Othman aahidi kukomesha ufisadi, ukahaba Zanzibar
Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar, kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema endapo akiingia madarakani Oktoba 29, 2025, ataanza kusafisha vitendo vya ufisadi vinavyodaiwa kuwepo visiwani humo. Amesema vitendo vya kifisadi vilivyopo visiwani humo vinasababisha athari mbalimbali ikiwemo wananchi kukosa haki zao, kudhulumiwa ardhi zao, changamoto ambayo amesema imekithiri Pemba na Unguja. Othman…