Mgombea urais Chaumma amnadi mgombea udiwani wa ACT-Wazalendo

Mara. Katika hali isiyotarajiwa na ya kuvutia katika medani ya siasa za upinzani nchini, mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu, amemnadi hadharani mgombea udiwani wa chama cha ACT-Wazalendo, Charles Machemba, katika Kijiji cha Kata ya Ikoma, mkoani Mara. Hatua hiyo imeibua gumzo katika medani…

Read More

Darasa la saba waanza mtihani leo

Kibaha. Wanafunzi wa darasa la saba wa Shule ya Msingi Kambarage Manispaa ya Kibaha Mkoa wa Pwani wameelezea namna walivyojiandaa na mtihani wa kuhitimu elimu hiyo unaotarajia kufanyika kwa siku mbili leo na kesho  nchini kote. Wahitimu hao walioanza safari ya kusaka elimu tangu mwaka 2019 wanahitimisha hatua hiyo ikiwa ni maandalizi ya kuanza elimu…

Read More

Chadema watakavyogawa kumbi za Mahakama leo kufuatilia kesi zinazowahusisha

Dar es Salaam. Viongozi, wanachama na wapenzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo watalazimika kugawana kumbi za Mahakama katika kufuatilia mienendo ya kesi mbili tofauti zinazokihusisha chama hicho. Kesi hizo zimekuwa zikiwakutanisha mahakamani wana-Chadema hao ni kesi ya madai inayokikabili chama hicho kuhusiana na mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali za chama kati ya…

Read More

NYALANDU KIELELEZO CHA MFANO WA KUIGWA UCHAGUZI 2025/2030

…………….. MBUNGE wa Zamani wa Jimbo la Ilongero Lazaro Nyalandu ameonesha dhamira ya kweli ya kumtafutia kura mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk Samia Suluhu Hassan kwa hatua yake ya kupita Kijiji kwa Kijiji kumuombea kura. Hatua hiyo kwa mujibu wa wadadisi mbalimbali wa masuala ya Kisiasa, anafaa kuwa mfano wa kuigwa…

Read More

Ahadi za vyama, ZEC ziwe kwa vitendo zaidi

Hivi karibuni, jumla ya vyama 18 vya siasa vilitia saini hati ya makubaliano ya kuhakikisha uchaguzi mkuu wa Zanzibar unafanyika kwa amani, uwazi na kwa misingi ya kidemokrasia. Makubaliano hayo yaliyosimamiwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji George Kazi, yamelenga kujenga mazingira bora ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyia Jumatano Oktoba…

Read More

Matumizi ya kijeshi ulimwenguni kote rekodi ya $ 2.7 trilioni – maswala ya ulimwengu

“Ulimwengu unatumia vita zaidi kuliko katika kujenga amani“Un Katibu Mkuu António Guterres Alisema katika mkutano wa waandishi wa habari kwa mpya ripoti juu ya tishio linalosababishwa na kuongezeka kwa matumizi ya kijeshi. Matumizi ya mahitaji ya usalama yaliongezeka katika mikoa yote mitano ya ulimwengu wakati wa 2024, kuashiria kuongezeka kwa mwaka kwa mwaka kwa angalau…

Read More