Dk Tindwa ataja sababu za Samia kuchaguliwa kiti cha urais

Kilwa. Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani, Dk Chakou Tindwa amesema uzoefu wa uongozi alionao mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan ni miongoni mwa sababu kuu zinazomfanya astahili kuendelea kuiongoza nchi kwa miaka mingine mitano. Akizungumza leo Jumatano Oktoba 15, 2025 katika mkutano ulioandaliwa na Umoja…

Read More

New King yavunja mwiko na kupanda ZPL 

Timu ya New King maarufu ‘Wachoma Mahindi’ imetegua kitendawili kilichokuwa kikiulizwa na wengi kwa miongoni mwa timu zilizopanda daraja na msimu ujao itacheza Ligi Kuu Zanzibar(ZPL). Timu nyingine zilivuka hatua hiyo kwa Kanda ya Pemba ni Wawi na Fufuni zitakazocheza ZPL kwa kwa mara ya kwanza pia.  Wachoma Mahindi wametinga hatua hiyo baada ya kuitandika mabao…

Read More

Msuva: Stars itavunja rekodi CHAN

NYOTA wa Al-Talaba SC ya Iraq, Simon Msuva ameweka wazi matumaini yake kwa Taifa Stars, huku akisisitiza huu ndiyo wakati wa kuvunja rekodi zote mbovu na kutinga fainali ya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) ikiwa ni kwa mara ya tatu kushiriki mashindano hayo. Akiwa na historia ndefu ya kuitumikia timu…

Read More

Warundi kunogesha Mashujaa Day Jumapili

KIKOSI cha Mashujaa FC kinatarajia kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Vital’O FC Septemba 7 mwaka huu maalum kwa ajili ya kutambulisha kikosi chao cha msimu wa 2025/26. Kocha Mkuu wa Mashujaa, Salum Mayanga ameupongeza uongozi wa timu hiyo kuandaa mchezo huo ambao amesema kuwa ni kipimo sahihi kwao kabla ya kuanza kwa…

Read More