Bonasi ya uaminifu ya milioni 10 Meridianbet kasino

Ni wakati mwingine wa kufurahia bonasi kibao kutoka Meridianbet kasino ya mtandaoni, haswa kwa wateja waaminifu ambao wamekuwa na Meridianbet kila siku ambapo sasa watapatiwa mgao wa Milioni 10, Tsh 10,000,000/= kupitia promosheni ya Casino Loyalty Bonus Promosheni ya Casino Loyalty Bonus imeanza Ijumaa, Septemba 9, 2023, na itaendelea mpaka muda wa mwisho utakaotangazwa. Wachezaji…

Read More

FCS yaiomba Serikali kuangazia upatikanaji wa miundombinu ya kidigitali kwa makundi maalum

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Asasi za kiraia nchini, kupitia Shirika la The Foundation for Civil Society (FCS), zimeiomba Serikali kuhakikisha makundi maalum, hususan watu wenye ulemavu, wanapatiwa miundombinu ya kidigitali ili waweze kushiriki kikamilifu katika michakato ya maendeleo na kujijenga kiuchumi. Ombi hilo lilitolewa na Meneja Programu wa FCS, Nasim Losai, katika mkutano wa…

Read More

Mrithi wa Shomary huyu hapa!

UONGOZI wa KMC FC, uko katika mazungumzo ya kuipata saini ya beki wa kushoto wa kikosi cha Tanzania Prisons, Samson Mwaituka, kwa lengo la kuchukua nafasi ya Rahim Shomary aliyejiunga na Ghazl El Mahalla ya Misri. Samson alionyesha uwezo mkubwa na timu hiyo ya maafande kwa msimu wa 2024-2025, baada ya kuaminiwa kikosi cha kwanza…

Read More

Simba yaitandika JKT, yachungulia ubingwa

KATIKA kuhakikisha Simba Queens inakaa kileleni na kujiweka katika nafasi nzuri ya kuutetea ubingwa wa Ligi ya Wanawake imeitandika JKT Queens mabao 4-3. JKT ikiwa nyumbani imetandikwa mabao hayo na kushushwa kileleni ilipokuwa na pointi 37 na sasa Simba iko nafasi ya kwanza ikifikisha pointi 40. Mchezo wa kwanza zilipokutana timu hizo msimu huu Simba…

Read More

RAIS MSTAAFU DKT. KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA TIRDO SABASABA

Rais Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akimsikiliza Afisa Masoko wa Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO), Burhan Mdoe ambaye alikuwa akitoa maelezo kuhusu TIRDO mara baada kutembelea banda la TIRDO katika Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere, barabara ya…

Read More