Diwani azikwa aacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10

Geita. Mamia ya wananchi wameshiriki maziko ya aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya mji wa Geita, Peter Kulwa (67) aliyefariki dunia Juni 13, 2024 na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10. Kwa mujibu wa risala iliyosomwa na mjukuu wake, Makutano Sadick, diwani huyo alianza kuugua kisukari Mei 2002 na kupatiwa matibabu katika hospitali…

Read More

VYANZO VYA MAPATO JUMUISHI NA SHIRIKISHI KUVUTIA WAWEKEZAJI: Bw. Nnko

Mratibu Mkuu wa Malengo ya Maendeleo Endelevu – Fedha na Uwekezaji wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bw. Emmanuel Nnko ametoa wito kwa halmashauri nchini kubainisha vyanzo vipya vya mapato ambavyo vitakuwa shirikishi na jumuishi vitakavyo wavutia wawekezaji katika halmashauri nchini ili kuondokana na utegemezi wa bajeti kutoka serikali kuu. “Tumeendelea kushirikiana…

Read More

Bashungwa ataka malalamiko ya wananchi kufanyiwa kazi na mfumo wa utoaji taarifa kuboreshwa.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa (Mb) ameiagiza Menejimenti ya Wizara ya Mambo ya Ndani kusimamia Kitengo kinachoshughulikia Malalamiko yanayotolewa kwa Wizara, Taasisi na Vyombo vya Usalama kuhakikisha wanayafanyia kazi na kutoa mrejesho wa utatuzi wa malalamiko kwa Wananchi. Aidha, Bashungwa amevitaka Vitengo vya Mawasiliano na Habari vya Wizara, Vyombo vya Usalama…

Read More

Kampuni ya Tumbaku Alliance One yang’ara kwenye ufunguzi wa siku ya ushirika duniani Tabora

Naibu wa Waziri wa Kilimo David jana amefungua rasmi maadhimisho ya wiki ya ushirika duniani, ambayo kwa kawaida yanaambatana na maonesho ya shughuli za ushirika, ambapo wadau mbalimbali, ikiwemo kampuni ya tumbaku ya Alliance One wakionesha shughuli zao kwa muhimu. Kabla ya ufunguzi wa maonesho hayo yanayofanyika kwenye viwanja vya Nanenane Mkoani hapa, Mheshimiwa Silinde…

Read More

DKT. ADESINA AMALIZA ZIARA YA SIKU 4 TANZANIA

::::::: Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) anayemaliza muda wake, Dkt. Akinwumi Adesina amemaliza ziara yake ya kikazi ya siku 4 aliyoifanya nchini Tanzania kuanzia tarehe 12 hadi 15 Juni 2025. Dkt. Adesina aliondoka nchini kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na kusindikizwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje…

Read More

SEKRETERIETI YA CCM IKITATHMINI UCHUKUAJI WA FOMU

Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, ikiongozwa na Mwenyekiti wake, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, imekutana katika kikao chake maalum leo Jumamosi tarehe 28 Juni 2025, kufuatilia mchakato wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania uteuzi ndani ya CCM.  Kikao hicho kilipokea na…

Read More

Kibarua kupigania marekebisho sheria ya NGos chawasubiri viongozi wapya

Dodoma. Wakati uongozi mpya wa Baraza la Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO), ukitarajiwa kupatikana kesho, kazi kubwa inayowasubiri ni kupigania marekebisho ya sheria, sera, kanuni ili kuondoa mianya iliyokuwa ikiwafanya wasitimize wajibu wao vizuri. Akizungumza leo Jumatatu Juni 24, 2024, Msajili wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali, Tanzania Bara, Beatrice Mayao amesema yapo mengi yaliyofanywa na…

Read More

Waliopiga kelele mama kauza bandari, faida ni hii

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema licha ya kupigiwa kelele kuwa ameuza bandari baada ya kuruhusu wawekezaji wawili kwenye bandari ya Dar es Salaam, tayari faida imeonekana kutokana na gawio lililotolewa na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akitoa pongezi maalumu kwa kampuni zilitoa gawio kwa Serikali leo Jumanne, Rais Samia amesema…

Read More

Fahamu madhara ya kunywa pombe bila kula

Dar es Salaam. Kama wewe ni mnywaji wa pombe zinazotengenezwa kwa ngano au pombe kali, soma hapa kwa makini. Wataalamu wa afya wameeleza uwepo wa athari hasi, kwa wale wenye tabia za kunywa pombe kabla ya kula chakula kwani huchangia mnywaji kula chakula kidogo kuliko mahitaji ya mwili au kuharibu kuta za utumbo. Mtaalamu wa…

Read More

DTB yabeba ndoo ya mabenki Dar

Timu ya Soka ya Diamond Trust Bank (DTB) imetawazwa kuwa bingwa mpya wa mashindano ya mabenki msimu huu yaliyofikia tamati usiku wa jana Agosti Mosi kwenye viwanja vya klabu ya Gymkhana, Dar es Salaam. DTB imeifunga timu ya CRDB benki bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliokuwa na upinzani mkali kwa pande zote. Hadi kipindi…

Read More