Elie Mpanzu Asaini Mkataba Mpya wa Miaka Miwili Simba

Global Publishers March 23, 2026 0 Comments Kiungo mshambuliaji wa kimataifa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Elie Mpanzu, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuitumikia Simba , hatua inayoimarisha kikosi hicho kuelekea msimu ujao wa mashindano ya ndani na kimataifa. Mpanzu, ambaye amekuwa sehemu muhimu ya kikosi cha Simba kutokana na uwezo wake…

Read More

Ligi Kuu Zanzibar kuanza Septemba 20

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), limetangaza kwamba, Ligi Kuu Soka Zanzibar (ZPL) msimu wa 2025-2026 inatarajiwa kuanza Septemba 20, 2025. Ligi hiyo inayoshirikisha timu 16 ambapo 12 za Unguja na 4 kutoka Pemba huku bingwa mtetezi ikiwa Mlandege FC, inatarajiwa kufikia tamati Mei 31, 2026. Wakati ligi ikianza Septemba 20, mchezo wa Ngao…

Read More

Ombwe la midahalo mjadala | Mwananchi

Dar es Salaam. Licha ya shangwe, shamrashamra na furaha zinazoshuhudiwa katika mikutano ya kampeni za uchaguzi, kukosekana kwa midahalo ya wagombea urais inayorushwa mubashara kunatajwa kuwa ombwe katika demokrasia ya Tanzania. Hii si ajali ya kisiasa ya msimu huu pekee. Ni utamaduni uliojengeka kwa zaidi ya miongo mitatu tangu kuanza kwa mfumo wa siasa za…

Read More

Bado Watatu – 30 | Mwanaspoti

NIKAMJIBU: “RAISA, akijua, urafiki hautakuwepo tena kwa sababu nilimficha ukweli; na isitoshe, huyo Shefa alikuwa rafiki yake sana.”“Sasa msubiri baba yako aje umueleze; usikie atakwambia nini.”“Baba utamueleza wewe. Mimi siwezi kumueleza.”“Basi msubiri. Aliniambia anakwenda benki. Pengine muda huu anarudi.”Wakati mama ananiambia hivyo, Raisa akanipigia simu. Nikaipokea.“Habari ya huko, shoga?” akanisalimia.“Nzuri. Umeamkaje?”“Nashukuru, kumekucha. Ndiyo, nakufuata —…

Read More

Simba yatambulisha mshambuliaji | Mwanaspoti

KAIMU kocha mkuu wa Simba Queens, Mussa Hassan ‘Mgosi’ amesema kwa sababu ya majeruhi, walikuwa na uhitaji wa mshambuliaji dirisha dogo. Simba imemtambulisha mshambuliaji kutoka Camerron, Ernestine Heutchou ukiwa ni usajili pekee wa waliofanya kipindi cha dirisha dogo na anaungana na nyota wengine watatu katika eneo hilo ambao ni Jentrix Shikangwa ambaye ni mfungaji bora…

Read More

Rais Indonesia awafuta kazi mawaziri watano kutuliza waandamanaji

Jakarta. Rais wa Indonesia, Prabowo Subianto amefanya mabadiliko katika wizara tano, hatua inayoelezwa inalenga kuwatuliza waandamaji. Taarifa iliyotolewa na kiongozi huyo inasema mabadiliko hayo yamechochewa na wananchi kutoridhishwa na hatua zilizochukuliwa na Serikali katika kushughulikia masilahi ya waandamanaji wanaoitaka Serikali kuchukua hatua kuhusu matatizo yanayoikabili jamii. Miongoni mwa mawaziri walioondolewa ni Waziri wa Fedha, Sri…

Read More

DK.SAMIA AAHIDI SERIKALI KUENDELEA NA MWENDO ULE ULE UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO

Na Said Mwishehe,Michuzi TV- Tabora. MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ameahidi katika miaka mitano ijayo Serikali itakwenda ma mwendo uleule kutekeleza miradi ya maendeleo ya jamii ya elimu, afya, umeme na maji. Dk.Samia ameyasema hayo leo Septemba 11,2025 alipokuwa akihutubia maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Uyui Mkoani Tabora…

Read More