JWT yatoa wito wafanyabiashara kufunga maduka kushiriki uchaguzi
Dar es Salaam. Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) imetoa wito kwa wafanyabiashara wote nchini kushiriki katika uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika kesho, Oktoba 29, 2025, ikisisitiza umuhimu wa amani na utulivu katika kipindi chote cha uchaguzi. Katika taarifa iliyotolewa leo, Oktoba 28, 2025 na Mwenyekiti wa JWT, Hamis Livembe imeeleza kuwa siku…