SERIKALI YAPUNGUZA KODI KWENYE VIFAA VYA MAZOEZI TIBA

 Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma. Serikali imesema kuwa msamaha kwenye vifaa tiba vya mazoezi yaani physiotherapy hutolewa kwa hospitali zilizosajiliwa na kuidhinishwa na Waziri wa Afya, ambapo hupatiwa msamaha wa kodi kwa lengo la kuboresha afya kupitia mazoezi, ambayo ni njia bora ya kuzuia magonjwa na kuboresha ustawi wa jumla wa jamii. Hayo yameelezwa bungeni,…

Read More

Mwijaku awasilisha mapingamizi  kesi ya Kipanya

Dar es Salaam. Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala ndogo ya Dar es Salaam imepanga Oktoba 17, 2024 kusikiliza mapingamizi manne ya kisheria yaliyowasilishwa na mtangazaji wa Crown Media Ltd, Burton Mwemba Mwijaku, Mwijaku amewasilisha mapingamizi hayo katika kesi ya madai iliyofunguliwa na mchora katuni maarufu, Ally Masoud Nyomwa maarufu kwa jina la Kipanya, akitakiwa kumlipa…

Read More

TANZANIA YAANZA VYEMA CHAN 2025

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TIMU ya Taifa ya mpira wa miguu Tanzania (Taifa Stars) imeanza vizuri michuano ya CHAN 2025 baada ya kufanikiwa kuichapa Burkina Faso mabao 2-0 katika mchezo wa ufunguzi wa michuano hiyo. Katika mchezo huo ambao ulitanguliwa na shamrashamra za sherehe za ufunguzi, Taifa Stars akiwa nyumbani uwanja wa Benjamini Mkapa…

Read More

MAMILIONI NJE NJE LEO KUPITIA UEFA NATIONS LEAGUE

UNATAKA kua milionea mpya mjini? Jibu ni moja tu ni kupitia michuano ya Uefa Nations League ambayo inaendelea kupigwa, Meridianbet wamehakikisha unakua milionea kwani wamemwaga Odds za kutosha kupitia michuano hii. Michuano hii ambayo inapigwa kipindi hiki ligi zimesimama ndio imekua mkombozi wa wabashiri, Uefa Nations League ina michezo ya kibabe kwelikweli lakini pia wabashiri…

Read More

WANA-RUANGWA HATUNA DENI NA RAIS DKT. SAMIA

 ::::::::::: MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Chama cha Mapinduzi, Waziri Mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Kassim Majaliwa amesema kuwa Wilaya hiyo haina deni na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi kubwa ya kimaendeleo iliyofanyika katika sekta mbalimbali. Ameyasema hayo leo (Jumamosi, Mei 03, 2025) wakati akizungumza katika kikao kilichojumuisha…

Read More

Sababu Papa Francis kuzikwa tofauti na wenzake 91

Kwa mujibu wa taratibu za Kanisa Katoliki mazishi ya Papa hufanyika siku ya 4 hadi 6 baada ya kifo chake. Sehemu kubwa ya maziko ya papa huwa anayapanga mwenyewe na kumwachia Kardinali Carmelengo jukumu la kutekeleza. Baada ya kufa mwili hukabidhiwa familia ya Signoracci kwa ajili ya kuandaa mwili kwa ajili ya maziko. Mwili wa…

Read More

Chemundugwao: Nipo tayari kujiunga Dar City

WAKATI timu ya Dar City ikiongoza Ligi ya Kikapu  Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), mchezaji nyota  wa zamani wa timu ya Dar City Trofimo Chemundugwao   anasema kuwa anategemea kujiunga timu yake hivi karibu Chemundugwao ambaye yuko Mtwara kikazi, alisema atajiunga kikosini baada ya kumaliza kazi zilizompeleka Mtwara. “Kazi karibu tunamaliza, nikitoka huku nitakwenda  moja…

Read More