Beki Mtanzania ajumuishwa Morocco | Mwanaspoti

ALIYEKUWA nahodha wa Simba Queens, Violeth Nickolaus amejumuishwa kwenye kikosi cha FC Masar ambacho kipo Morocco kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake ya Misri. Hadi sasa Masar haijamtambulisha nyota huyo wa timu ya taifa ya wanawake, Twiga Stars, licha ya yeye mwenyewe kubadilisha utambulisho wake kwenye mitandao ya kijamii…

Read More

120 kuliamsha Lugalo Open 2024

Wachezaji zaidi ya 120 wa gofu wanatarajia kushiriki katika mashindano ya wazi ya ‘Vodacom Lugalo Open 2024’. Mashindano hayo, yalioandaliwa na klabu ya Lugalo yatafanyika kwenye viwanja vya klabu hiyo kati ya Julai 5-7. Mwenyekiti wa klabu ya Lugalo, Brigedia Jenerali Mstaafu, Michael Luwongo aliliambia Mwanaspoti, klabu zote za hapa nchini zimealikwa pamoja na wachezaji…

Read More

Nusu fainali ya wageni Kagame Cup 2024

MICHUANO ya Kombe la Kagame 2024 imefikia patamu wakati leo zikipigwa mechi za nusu fainali ambazo hata hivyo zinakutanisha wageni watupu, baada ya wenyeji Coastal Union, Singida BS na JKU kutolewa mapema hatua ya makundi. Nusu fainali ya kwanza itazikutanisha APR ya Rwanda dhidi ya Al Hilal ya Sudan mechi itakayopigwa kuanzia saa 9:00 alasiri…

Read More

RAIS MWINYI:ZANZIBAR INA SERA BORA KWA UWEKEZAJI

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar imepiga hatua kubwa ya maendeleo kipindi cha miaka 4 kwa mageuzi katika sekta mbalimbali na kuimarika kwa mifumo  pamoja na kuanzisha sera bora kwa uwekezaji zinazolenga kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji wa ndani na kimataifa.  Rais Dkt.Mwinyi amesema hayo katika…

Read More

WAZIRI MKUU MAJALIWA KUONGOZA SAMIA MARATHON MKOANI PWANI FEBRUARI 22, 2025″

    Mwamvua Mwinyi, Pwani Februari 20, 2025 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mbio za Samia Marathon zitakazofanyika Februari 22, 2025, katika viwanja vya Shule ya Mtongani, Mlandizi, Kibaha Vijijini, mkoani Pwani. Mbio hizi zinalenga kuhamasisha wananchi kuhusu umuhimu wa kujitokeza kupiga kura wakati wa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka…

Read More

Ubishi wa Fei Toto, Muda kumalizwa Amaan

FEISAL Salum ‘Fei Toto’ wa Azam na Mudathir Yahya wa Yanga, wote ni viungo wanaofanya vizuri katika timu zao ambazo leo Jumapili zinakwenda kucheza mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA). Mchezo huo ambao awali ulipangwa kuchezwa Karatu mkoani Manyara, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) likaona liuhamishe mpaka Zanzibar kwenye Uwanja wa New Amaan…

Read More

TRA kuzidi kuweka mazingira wezeshi kwa wafanyabiashara

Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusufu Mwenda, ameahidi kushirikiana Kwa karibu na wafanyabiashara, kuhakikisha kuwa wanapata msaada unaohohitajika ili kufanikisha malengo ya Serikali Katika kukuza uchumi wa wafanyabiashara wa Mkoa wa Iringa. Mwenda amebainisha hayo katika kikao cha wafanyabiashara kilichofanyika katika Manispaa ya Iringa ambapo amesema mamlaka itaendelea kuboresha mazingira yanayowezesha wafanyabiashara…

Read More