Ujenzi wa SGR Isaka-Mwanza wafikia asilimia 63

Shinyanga. Meneja wa Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) LOT 5, kutoka Isaka hadi Mwanza, Mhandisi Christopher Kalisti, amesema kuwa kazi kubwa katika ujenzi wa mradi huo imekamilika, huku kazi nyingine zikifanyika kwa kasi. Hayo yamebainishwa jana, Aprili 4, 2025, wakati wa ziara ya kutembelea mradi unaotekelezwa na kampuni za ujenzi kutoka China,…

Read More

Cheza The Tipsy Tourist kasino uwe milionea

  Safari za utalii huwa zinanoga sana haswa mnapokuwa na vibe la kutosha, Meridianbet inakupeleka kutalii ukiwa na waongozaji mahari kwenye mchezo wao mpya wa kasino ya mtandaoni wa utalii. The Tipsy Tourist ni mchezo wa sloti ya kasino ya mtandaoni Meridianbet kutoka kwa watayarishaji BetSoft – Aina kadhaa za bonasi zinakungojea kwenye mchezo huu….

Read More

REA YAPONGEZWA KUFIKISHA UMEME VIJIJINI

  Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe. Fatma Mwassa ameupongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kazi kubwa ya kufikisha umeme vijijini ambapo imekuwa ni chachu katika kuboresha huduma za kijamii vijijini pamoja na uchumi wa wananchi. Mhe. Mwassa ametoa pongezi hizo leo Novemba 8, 2024 Mkoani Kagera wakati akifungua Mkutano wa Pili wa Mwaka…

Read More

Wasusa kumzika marehemu wakidai ameuawa kishirikina

Njombe Wananchi wa mtaa wa Muungano halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe wamegomea kuuzika mwili wa kijana Elisha Nyalusi (35) wakidai kifo chake kimesababishwa na imani za kishirikina huku wakimtuhumu baba yake na kutaka arudishwe akiwa hai. Wananchi hao akiwemo Nickson Nywage,Eliud Mwenda na Salima Mangula wamesema wamegomea kuuzika mwili huo kutokana na vijana…

Read More

TZ Green yaanza kibabe TCA Majaribio

BAADA ya kupoteza mara nyingi dhidi ya TZ Blue katika mechi za majaribio kwa ajili ya kusaka kikosi cha timu ya taifa ya kriketi, TZ Green, hatimaye imeweza kufuta uteja baada ya ushindi wa mikimbio 32 kati mechi ya kwanza katika Uwanja wa UDSM mwishoni mwa juma. Wachezaji nyota  wa kriketi wamejigawa katika timu za…

Read More

Aussems kushusha vyuma Singida Black Stars

WAKATI Singida Black Stars ikiendelea kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao, uongozi wa timu hiyo umesema umemuachia jukumu Kocha Mkuu Patrick Aussems kuamua nani aingie au kutoka kuhakikisha anafikia malengo ya nafasi nne za juu. Timu hiyo ambayo awali ilifahamika Ihefu ikianzia makao yake Mbarali mkoani Mbeya kabla ya kuhamia mkoani Singida na tayari imebadili…

Read More

Sababu kunguru wa India kuangamizwa Zanzibar

Unguja. Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo imezindua mradi wa kuwaangamiza kunguru wa India ambao wanahusishwa na uharibifu wa mazao, wanyama wadogo na kuathiri uchumi wa wakulima na wafugaji. Mwaka 1880 Serikali ya Uingereza ilipeleka kunguru hao Zanzibar kwa lengo zuri la kusaidia kupunguza takataka na mizoga mitaani, lakini idadi yao imeongezeka kwa kasi…

Read More

Ufahamu ugonjwa wa Parkinson na athari zake

Dar es Salaam. Wakati ulimwengu ukitarajiwa kuadhimisha Siku ya Parkinson duniani, kesho, ugonjwa huo umetajwa kuathiri neva za fahamu na kuathiri ufanisi wa mwili kwa mgonjwa ikiwemo kushiriki tendo la ndoa. Siku ya Parkinson Ulimwenguni huadhimishwa Aprili 11 kila mwaka ili kuhamasisha kuhusu ugonjwa wa Parkinson, ambao ni ugonjwa endelevu wa neva za fahamu na…

Read More

NBAA YAWAFIKIA TANGA – MICHUZI BLOG

Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) inawakaribisha wananchi kwenye Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu, ujuzi na ubunifu mwaka 2024 yenye kauli mbiu isemayo “Elimu, ujuzi na ubunifu kwa uchumi shindani” yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Akizungumza na Michuzi Blog, Afisa Uhusiano na Mawasiliano Magreth Kageya amesema wanatoa…

Read More