Prisons Queens waipania WRCL | Mwanaspoti

LIGI ya Mabingwa wa Mikoa kwa Soka la Wanawake (WRCL) inatrajiwa kuanza Jumatano jijini Dodoma, huku Tanzania Prisons Queens imesema wapo tayari kupambania nafasi ya kupanda daraja la kwanza. Ligi hiyo inashirikisha timu 19 kutoka baadhi ya Mikoa, ambapo timu mbili za juu zitapanda Daraja la Kwanza kwa ajili ya msimu ujao kutafuta nafasi ya…

Read More

MABILIONI YA CSR KUTOKA BARRICK BULYANHULU KUTEKELEZA MIRADI YA ELIMU, AFYA NA UWEKEZAJI HALMASHAURI YA MSALALA 2025

  Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Msalala, Mibako Mabubu (Kushoto) akibadilishana mkataba wa makubaliano na Kaimu Meneja Mkuu wa Mgodi wa Barrick Bulyanhulu,Charles Mhando ,wengine pichani ni wafanyakazi wa halmashauri hiyo na Mgodi wa Bulyanhulu. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Msalala Leonard Mashaka Mabula (Kushoto) akibadilishana mkataba wa makubaliano na Kaimu Meneja…

Read More

Mahakama Yapiga Marufuku Kesi ya Tundu Lissu Kurushwa Mubashara

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imepiga marufuku kurushwa mubashara (live) kwa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, katika hatua ya kusomewa maelezo ya mashahidi (committal proceedings). Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Mkazi Mfawidhi Franco Kiswaga, baada ya kukubaliana na ombi la upande wa Jamhuri ukiongozwa na Wakili wa…

Read More

Odero alalamikia kuonewa, uongozi wamjibu

Dar es Salaam. Wakati Katibu wa Kamati ya Sheria na Haki za Binadamu wa Chadema, Kanda ya Kaskazini, Odero Charles akilalamikia kucheleweshwa kwa uamuzi wa tuhuma dhidi yake, uongozi wake umesema utakamilisha kazi hiyo ndani ya mwezi huu. Katika malalamiko yake, Odero amesema uongozi ukiendelea kukaa kimya ataamua kupambana na uonevu, ukandamizaji, udhalilishaji na ubaguzi…

Read More

Morogoro yaja na maonesho ya kilimo biashara

Morogoro. Mkoa wa Morogoro umeanzisha maonyesho ya kilimo biashara yatakayotambulika kama Samia Kilimo Biashara Expo, lengo likiwa ni kuhamasisha uzalishaji wa mazao ya chakula na lishe hapa nchini. Morogoro ni moja kati ya mikoa inayotegemewa katika kufikia lengo la kuwa na usalama wa chakula na lishe hali, hilo limeufanya uongozi wa mkoa huo kuandaa maonyeshao…

Read More

Waziri Silaa Awasisitiza Waumini Kujiandikisha Kupiga Kura

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe.Jerry Silaa amewataka viongozi wa kanisa kuwaasa waumini wao kutenga muda wa kujiandikisha katika daftari la wapiga kura ili wapate nafasi ya kushiriki kuchagua viongozi kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Agizo hilo amelitoa leo Septemba 30,2024 katika harambee ya ujenzi wa kanisa la KKT Kigezi-Chanika Jijini…

Read More