
TMX yawezesha kupatikana zaidi ya Shilingi Bilioni 490, fahamu zaidi
Kiasi cha fedha Zaidi ya Shilingi Bilioni 490 kimepatikana kupitia mauzo ya zao la ufuta kiasi cha tani 125,00 msimu 2024/2024 kupitia minada iliyoendeshwa na vyama vikuu vya Ushirika vipatavyo 10 katika mikoa saba inayolima ufuta nchini. Hayo ni kwa mujibu wa Afisa usimamizi fedha soko la bidhaa Tanzania (TMX) Bw. Prince Philemon wakati akizungumza…