magonjwa haya mengi kwa kiasi kikubwa yanatokana na mtindo wa maisha usio sahihi….

Read More

Kortini akidaiwa kughushi barua za vyuo vikuu

Dar es Salaam. Mkazi wa Kibamba, Hakeem Palangyo, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka manne, likiwemo la kugushi barua za vyuo vikuu. Palangyo amefikishwa mahakamani hapo leo, Alhamisi, Februari 26, 2026, na kusomewa kesi yake mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Hassan Makube. Akimsomea shtaka, wakili wa Serikali, Bony Lawrence, amedai kuwa…

Read More

Japan Yaanza Kuachia Akiba ya Mafuta Kukabiliana na Upungufu wa Nishati

Global Publishers March 24, 2026 0 Comments Waziri Mkuu wa Japan, Sanae Takaichi Serikali ya Japan imetangaza kuanza kuachia sehemu ya akiba yake ya kitaifa ya mafuta kuanzia Alhamisi, hatua inayolenga kukabiliana na wasiwasi unaoongezeka kuhusu usambazaji wa nishati duniani. Tangazo hilo limetolewa na Waziri Mkuu wa Japan, Sanae Takaichi, kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye mtandao…

Read More

CCM itakavyoibadili Wanging’ombe | Mwananchi

Njombe. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimewaahidi wananchi wa Wanging’ombe, Mkoa wa Njombe ujenzi wa visima vikubwa 150 vitakavyowawezesha kulima kilimo cha umwagiliaji huku vitongozi zaidi ya 200 visivyo na umeme vitaunganishiwa huduma hiyo. Pia, ujenzi wa shule mpya za msingi tatu, barabara kwa kiwango cha lami na changarawe na kuboresha huduma za afya kwa kujenga…

Read More