Serikali yaanza msako wanaotoa mikopo kausha damu

SERIKALI imeanza kufuatilia watu, vikundi na taasisi zinazotoa kinyume cha sheria mikopo yenye masharti magumu na riba kubwa maarufu kama kausha damu, kwa ajili ya kuwachukulia hatua za kisheria. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Akizungumza bungeni jijini Dodoma, leo tarehe 2 Mei 2024, Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali inachukua hatua hiyo ili kuwalinda…

Read More

Msikae kubishana kwenye vikao vya kutatua changamoto.

Baraza la Halmashauri ya wilaya ya Geita limewaonya Baadhi ya Viongozi katika kata watakao Kwenda kusimamia Mfuko wa Maafa ambao umeundwa kwa ajili ya kusaidia kutatua changamoto za Maafa wasiwe chanzo cha Mivutano katika vikao ambavyo vitaenda kutatua changamoto hizo. Agizo hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani wilaya ya Geita , Charles Kazungu…

Read More

Simbachawene atoa mwongozo Tasaf inavyofanya kazi

Singida. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, amesema moja ya majukumu makuu ya Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) ni kuwawezesha wananchi kiuchumi, hususan wale wasiojiweza. Amesisitiza kuwa mfuko huo unalenga kutatua changamoto zinazohusiana moja kwa moja na maisha ya wananchi, kama vile kuboresha miundombinu…

Read More

Majeraha kumng’oa Mutale Msimbazi | Mwanaspoti

TOFAUTI na matarajio ya viongozi na hata mashabiki na wapenzi wa Simba wakati anasajiliwa, ukweli ni kwamba Mzambia Joshua Mutale anahesabu siku tangu dirisha dogo la usajili likifunguliwa leo, kutokana na kinachoelezwa majeraha ya mara kwa mara yanaweza kumng’oa Msimbazi. Mutale alisajiliwa kwa mbwembwe katika dirisha kubwa la msimu huu, lakini ameshindwa kufanya maajabu akiwa…

Read More

BENKI YA STANBIC TANZANIA NA GAIN WAZINDUA PROGRAMU YA KIKUNDI CHA SABA CHA MAENDELEO YA BIASHARA KITAIFA KWA AJILI YA WAJASIRIAMALI WADOGO NA KATI (SMEs)

• Stanbic na GAIN wanaungana kuongeza mchango wa SME katika sekta ya chakula ili kuboresha upatikanaji wa lishe bora nchini Tanzania.• Programu inalenga kuboresha biashara zinazoongozwa na wanawake kwa kuwapa ujuzi katika usimamizi wa zabuni, uboreshaji wa bidhaa, usalama wa chakula, na mbinu za masoko.• Uzinduzi huu unaendana na dhamira ya Stanbic ya kukuza maendeleo…

Read More