Ceasiaa Queens yaongeza straika kujiokoa

KOCHA wa Ceasiaa Queens, Ezekiel Chobanka amesema sababu kubwa ya timu hiyo kutofanya vizuri mwanzoni mwa msimu wa Ligi Kuu ya Wanawake ni kukosa mshambuliaji mwenye uwezo wa kufunga mabao. Ceasiaa ipo mkiani mwa msimamo wa ligi ikiwa na pointi mbili pekee baada ya kucheza mechi nane hali ambayo imewalazimu benchi la ufundi kufanya tathmini…

Read More

Ijue ndoa ya ajabu ya  Wamosou

Canada. Katika nchi za  China na Mongolia, kuna jamii ya watu waitwao Mosou. Ni watu wanaoshika mila kwelikweli. Baadhi ya mila zao hasa kuhusiana na ndoa, zinaweza kukuchanganya, kukushangaza hata kutisha. Kwanza, wao ni ‘matrilineal’, yaani, katika jamii hii, mtoto huchukua ubini kutoka upande wa mama na si baba kama kwetu na jamii nyingi duniani.  Hii ni tofauti…

Read More

Chelsea Ngole ataja ugumu WPL

MECHI sita alizocheza golikipa wa Tausi FC, Chelsea Ngole zimemuamsha kupambana zaidi kuhakikisha anaisaidia timu hiyo kutoruhusu bao. Chelsea alijiunga na Tausi msimu huu akitokea Louves Minproff FC ya Cameroon alikokuwa kipa namba moja wa timu hiyo. Akizungumzia mechi sita alizocheza Chelsea amesema mechi ngumu zaidi ilikuwa dhidi ya Simba Queens waliyopoteza mabao 3-0 akitaja…

Read More

Sababu talaka kuwa chukizo mbele za Mungu

Dar es Salaam. ​Katika jamii ya sasa, taasisi ya ndoa inakabiliwa na dhoruba kali ambazo mara nyingi huishia katika uamuzi mgumu wa talaka.  Ingawa sheria za nchi na mifumo ya kijamii inaruhusu utaratibu huu, katika misingi ya kidini, talaka inatazamwa kama tukio la kusikitisha ambalo hutikisa misingi ya uumbaji.  Sababu ya talaka kuwa chukizo haitokani…

Read More

HUU NDIO UTOFAUTI WA CCM NA VYAMA VINGINE – KIHONGOSI

Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Komredi Kenani Labani Kihongosi,ametembelea Shina Namba 7 la CCM katika Tawi la Manyoni Mjini, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kimkakati ya kuimarisha uhai wa Chama kuanzia ngazi ya mashina mkoani Singida. Akiwa katika shina hilo lenye wanachama 150, Ndugu Kihongosi aliwashukuru…

Read More

KIHONGOSI APOKELEWA KWA KISHINDO MANYONI

Manyoni, Singida, Januari 18, 2026 Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Kenani Labani Kihongosi, ameanza rasmi ziara yake ya kimkakati leo tarehe 18 Januari 2026 mkoani Singida, ambapo ameanzia Wilaya ya Manyoni. Ziara hii ni ziara maalum ya Chama Cha Mapinduzi inayolenga kuhakikisha Chama kinawafikia wanachama wote nchini…

Read More

Namba za Stumai Abdallah Ligi Kuu ya Wanawake

MFUNGAJI bora wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) msimu uliopita, Stumai Abdallah hajafikia kiwango alichokionyesha msimu uliopita baada ya kuanza msimu huu kwa kufunga bao moja na asisti nne. Hadi sasa, Stumai amefunga bao moja pekee katika mechi nane alizocheza, tofauti na msimu uliopita na hadi raundi hii tayari alikuwa amefikisha mabao 11, takwimu zilizomfanya…

Read More