Kilio cha maabara, vifaa kwa wanafunzi wa sayansi

Soma simulizi hii: “Jina langu ni Amina, mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari ya umma iliyo  mkoani Pwani. Kila Jumatatu asubuhi tunakuwa na kipindi cha Kemia, kipindi ambacho kwa wengi wetu kingepaswa kuwa cha kusisimua, majaribio, mabadiliko ya rangi ya kemikali, na mvuke unaopanda juu ya mitungi ya maabara.  Lakini kwetu sisi,…

Read More

Kipa Yanga atimkia Mwanza | Mwanaspoti

KLABU ya Alliance Girls inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), imedaiwa ipo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wa kipa wa zamani wa Yanga Princess, Husna Mtunda. Kipa huyo aliitumikia Yanga Princess kwa misimu miwili, lakini hakupata nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza mbele ya makipa Mghana Safiatu Salifu na Mnigeria Rita Akarekor kwa sasa…

Read More

Msajili, CAG waguswa kesi ya rasilimali Chadema

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimekana kuwa na nyaraka kuhusu rasilimali zake zilizoombwa katika kesi ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali inayokikabili. Kimesema Msajili wa Vyama vya Siasa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ndio wenye baadhi ya nyaraka zinazoombwa. ‎Kesi hiyo ya madai namba 8323 ya…

Read More

Mafuriko ya Pakistan huacha vijiji vimekatwa wakati uharibifu wa monsoon unavyoendelea – maswala ya ulimwengu

Mawakala wa misaada wanaendelea kufanya kazi bila kuchoka kufikia maeneo magumu zaidi. Mamlaka ya Usimamizi wa Maafa ya Kitaifa (NDMA) ilisema karibu watu 800 wamekufa tangu mwishoni mwa Juni – karibu mara tatu wakati wa kipindi kama hicho mwaka jana. Mkoa wa Khyber Pakhtunkhwa umekuwa mgumu sana, ambapo mafuriko na maporomoko ya ardhi yalitoka nyumba…

Read More