CRDB yawatahadharisha wajasiriamali dhidi ya mikopo hatarishi
Dar es Salaam. Wakati wajasiriamali wadogo hususan wanawake wanaouza mbogamboga na matunda wakizidi kuingia kwenye mikopo ili kukuza biashara zao, wamehimizwa kuchukua mikopo kwa malengo maalumu na kuepuka mikopo hatarishi inayoweza kuwaingiza katika mzigo wa madeni. Wito huo umetolewa na CRDB Foundation wakati wa warsha ya mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake wafanyabiashara wa mbogamboga iliyofanyika…