Sintofahamu kifo mgombea Chadema, Polisi yafafanua

Kagera. Jeshi la Polisi nchini limesema taarifa za kuuawa kwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wilayani Missenyi mkoani Kagera, Joseph Remigius (52) si za kweli na zinalenga kuupotosha umma. Msemaji wa Jeshi hilo, David Misime kupitia taarifa kwa umma ameeleza hayo leo Ijumaa Novemba Mosi, 2024. Awali kupitia mitandao ya kijamii zilisambaa…

Read More

Jukwaa la wakurugenzi wakuu kuchochea mabadiliko biashara, uchumi

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Jukwaa la Wakurugenzi Wakuu wa Kampuni Tanzania (CEOrt), Santina Benson amesema jukwaa hilo limekuwa muhimu katika kuboresha mazingira ya biashara nchini na uchumi kwa ujumla. Santina amesema hayo katika maadhimisho ya miaka 25 tangu kuanzishwa kwa CEOrt ambapo zimefanyika mbio zinazojulikana kama ‘CEOrt Legacy Walk’ Jumamosi Julai 12, 2025,…

Read More

Chadema yakomaa na Muliro, mageuzi

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kuvutana na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, huku kila upande ukimtuhumu mwenzake kwa kutotekeleza majukumu yake kwa kuzingatia sheria. Tangu kukamatwa kwa mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Tundu Lissu akiwa anahutubia  Kampeni ya No reforms, no election, Mbinga mkoani Ruvuma na…

Read More

Jeshi la Germany lina utayari kubeba dhamana NATO? – DW – 10.07.2024

NATO ilianzishwa kufanya kazi kama muungano wa kijeshi kujilinda dhidi ya Umoja wa Kisovieti. Ndani ya jeshi hilo, jeshi la Ujerumani Magharibi lilipata mafunzo ya kujilinda dhidi ya mashambulizi kutoka Ujerumani Mashariki. Miongo mitatu baadae, kitisho kinakuja tena kutoka Urusi.  Ilikuwa mwanzoni mwa mwaka 1996, wakati wanajeshi wa Ujerumani wakiwa wamevalia nguo za kivita walipoingia…

Read More