
I$M BANK TANZANIA YAINGIA UBIA NA PESAPAL KUIMARISHA MALIPO KIDIGITAL KWA BIASHARA
Na Mwandishi Wetu I&M Bank Tanzania imeingia katika ushirikiano wa kimkakati na Pesapal Tanzania, kampuni yenye leseni ya kutoa huduma za malipo na suluhisho za kidijitali. Taarifa iliyotolewa leo Septemba 10,2025 imeeleza ushirikiano huo huu unalenga kupanua upatikanaji wa huduma salama na za uhakika za malipo ya kidijitali kwa biashara nchini Tanzania.Imesema kupitia ubia huo,…