JWT yatoa wito wafanyabiashara kufunga maduka kushiriki uchaguzi

Dar es Salaam. Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) imetoa wito kwa wafanyabiashara wote nchini kushiriki katika uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika kesho, Oktoba 29, 2025, ikisisitiza umuhimu wa amani na utulivu katika kipindi chote cha uchaguzi. Katika taarifa iliyotolewa leo, Oktoba 28, 2025 na Mwenyekiti wa  JWT, Hamis Livembe imeeleza kuwa siku…

Read More

Uchumi mwiba kwa wanafunzi vyuoni

Dar es Salaam. Kupanda kwa gharama za maisha kumeathiri wanafunzi vyuoni nchini Tanzania, baadhi wakilazimika kuahirisha masomo. Wanaoathiriwa zaidi ni wanafunzi wanaotegemea msaada wa familia, ambao kunapotokea changamoto ya hali ngumu za kiuchumi huathirika. Kutokana na changamoto hizo, baadhi huahirisha masomo kwa muda ili kufanya kazi za muda mfupi au biashara ndogondogo ili kujikimu, hivyo…

Read More

Huduma za fedha kidijitali zitakavyoboresha kilimo nchini

Dodoma. Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) imeeleza namna huduma za mawasiliano na fedha kidijitali zitakavyoboresha kilimo ambacho kinachangia asilimia 30 ya pato la Taifa. Imeelezwa kuwa wakulima walio wengi bado hawajafikiwa na huduma rasmi za kifedha katika shughuli zao ikiwemo ununuzi wa pembejeo. Hivyo, tume hiyo imesaini makubaliano ya kuingia katika ushirikiano wa…

Read More

JUBILEE INSURANCE YADHAMINI WAENDESHA BAISKELI TANZANIA KUSHIRIKI MASHINDANO YA KIMATAIFA NAIROBI

Na Karama Kenyunko,Michuzi TV KAMPUNI ya bima ya Jubilee Insurance imeamua kushirikiana na Chama cha Waendesha Baiskeli Tanzania katika kudhamini safari ya wanachama wanne wa chama hicho kushiriki mashindano makubwa ya kimataifa ya Live Free Race 2025, yatakayofanyika jijini Nairobi, Kenya kuanzia Oktoba 5 mwaka huu. Akizungumza leo Oktoba3,2025 wakati wa kutambulisha udhamini wa wanamichezo…

Read More