WAZIRI WA AFYA AKAGUA MIUNDOMBINU,HUDUMA ZINAZOTOLEWA HOSPITALI YA HALMASHAURI WILAYA YA YA HANDENI

Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama leo Februari 22, 2025 amefanya ziara ya kukagua miundombinu pamoja na huduma zinazotolewa katika Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Handeni (Mkata) Mkoani Tanga inayotarajiwa kuzinduliwa rasmi kesho Februari 23, 2025 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Miongoni mwa wodi alizotembelea na…

Read More

SHANTA MINING WAAHIDI KUENDELEA KULIPA KODI KWA HIARI

  Uongozi wa Kampuni ya uchimbaji Madini ya Shanta   Mining inayomiliki mgodi wa Singida Gold Mining na New Luika umeahidi kuendelea kulipa Kodi kwa hiari na kuishukuru Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa ushirikiano wanaowapa, hayo yamejili leo tarehe 05.02.2025 walipotembelewa na Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda. Akizungumza wakati wa ziara hiyo…

Read More

Makocha hawa wapewa maua yao

LIGI ya Championship imefikia tamati jana kwa msimu wa 2023/2024 huku Kocha Mkuu wa Pamba, Mbwana Makata akiweka rekodi ya kipekee kwa kuipandisha timu hiyo Ligi Kuu Bara baada ya kusota kwa takribani miaka 23 tangu iliposhuka rasmi daraja. Makata licha ya kuweka rekodi hiyo pia amejitengenezea ufalme wa kupandisha timu nyingi Ligi Kuu Bara…

Read More

Nyaishozi Mfano wa shule Bora zinazotangaza ushirika kielimu

Na Diana Byera,Karagwe Wamiliki wa shule binafsi wilayani Karagwe, mkoani Kagera, wametakiwa kuzingatia lengo kuu la kuanzisha shule,ambalo ni kutoa huduma ya elimu badala ya kuzigeuza shule hizo kuwa chanzo cha biashara na faida kubwa.  Wito huo umetolewa kufuatia ongezeko la malalamiko kutoka kwa jamii kuhusu gharama kubwa na michango mingi isiyoelezeka katika baadhi ya…

Read More

Asilimia 67 ya Watanzania wanaamini uchumi utaimarika

Dar es Salaam. Karibu asilimia 67 ya Watanzania wanaamini kuwa nchi inaelekea kwenye mwelekeo sahihi na idadi kubwa inatarajia uchumi kuimarika katika miezi 12 ijayo, kwa mujibu wa ripoti mpya ya Afrobarometer. Ripoti hiyo pia inaonyesha kuwa asilimia ya Watanzania wanaoona mwelekeo chanya wa uchumi wa nchi kwa njia chanya imeongezeka kwa alama 9 za…

Read More

MSD yataja hatua za mageuzi katika uzalishaji wa ndani

Arusha. Bohari ya Dawa (MSD) imesema uwekezaji katika uzalishaji wa bidhaa za afya ndani ya nchi unahitaji kuimarishwa ili viwanda vizalishe zaidi kukidhi mahitaji ya nchi na kuliingizia Taifa fedha za kigeni. Imesema utegemezi wa uagizaji wa bidhaa za afya, unatokana na uwezo hafifu wa viwanda vya ndani, uwekezaji katika sekta ya viwanda vya uzalishaji…

Read More

Trafiki 168 wachukuliwa hatua ndani ya mwaka mmoja

Dodoma. Askari wa usalama wa barabarani  168 wamechukuliwa hatua zikiwamo kushtakiwa kijeshi, kuhamishwa vitengo na kufukuzwa kazi, kutokana na makosa ya kinidhamu ikiwemo rushwa katika kipindi cha kuanzia Juni 2023  hadi Juni 2024. Mwanasheria wa Kikosi cha Usalama wa Barabarani, Deus Sokoni ameeleza hayo wakati wa uzinduzi wa wiki ya usalama wa barabarani, inayoambatana na…

Read More