Ceasiaa Queens yaongeza straika kujiokoa
KOCHA wa Ceasiaa Queens, Ezekiel Chobanka amesema sababu kubwa ya timu hiyo kutofanya vizuri mwanzoni mwa msimu wa Ligi Kuu ya Wanawake ni kukosa mshambuliaji mwenye uwezo wa kufunga mabao. Ceasiaa ipo mkiani mwa msimamo wa ligi ikiwa na pointi mbili pekee baada ya kucheza mechi nane hali ambayo imewalazimu benchi la ufundi kufanya tathmini…