Hizi hapa teknolojia mpya za kukabiliana na malaria

Wabunifu wa teknolojia duniani wameendelea kuvumbua njia mpya za kuua mbu, matibabu na chanjo, ikiwa ni njia ya kutokomeza ugonjwa wa malaria, ambao ni tishio kwa kusababisha vifo vya maelfu ya watu duniani. Teknolojia mbalimbali, ikiwemo ya kubadilisha vinasaba (DNA) itambulikayo kwa jina la ‘Genetic biocontrol’ zina uwezo wa kuifanya malaria kuwa sehemu ya historia….

Read More

Tarehe ya kuanzishwa Yanga, Simba na utata wake

Kesho, Jumanne ya Februari 11, 2025 Yanga watasherehekea miaka 90 ya kuanzishwa kwao. Wenyewe wanasema klabu yao ilianzishwa tarehe kama hiyo mwaka 1935, kwa hiyo kesho itafikisha miaka 90. Kwa umri huo, ni rasmi kwamba Yanga ni klabu kongwe zaidi ya mpira wa miguu katika Afrika Mashariki. Siyo Kenya wala Uganda ambako kuna timu kongwe…

Read More

RCC Tanga yabariki mgawanyo majimbo matatu ya uchaguzi

Tanga. Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Tanga (RCC) imeidhinisha mapendekezo ya kugawa majimbo matatu ya uchaguzi ya Kilindi, Muheza, na Handeni Vijijini, kuwa na majimbo mawili kila moja katika uchaguzi mkuu ujao utakaofanyika Oktoba mwaka huu. Kwa mujibu wa mapendekezo hayo, Jimbo la Kilindi litagawanywa na kuongeza Jimbo jipya la Songe. Handeni Vijijini litakuwa…

Read More

Vodacom na TCB Yawahakikishia Wateja Usalama wa M-Koba

Vodacom Tanzania na Benki ya TCB wameujulisha umma na wateja wao kwamba ujumbe wa hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii unaodai kwamba huduma ya M-Koba inakaribia kufungiwa kutokana na madai ya madeni yasiolipwa kwa Serikali ni wa uongo na uzushi unaokusudia kuleta taharuki kwenye jamii. Katika taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Vodacom na Benki…

Read More

No reform No Election yashika mitandao, Serikali yatoa neno

Dar es Salaam. Sasa unaweza kusema kampeni maarufu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya No Reforms, No Election (Bila Mabadiliko, Hakuna Uchaguzi) sasa imechukua sura mpya baada ya kutawala katika mitandao ya kijamii maarufu hapa nchini. Katika mitandao ya kijamii makundi mbalimbali yanahamasisha kupaza sauti za kampeni hiyo kwa kuchapisha ujumbe na kutoa…

Read More

Kibano daladala zinazokatisha njia mbioni

Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra) imeanza safari ya kutafuta suluhu ya mabasi ya abiria madogo ‘daladala’ nchini nzima yenye tabia ya kukatisha safari kwa kuanzisha Mfumo wa Kufuatilia Magari (VTD). Kuanzishwa kwa mfumo huo ni baada ya kuonyesha mafanikio kwa mabasi ya mikoani ambayo yamefungwa ikiwemo kupunguza mwendokasi wa mabasi….

Read More

Taifa Gas yapewa tuzo kwa utunzaji mazingira

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amekabidhi tuzo maalum kwa kampuni ya nishati ya gesi ya kupikia ya Taifa Gas Limited ikiwa ni ishara ya serikali kutambua juhudi za kampuni hiyo katika utunzaji wa mazingira sambamba na kuunga mkono kampeni ya kumtua mama kuni kichwani inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kampeni…

Read More