
Hizi hapa teknolojia mpya za kukabiliana na malaria
Wabunifu wa teknolojia duniani wameendelea kuvumbua njia mpya za kuua mbu, matibabu na chanjo, ikiwa ni njia ya kutokomeza ugonjwa wa malaria, ambao ni tishio kwa kusababisha vifo vya maelfu ya watu duniani. Teknolojia mbalimbali, ikiwemo ya kubadilisha vinasaba (DNA) itambulikayo kwa jina la ‘Genetic biocontrol’ zina uwezo wa kuifanya malaria kuwa sehemu ya historia….