CRDB yawatahadharisha wajasiriamali dhidi ya mikopo hatarishi

Dar es Salaam. Wakati wajasiriamali wadogo hususan wanawake wanaouza mbogamboga na matunda wakizidi kuingia kwenye mikopo ili kukuza biashara zao, wamehimizwa kuchukua mikopo kwa malengo maalumu na kuepuka mikopo hatarishi inayoweza kuwaingiza katika mzigo wa madeni. Wito huo umetolewa na CRDB Foundation wakati wa warsha ya mafunzo ya ujasiriamali kwa wanawake wafanyabiashara wa mbogamboga iliyofanyika…

Read More

84 Churches in Ethiopia Change Their Church Signboards to Shincheonji Church of Jesus, the Temple of the Tabernacle of the Testimony

On the 10th, representative pastors from 84 churches in Ethiopia posed for a commemorative photo at the “Shincheonji Church of Jesus, the Temple of the Tabernacle of the Testimony, Peter Tribe, Ethiopia Signboard Changing Ceremony.”  On the 10th, during the “Shincheonji Church of Jesus, the Temple of the Tabernacle of the Testimony, Peter Tribe, Ethiopia…

Read More

Ibenge: Mbeya City inanipa ramani

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema mechi ya kesho dhidi ya Mbeya City itatoa picha ya ushindani kwa ajili ya Ligi Kuu Bara inayoanza Septemba 17, huku akiweka wazi utakuwa mchezo mzuri kutokana na utayari wa wachezaji wa kikosi hicho. Azam itashuka uwanjani kesho katika pambano la kirafiki la kusindikiza tamasha la Mbeya…

Read More

Tofauti za kihisia kati ya wanawake na wanaume

Dar es Salaam. Mijadala kuhusu tofauti kati ya wanawake na wanaume imekuwepo kwa muda mrefu, lakini mijadala inayohusu hisia na mawasiliano imekuwa nyeti zaidi kwa sababu inagusa maisha ya kila siku kama ndoa, uhusiano wa kimapenzi, familia na hata sehemu za kazi. Mara nyingi migogoro hutokea si kwa sababu ya kukosa upendo au heshima, bali…

Read More

TRA Yazindua Dawati Maalum la Uwezeshaji Biashara

KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Juma Mwenda, amezindua Dawati Maalum la Uwezeshaji Biashara litakalosaidia kuwatambua wafanyabiashara ambao hawapo kwenye mfumo rasmi na kutatua changamoto zinazowakabili ili kukuza biashara zao. Uzinduzi huo umefanyika jana, Septemba 27, 2025, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Mkuu wa Wilaya…

Read More

Rais Samia ateta na mwakilishi UN

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania imejizatiti kuhakikisha mchakato wa kufuatilia matukio ya maandamano yaliyozaa vurugu Oktoba 29, 2025 unafanyika kwa kuzingatia utawala wa sheria, uwajibikaji na haki. Amesisitiza hayo yanafanyika huku nchi ikiendelea kulinda amani, umoja wa kitaifa na utulivu wa kisiasa ambao umekuwa msingi wa wakati wote wa maendeleo ya…

Read More