TRA Geita yavuka lengo la makusanyo, ikiwageukia wafanyabiashara wasio rasmi

Geita/Dodoma. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Geita imekusanya Sh69.2 bilioni kwa mwaka wa fedha 2024/25, sawa na asilimia 113 ya lengo la Sh61.7 bilioni ililopaswa kukusanya. Sambamba na mafanikio hayo, mamlaka hiyo imetangaza mkakati mpya wa kuwashirikisha wafanyabiashara wadogo na wale wa sekta isiyo rasmi kupitia dawati maalumu la uwezeshaji biashara, ili kuwawezesha kurasimisha…

Read More

ALAF Yaahidi Kuendelea Kuwekeza Katika Afya za Wafanyakazi Kupitia Kili Marathon

Moshi, Tanzania – Kampuni ya ALAF Limited imeahidi kuendelea kuwekeza zaidi katika afya za wafanyakazi wake kwa kuhimiza ushiriki wao katika shughuli za michezo, ikiwemo mbio za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon zilizofanyika hivi karibuni mkoani Kilimanjaro. Akizungumza mara baada ya mgeni rasmi, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, kutembelea banda la…

Read More

Staa wa zamani wa Bongo Fleva asimikwa kuwa mchungaji

Dodoma. Miaka kadhaa iliyopita jina la Ainea lilisikika sana kwenye anga la muziki wa Bongo Fleva, akitamba na vibao vilivyotikisa redio na majukwaa ya burudani. Lakini leo, sauti hiyo iliyowahi kuwaburudisha mashabiki imegeuka kuwa chombo cha kuhubiri neno la Mungu. Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Kedmon Ainea maarufu kama Ainea, sasa ameanza rasmi maisha mapya ya…

Read More

Furaha ya wazazi inayoangamiza kesho ya watoto

Dar es Salaam. “Mitandao haisahau.” Ni usemi kueleza kwamba, lolote liwekwalo mtandaoni, ama iwe ni picha, maandiko, video, maoni au taarifa binafsi hubaki na kuna uwezekano wa kuonekana hata kama likifutwa. Hii ni kutokana na kuwa, taarifa mara nyingi huhifadhiwa kwenye seva mbalimbali, watu huhifadhi kwa kuzipakua au kuzipiga picha na wana uwezo wa kuzisambaza…

Read More

SAMIA ARDHI KLINIKI KUONGEZA UMILIKI WA ARDHI KWA WANAWAKE

  Na.Mwandishi Wetu-Dodoma WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanzisha  kliniki maalum iitwayo Samia Ardhi Kliniki nchi nzima kwa lengo la kuongeza idadi ya wanawake wanaomiliki ardhi, ambapo kwa sasa ni asilimia 28 tu. Hatua hiyo inalenga kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, katika kuhakikisha…

Read More