I$M BANK TANZANIA YAINGIA UBIA NA PESAPAL KUIMARISHA MALIPO KIDIGITAL KWA BIASHARA

Na Mwandishi Wetu I&M Bank Tanzania imeingia katika ushirikiano wa kimkakati na Pesapal Tanzania, kampuni yenye leseni ya kutoa huduma za malipo na suluhisho za kidijitali. Taarifa iliyotolewa leo Septemba 10,2025 imeeleza ushirikiano huo huu unalenga kupanua upatikanaji wa huduma salama na za uhakika za malipo ya kidijitali kwa biashara nchini Tanzania.Imesema kupitia ubia huo,…

Read More

Mgombea urais Chaumma amnadi mgombea udiwani wa ACT-Wazalendo

Mara. Katika hali isiyotarajiwa na ya kuvutia katika medani ya siasa za upinzani nchini, mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, amemnadi hadharani mgombea udiwani wa chama cha ACT-Wazalendo, Charles Machemba, katika Kijiji cha Kata ya Ikoma, mkoani Mara. Hatua hiyo imeibua gumzo katika medani…

Read More

Darasa la saba waanza mtihani leo

Kibaha. Wanafunzi wa darasa la saba wa Shule ya Msingi Kambarage Manispaa ya Kibaha Mkoa wa Pwani wameelezea namna walivyojiandaa na mtihani wa kuhitimu elimu hiyo unaotarajia kufanyika kwa siku mbili leo na kesho  nchini kote. Wahitimu hao walioanza safari ya kusaka elimu tangu mwaka 2019 wanahitimisha hatua hiyo ikiwa ni maandalizi ya kuanza elimu…

Read More

Chadema watakavyogawa kumbi za Mahakama leo kufuatilia kesi zinazowahusisha

Dar es Salaam. Viongozi, wanachama na wapenzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo watalazimika kugawana kumbi za Mahakama katika kufuatilia mienendo ya kesi mbili tofauti zinazokihusisha chama hicho. Kesi hizo zimekuwa zikiwakutanisha mahakamani wana-Chadema hao ni kesi ya madai inayokikabili chama hicho kuhusiana na mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali za chama kati ya…

Read More

NYALANDU KIELELEZO CHA MFANO WA KUIGWA UCHAGUZI 2025/2030

…………….. MBUNGE wa Zamani wa Jimbo la Ilongero Lazaro Nyalandu ameonesha dhamira ya kweli ya kumtafutia kura mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk Samia Suluhu Hassan kwa hatua yake ya kupita Kijiji kwa Kijiji kumuombea kura. Hatua hiyo kwa mujibu wa wadadisi mbalimbali wa masuala ya Kisiasa, anafaa kuwa mfano wa kuigwa…

Read More