‘Kasi iongezwe matumizi nishati safi kupikia, uhifadhi mazingira’
Unguja. Wakati ikiadhimishwa siku ya mazingira Afrika, Serikali imetaka kuongeza kasi ya kuhifadhi mazingira kwa kupanda na kutunza miti na udhibiti wa matumizi ya mifuko ya plastiki. Pia, imewataka wananchi kuongeza kasi ya matumizi ya nishati safi ya kupikia, matumizi bora ya ardhi kwa shughuli mbalimbali za uzalishaji pamoja na kuongeza kasi ya utoaji wa…