Airtel Tanzania yaifikisha SmartWASOMI kwa walimu wa IT Visiwani Zanzibar
Airtel Tanzania, kupitia Airtel Africa Foundation na kwa kushirikiana na UNICEF pamoja na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imeendesha warsha ya mafunzo kwa walimu wa Zanzibar mwishoni mwa wiki, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mpango wa Airtel SmartWASOMI. Mpango huu wa elimu ya kidijitali unalenga kuongeza upatikanaji wa elimu bora kupitia teknolojia kote…