Othman aahidi kukomesha ufisadi, ukahaba Zanzibar

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar, kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema endapo akiingia madarakani Oktoba 29, 2025, ataanza kusafisha vitendo vya ufisadi vinavyodaiwa kuwepo visiwani humo. Amesema vitendo vya kifisadi vilivyopo visiwani humo vinasababisha athari mbalimbali ikiwemo wananchi kukosa haki zao, kudhulumiwa ardhi zao, changamoto ambayo amesema imekithiri Pemba na Unguja. Othman…

Read More

Italia inataka mataifa ya G7 yawekeze zaidi Afrika. – DW – 14.06.2024

Viongozi wa kundi la nchi tajiri kiviwanda duniani,G7, wanaendelea na mkutano wao kwa siku ya pili leo, utakaojikita kwenye suala la Uhamiaji. Katika ajenda hiyo watajielekeza zaidi kutafuta njia za kukabiliana na biashara ya usafirishaji watu pamoja na kuongeza uwekezaji katika mataifa wanakotokea wahamiaji. Picha: Yara Nardi/REUTERS Jana katika ufunguzi wa mkutano huo waziri mkuu…

Read More

TANZANIA KUMILIKI TEKNOLOJIA YA VIUATILIFU HAI KUTOKA CUBA

             ::::::::: TANZANIA na Cuba zimesaini mkataba wa kuhamisha teknolojia ya utengenzaji wa Viuatilifu Hai (Biolarvicides) kwa ajili ya kutokomeza ugonjwa wa malaria na wadudu waharibifu wa mazao ya kilimo. Mkataba huo umesainiwa baina ya Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC), kupitia Kampuni tanzu ya Tanzania Biotech Products Limited (TBPL)…

Read More

Mpango wowote wa amani lazima uheshimu uhuru wa kitaifa, mjumbe wa UN anasema – maswala ya ulimwengu

Katika mahojiano ya kipekee na Un neHuduma ya Kiarabu ya WS huko New York, Ramtane Lamamra alisisitiza kwamba suluhisho lazima iwe ya kisiasa, ikitaka kutegemea hekima na uwezo wa kukabiliana na sababu za mizizi zilizosababisha mzozo wa kikatili. Alithibitisha kwamba watu wa Sudan ni huru na wanasema mwisho katika siku zao za usoni. Hali inayozidi…

Read More

Mkurugenzi Mkuu TCAA afungua Rasmi Kozi ya Pili ya Cheti kwa Wakufunzi wa Usalama wa Anga (AVSEC) Katika Chuo cha CATC, Dar es Salaam

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Salim Msangi amefungua rasmi kozi ya pili ya cheti kwa Wakufunzi wa Usalama wa Anga (AVSEC Instructors Certification Phase Two Course) katika Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC), kilichopo jijini Dar es Salaam. Kozi hiyo imewakutanisha washiriki 20 kutoka nchi 13 mbalimbali zikiwemo Tanzania,…

Read More

WATER AID NA HABITAT FOR HUMANITY WAJENGA VYOO ARUSHA DC

Na Mwandishi wetu, Arusha Mashirika ya Water Aid na Habitat for Humanity Tanzania wamefanikiwa miradi ya ujenzi wa vyoo kwenye masoko ya Kata za Olmotonyi na Olturumet Mkoani Arusha. Watumiaji na wafanyabiashara 5,000 wa masoko hayo, waliokosa huduma ya vyoo kwa muda mrefu wameondokana na tatizo hilo baada ya vyoo bora kuzinduliwa. Mkurugenzi wa Taifa…

Read More