Waziri Mkuu wadogo zako wakuige – Sumaye

Hanang‘. Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, amewasihi wasaidizi wa Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba kuiga namna anavyotatua  changamoto na kero za wananchi kwa kusikiliza na kuzitatua. Sumaye ameyasema hayo leo Jumapili Machi Mosi, 2026, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika mji mdogo wa Katesh, wilayani Hanang’ mkoani Manyara. Amesema anavutiwa na namna Waziri Mkuu Mwigulu…

Read More

Huduma za miamala ya simu zinavyosukuma uchumi wa nchi

Mara nyingi mijadala ya maendeleo ya uchumi huzungumzia miradi mikubwa inayoweza kuonekana kwa macho kama barabara, reli, bandari, viwanja vya ndege au miradi ya nishati, pengi ni kwakuwa inahusisha uwekezaji mkubwa na kugusa sekta nyingi za uchumi. Mbali na miradi hiyo mikubwa, kuna nguvu nyingine ya miundombinu ambayo haijengwi kwa saruji wala chuma na haihitaji…

Read More

Algeria Poised to Fulfill Its African Ambition

By Moses Ntandu Algeria is expecting to host a huge African trade fair known as the Intra-African Trade Fair (IATF, intending to shine the Africa all over the world. The fair will be of four days commencing from September 4th to 10th, where by the the Algerian capital will become the epicenter of African trade. …

Read More

Polisi mbeya kudhibiti madereva wasio na leseni

Mbeya.  Ili kumaliza tatizo la ajali mkoani Mbeya, Jeshi la Polisi limesema litaanzisha operesheni maalumu kuwabaini na kuchukua hatua za kisheria dhidi ya waendesha vyombo vya moto wasio na leseni. Hatua hii inakuja kufuatia kushirikiana na Chuo cha Ufundi Stadi (Veta) mkoani humo kuanzisha mafunzo ya udereva wa awali yatakayodumu kwa mwezi mmoja. Mkoa wa…

Read More

BALOZI LUVANDA AITAKA NCMC KUYAFIKIA MASOKO YA KIMATAIFA

Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Balozi Baraka Luvanda amekitaka Kituo cha Taifa cha Kufuatilia Kaboni (NCMC) kuimarisha na kupanua wigo wa ushiriki wa Tanzania katika masoko ya kimataifa ya kaboni. Amesema ushiriki huo upewe msukumo kupitia uhifadhi ya mazingira na miradi ya kaboni katika sekta zote za Uchumi wa buluu,…

Read More

Wanawake wa Mvomero, Kilosa kuwezeshwa kiuchumi

Dar es Salaam. Vikundi vya akiba na mikopo (Vicoba) katika wilaya za Mvomero na Kilosa mkoani Morogoro vimejiandaa kunufaika na fursa ya mikopo itakayotolewa na Taasisi ya fedha ya VisionFund Tanzania Microfinance Bank kwa kushirikiana na Norwegian Church Aid (NCA). Mikopo hiyo ambayo ina riba ndogo, itawawezesha wanawake katika vikundi hivyo kuendeleza shughuli zao za…

Read More

KONGAMANO LA MISA TAN SUMIT 2026 LAFANA MKOANI IRINGA

🎈 Mkuu wa Mkoa wa Iringa Kheri James akaribisha kuwekeza Iringa 🎈NSSF yatoa elimu kwa wadau, wataka wajiunge wafaidike na Mafao Mkuu wa Mkoa wa Iringa Kheri James amefungua Kongamano la  MISA TAN WADAU SUMMIT 2026 ambao umewakutanisha waandishi wa habari, wahariri na wadau wa habari ambapo amesema serikali ya Mkoa wa Iringa itaendelea kushirikiana…

Read More