BDL ilihamia Taifa Cup | Mwanaspoti

Ushindani wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), ulihamia katika fainali ya mashindano ya Kombe la Taifa kati ya Dar es Salaam na Mara, ambapo ulitokana na ubora wachezaji wa timu zote mbili kutokana na jinsi walivyozoeana wakutanapo kwenye BDL. Mara iliwakilishwa na mastaa kama Baraka Sabibi, Mussa Chacha wanaokipiga JKT ilhali…

Read More

Tume ya Ushindani (FCC), imeendelea kutumia fursa ya Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) kwa kutoa elimu kwa Umma

    Tume ya Ushindani (FCC), imeendelea kutumia fursa ya Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba) kwa kutoa elimu kwa Umma ambao ndio walaji au watumiaji wa bidhaa na huduma.  Wananchi mbalimbali wameendelea kujitokeza na kutembelea banda la FCC ambapo wamenufaika kwa kupata elimu zaidi inayohusu masuala ya Ushindani, Udhibiti wa Bidhaa Bandia…

Read More

BAKWATA YAZINDUA MRADI WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JAMII MWANZA

NA BALTAZAR MASHAKA,ILEMELA. BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA),limezindua Mradi wa Kuchochea Maendeleo ya Jamii,mkoani humu unaolenga kukusanya sh. bilioni 2.2 kwa mwaka,uliofanyika sambamba na Baraza la Eid Al Adh’aa leo. Akizindua mradi huo Sheikh wa Mkoa wa Mwanza,Alhaji Hasani Kabeke amesema utakakuwa shirikishi unalenga kubadilisha fikra za waislamu na wasio waislamu ili kuleta maendeleo….

Read More

Wakati wa kuunda upya Fedha za Maendeleo ya Ulimwenguni – Maswala ya Ulimwenguni

Mkulima huko Colombia. Mikopo: Nomads/Forus Maoni na Sarah Strack, Christelle Kalhoule (Seville, Uhispania) Jumatatu, Juni 23, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Sarah Strack, Mkurugenzi wa Foros na Christelle Kalhoule, mwenyekiti wa Forus Seville, Uhispania, Jun 23 (IPS) – inaweza Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Fedha kwa Maendeleo (FFD4) Kuwa mahali pa kugeuza? Viwango…

Read More

Saa 6 za kesi ya kina Shilton, yapangwa kusikilizwa Feb 10

HUWEZI kuamini, lakini ukweli ni kwamba serikali imetumia karibu saa sita kusoma maelezo ya mashahidi na vielelezo (commital proceedings) katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zenye uzito kilo 34.89 inayomkabili mmiliki wa kituo cha Cambiasso Sport Academy, Kambi Seif na wenzake watano. Saa hizo zimetumika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,…

Read More