WAZIRI MHAGAMA AZINDUA USAMBAZAJI WA RIPOTI YA UTAFITI WA VIASHIRIA NA MATOKEO YA UKIMWI 2022-2023

Na.Mwandishi Wetu -Ruvuma Waziri Afya Mheshimiwa Jenista Mhagama amezindua Usambazaji wa Ripoti ya Utafiti wa Viashiria na Matokeo ya UKIMWI 2022-2023 Mkoani Ruvuma. Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma tarehe 29 Novemba, 2024 Waziri Mhagama alieleza mafanikio makubwa yaliyopatikana katika juhudi za kudhibiti maambukizi ya UKIMWI nchini Tanzania ambapo imeelezwa kuwa…

Read More

Mwinyi Zahera ataka mechi 3 Namungo

KOCHA Mkuu wa Namungo, Mwinyi Zahera amesema timu yake ipo tayari kwa asilimia 80, atatumia mechi tatu za kwanza za Ligi Kuu Bara kutengeneza kikosi cha kwanza. Namungo wamecheza mechi tatu za kirafiki wakishinda mbili na kufungwa moja, walianza na Singida Black Stars walishinda mabao 2-0, walifungwa na Dodoma Jiji 3-0 na walishinda dhidi ya…

Read More

Uchakavu wa mabehewa ulivyokwamisha abiria Tazara

Dar es Salaam. Abiria wanaotumia usafiri wa treni kupitia reli ya Tazara kutoka Dar es Salaam hadi Mbeya wameiomba Serikali kuingilia kati usimamizi wa shirika hilo ili kuondoa adha zinazowakumba. Abiria hao wamesema changamoto haziishi kutokana na kukwama mara kwa mara kwa safari, wakieleza wanahisi hali hiyo inatokana na usimamizi mbovu. Wamesema wamekuwa wakipata usumbufu…

Read More

Mashujaa yapania tatu bora WPL

LICHA ya kupoteza mchezo mmoja wa Ligi ya wanawake dhidi ya ndugu zao, JKT Queens, Mashujaa msimu huu imepania kufanya vizuri ikiwezekana kumaliza nafasi tatu za juu. Mechi nne za ligi, Mashujaa imepoteza mchezo mmoja dhidi ya JKT mabao 2-0, sare mbili dhidi ya Yanga Princess 1-1, 0-0 na Get Program ikishinda 3-0 na Ceasiaa…

Read More