
Prisons Queens waipania WRCL | Mwanaspoti
LIGI ya Mabingwa wa Mikoa kwa Soka la Wanawake (WRCL) inatrajiwa kuanza Jumatano jijini Dodoma, huku Tanzania Prisons Queens imesema wapo tayari kupambania nafasi ya kupanda daraja la kwanza. Ligi hiyo inashirikisha timu 19 kutoka baadhi ya Mikoa, ambapo timu mbili za juu zitapanda Daraja la Kwanza kwa ajili ya msimu ujao kutafuta nafasi ya…