Chadema watakavyogawa kumbi za Mahakama leo kufuatilia kesi zinazowahusisha

Dar es Salaam. Viongozi, wanachama na wapenzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo watalazimika kugawana kumbi za Mahakama katika kufuatilia mienendo ya kesi mbili tofauti zinazokihusisha chama hicho. Kesi hizo zimekuwa zikiwakutanisha mahakamani wana-Chadema hao ni kesi ya madai inayokikabili chama hicho kuhusiana na mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali za chama kati ya…

Read More

NYALANDU KIELELEZO CHA MFANO WA KUIGWA UCHAGUZI 2025/2030

…………….. MBUNGE wa Zamani wa Jimbo la Ilongero Lazaro Nyalandu ameonesha dhamira ya kweli ya kumtafutia kura mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk Samia Suluhu Hassan kwa hatua yake ya kupita Kijiji kwa Kijiji kumuombea kura. Hatua hiyo kwa mujibu wa wadadisi mbalimbali wa masuala ya Kisiasa, anafaa kuwa mfano wa kuigwa…

Read More

Ahadi za vyama, ZEC ziwe kwa vitendo zaidi

Hivi karibuni, jumla ya vyama 18 vya siasa vilitia saini hati ya makubaliano ya kuhakikisha uchaguzi mkuu wa Zanzibar unafanyika kwa amani, uwazi na kwa misingi ya kidemokrasia. Makubaliano hayo yaliyosimamiwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Jaji George Kazi, yamelenga kujenga mazingira bora ya kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyia Jumatano Oktoba…

Read More

Matumizi ya kijeshi ulimwenguni kote rekodi ya $ 2.7 trilioni – maswala ya ulimwengu

“Ulimwengu unatumia vita zaidi kuliko katika kujenga amani“Un Katibu Mkuu António Guterres Alisema katika mkutano wa waandishi wa habari kwa mpya ripoti juu ya tishio linalosababishwa na kuongezeka kwa matumizi ya kijeshi. Matumizi ya mahitaji ya usalama yaliongezeka katika mikoa yote mitano ya ulimwengu wakati wa 2024, kuashiria kuongezeka kwa mwaka kwa mwaka kwa angalau…

Read More

Bado Watatu – 24 | Mwanaspoti

Hata kama nitaendelea kuificha maiti ya Shefa, mtu aliyemuua atakuwa anajua kuwa maiti ya Shefa nimeificha humu ndani. Kama ataamua kunisaliti, anaweza kuwatonya polisi wakaja wakapekua nyumba yangu na kuikuta. Mawazo yote hayo yalipita katika akili yangu na kunikatisha tamaa. Niliona kwamba muda wangu wa kukamatwa na kuhusishwa na mauaji yale ulikuwa karibu sana. Kwanza,…

Read More

SIMBA DAY: Nje moto ndani moto

UMEUONA mziki wa Simba SC? Najua hujauona vizuri, sasa Septemba 10, 2025, vyuma vyote vinawekwa hadharani kwa kutambulishwa mbele ya mashabiki kisha utapigwa mchezo wa kirafiki dhidi ya Gor Mahia kutoka Kenya. Hiyo itakuwa ni kilele cha Tamasha la Simba Day ambalo mwaka…

Read More

Wanachama 160 kutoka Mwanza kushuhudia Simba Day

MAKAMU Mwenyekiti wa Matawi ya Simba Mkoa wa Mwanza, Juma Kayugwa amesema mashabiki na wanachama 54 wamewasili Dar es Salaam kwa ajili ya kushuhudia Tamasha la Simba Day litakalofanyika leo, Jumatano kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Akizungumza na Mwanaspoti, Kayugwa alisema wanatarajia kuwa na zaidi ya wanachama 160 kutoka Mwanza. “Tumeambatana na baadhi ya viongozi…

Read More