
Ujenzi wa SGR Isaka-Mwanza wafikia asilimia 63
Shinyanga. Meneja wa Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) LOT 5, kutoka Isaka hadi Mwanza, Mhandisi Christopher Kalisti, amesema kuwa kazi kubwa katika ujenzi wa mradi huo imekamilika, huku kazi nyingine zikifanyika kwa kasi. Hayo yamebainishwa jana, Aprili 4, 2025, wakati wa ziara ya kutembelea mradi unaotekelezwa na kampuni za ujenzi kutoka China,…