Masauni atoa wito kutumia fursa zilizopo kwenye Mazingira
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauniakiongea na Waandishi wa Habari Unguja, Zanzibar Machi 3, 2026 wakati akitoa kauli yaSerikali katika Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Afrika inayoadhimishwa kila mwakaMachi 3. PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS Na; Mwandishi Wetu, Unguja Serikali ya Awamu ya Sita pamoja na…