NEMC IPEWE MENO YA KUFANYA MAAMUZI YASIYOINGILIWA .

Ni kauli yake Mhe. Kasalali Emmanuel Mageni Mbunge wa Jimbo la Sumve Mkoa wa Mwanza, alipokuwa akichangia hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yusph Masauni (Mb) aliyoiwasilisha leo kuhusu mapitio ya utekelezaji wa mpango na bajeti kwa mwaka 2024/2025 na makadirio ya mapato na matumizi…

Read More

Vitanda vitano vyatolewa kusaidia tiba ya saratani Bugando

Mwanza. Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando imepatiwa msaada wa vitanda vitano maalumu kwa ajili ya matibabu ya wagonjwa wa saratani. Vitanda hivyo vyenye thamani ya Sh64 milioni vimetolewa siku chache tangu Hospitali ya Bugando itoe taarifa ya kuwepo ongezeko la wagonjwa wa saratani katika kanda hiyo. Akizungumza baada ya kukabidhiwa vitanda hivyo leo Jumanne,…

Read More

Jela miaka 30 kwa kubaka, kumtia mimba mwanafunzi

Simiyu. Mahakama ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, imemuhukumu Jumanne Clement (23), mkazi wa Ngudu Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza, kutumikia kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka na kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha kwanza mwenye miaka 15. Hukumu hiyo imesomwa leo Jumatano Aprili 30, 2025 na Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama…

Read More

Wanaharakati wa tabianchi wafanya maandamano mjini Baku – DW – 15.11.2024

Waandamanaji hao walizitaka nchi tajiri, ambazo zinahusika na uzalishaji mkubwa wa gesi chafuzi zinazochangia ongezeko la joto duniani, kulipia kiwango kinachostahili katika mazungumzo ya ufadhili wa hali ya hewa yanayoendelea mjini Baku. Mmoja wa wanaharakati hao wa mazingira Amalen Sathananthar ametoa wito wa mabadiliko ya haki, ya usawa, na yanayofadhiliwa kuachana na matumizi ya nishati…

Read More

Mambo ni moto…. Yanga yaijibu Simba

BAADA ya dili la kumpata Yusuf Kagoma ili kuongeza nguvu eneo la kiungo kushindikana na nyota huyo kutambulishwa Simba jana, Yanga imejibu mapigo kwa kushusha kiungo mwingine atakayecheza nafasi hiyo. Ipo hivi; Yanga ilikuwa ya kwanza kumfuata Kagoma aliyeitumikia Singida Fountain Gate msimu uliopita ili kumpa mkataba, lakini wakati ikiendelea kujadili juu ya ishu ya…

Read More

Baraza la madiwani Geita lalidhia kupitisha bilioni 4.3 mapendekezo ya CSR 2024.

Madiwani katika Baraza la Halmashauri ya Wilaya ya Geita limekutana kujadili mapendekezo ya mpango wa wajibu kwa kampuni ya Mgodi wa Dhahabu Geita (GGML) kwa jamii (CSR) 2024 katika utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo ambapo kiasi cha shilingi Bilioni 4.3 kimependekezwa kupitishwa. Katika Kikao hicho kimewakutanisha wawakilishi kutoka Kampuni ya Mgodi wa Dhahabu (GGML), Ofisi…

Read More