WAZAZI WASHAURIWA KUWAPELEKA HOSPITALI WATOTO WENYE ULEMAVU

Aisha Juma alijifungua mtoto akiwa na uvimbe shingoni, kadri mtoto alivyokua anakua, ndipo uvimbe ule uliendelea kuongezeka, awali hawakujua chanzo cha tatizo na kwamba walidhani ni ulemavu kama walivyo watoto wengine wenye ulemavu. Licha ya kuangaika huku na huko jamii ilimuona kama mtoto mwenye ulemavu na kwamba hawezi kupona hata akifanyiwa matibabu. Lakini cha ajabu…

Read More

Rupia afunga bao la 10, aizamisha Azam FC

Bao la dakika ya 75 la Mkenya Elvis Rupia, limetosha kuipa pointi tatu muhimu Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya matajiri wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC, uliopigwa kwenye Uwanja wa CCM Liti mjini Singida. Mchezo huo ulikuwa ni wa kisasi kwa Singida baada ya mechi ya mzunguko…

Read More

Mwaijojele aahidi mageuzi makubwa sekta za kilimo, madini na uvuvi

Moshi. Mgombea Urais kupitia Chama cha Kijamii (CCK), David Mwaijojele ameahidi kuleta mageuzi makubwa ya kiuchumi endapo Watanzania watampa ridhaa ya kuongoza serikali katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, mwaka huu.Akizungumza jana jioni oktoba 14, katika mkutano wa kampeni alioufanya uwanja wa stendi ya mabasi Mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro Mwaijojele amesema serikali ya CCK itaweka…

Read More