Tanzania inavyoweza kukabili ongezeko bei ya mafuta duniani

Februari 28, 2026, Marekani na Israel zilianzisha mashambulizi yao kwa Iran, yaliyosababisha vifo vya kiongozi mkuu wa taifa hilo, Ayatollah Ali Khamenei, pamoja na viongozi wengine waandamizi wa Iran. Baada ya mashambulizi hayo Iran ilianza kujibu ikilenga kambi za kijeshi za Marekani na Israel lakini pia maeneo ambayo mataifa hayo ya maslahi, Hivi sasa vita…

Read More

Mabula aendelea alipoishia Azerbaijan | Mwanaspoti

KIUNGO wa Shamakhi FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Azerbaijan, Alphonce Mabula amesema ligi ya nchi hiyo imeanza kwa kasi na mechi ya kwanza walitoka sare ya 1-1. Mabula ambaye alijiunga na Shamakhi kwa nusu msimu akitokea FK Spartak Subotica ya Ligi Kuu Serbia alikocheza kwa misimu miwili, alisema tofauti na msimu uliopita, msimu huu karibu…

Read More

Vijana wataka mambo manne wakiadhimisha siku yao

Dar es Salaam. Wakati dunia ikijiandaa kuadhimisha siku ya amani Septemba 21, 2025, nchini Tanzania vijana wameeleza nafasi yao katika kudumisha amani, huku mambo manne yakijadiliwa katika kongamano la maadhimisho hayo. Septemba 21 ya kila mwaka dunia huadhimisha siku ya amani, hapa nchini maadhimisho hayo yameanza leo Septemba 18, 2025 kwa vijana kutoka maeneo mbalimbali…

Read More

Mgombea urais Ada Tadea aahidi kujenga viwanda kila wilaya Pemba

Pemba. Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADA Tadea, George Bussungu amesema endapo atapata ridhaa ya kuchaguliwa na wananchi kuiongoza Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,2025   kipaumbele chake kitakuwa ni  ujenzi wa viwanda katika kila wilaya Kisiwani Pemba. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika  katika Uwanja wa Kangagani…

Read More

Na koti la begi la shule, vyumba vya madarasa vimekuwa malazi – maswala ya ulimwengu

“Tunabeba begi la nguo badala ya begi la shule,” aliiambia Habari za UN. Diana na wanafunzi wengine walishiriki hamu yao ya kurudi darasani, wakizungumza kutoka shule ambazo zimebadilishwa kuwa malazi ya makazi ya Gaza, ambapo wakaazi wengi wa Palestina milioni 2.3 wamelazimishwa kusonga mara kadhaa wakati wa vita vya karibu vya miaka mbili vilivyosababishwa na…

Read More

Maporomoko yaua 1,000, mmoja anusurika Sudan

Watu 1,000 wamefariki dunia huku mmoja akiokolewa kufuatia maporomoko ya ardhi yaliotokea  katika eneo la Darfur nchini Sudan. Maafa hayo yanatokea  wakati Taifa hilo lkingia mwaka wa tatu wa mapigano ya wenyewe kwa wenyewe yaliopekekea vifo vya maelfu ya watu  na hali ngumu ya maisha na ukosefu wa usalama. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na…

Read More

SAU yakomaa na kilimo | Mwananchi

Dar es Salaam. Chama cha Sauti ya Umma (SAU), kimezindua rasmi kampeni zake za uchaguzi mkuu huku  mgombea urais kupitia chama hicho, Majalio Kyara akiahidi kusimamia kilimo hai ili kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi. Akizungumza katika uzinduzi huo leo Jumanne Septemba 9, 2025, katika Viwanja vya Ukonga Mombasa, Dar es Salaam Kyara amesema kilimo ni…

Read More

Kocha Yanga aishika pabaya FAF

KOCHA wa Yanga, Mreno Pedro Goncalves inadaiwa anataka kulipeleka Shirikisho la Soka la Angola (FAF) katika Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kwa kile kinachodaiwa bado linamtambua ni mkufunzi kimkataba, licha ya kuondoka. Taarifa kutoka Angola zinadai FAF, bado linamchukulia Pedro kama kocha mkuu wa timu hiyo ya taifa, huku baadhi ya masharti muhimu yanayohusu…

Read More