Ni huyu Priscilla, mpenzi mpya wa Jux kutoka Nigeria

STAA wa Nigeria, Priscilla Ojo, 23, ndiye ameushikilia moyo wa Mtanzania Jux, 34, kwa sasa baada ya mwanamuziki huyo kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Karen Bujulu ambaye walidumu kwa takribani mwaka mmoja kuanzia Januari 2023. Ukiachana na Karen, Jux alishawahi kuwa na warembo wengine kama Jacqueline Wolper, Jackie Cliff, Vanessa Mdee na Nayika Thongom kutoka…

Read More

Putin aapishwa kwa muhula mwingine kama rais wa Urusi

Vladimir Putin aliapishwa kwa muhula wake wa tano kama kiongozi wa Urusi Jumanne, akiongeza tena utawala wake juu ya nchi katika sherehe nzuri ya Kremlin wakati jeshi lake likisonga mbele nchini Ukraine katika kilele cha makabiliano mabaya zaidi ya Moscow na Magharibi tangu enzi ya Soviet. Putin, mwenye umri wa miaka 71, alirefusha utawala wake…

Read More

DKT. MWAMBA AFANYA MAZUNGUMZO NA AFISA MTENDAJI MKUU WA TAASISI YA BWB YA UINGEREZA

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Bankers Without Boundaries (BWB) kutoka Uingereza, Bw. Chris Smith, ambapo wamejadili masuala ya ushirikiano wa kimaendeleo katika sekta mbalimbali zikiwemo Afya, elimu, Uchumi na maendeleo ya kijamii.   Mazungumzo hayo ambayo yamefanyika…

Read More

JAFO AWASHUKURU WAJUMBE WA CCM KWA USHINDI WA UCHAGUZI MKUU 2025

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kisarawe,kikao kilicholenga kuwashukuru wajumbe kwa mchango wao katika kufanikisha Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kuwashukuru kwa kuchaguliwa tena kuwa Mbunge wa jimbo hilo. Na.Alex Sonna-KISARAWE MBUNGE wa Jimbo…

Read More

DC Batenga: Tumuenzi Sauli kwa kuendeleza miradi yake

Chunya. Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mbaraka Batenga amesema njia bora ya kumuenzi aliyekuwa mmiliki wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomon Mwalabila ni kuendeleza miradi yake ili kulinda ajira za vijana. Batenga ametoa kauli hiyo leo Jumatano Agosti 7, 2024 wakati wa maziko ya Mwalabila yaliyofanyika katika makaburi ya kijijini kwao Godima, wilayani Chunya….

Read More

Ligi Kuu Bara 2025/26 hawa kazi wanayo!

MSIMU mpya wa Ligi Kuu Bara wa 2025-2026 unaanza leo ukiwa ni wa 62 tangu ilipoanza 1965. Kila timu kati ya 16 zinazoshiriki zinaanza hesabu mpya kuwania pointi 90 kupitia mechi 30 kila moja, kukiunda na jumla ya mechi 240 kwa msimu mzima. Klabu zinazoshiriki ni watetezi Yanga, Simba, Azam, Singida Black Stars, Tabora United,…

Read More

Watatu wafariki malori mawili yakigongana, kuteketea Kahama

Mwanza. Watu watatu ambao majina yao hayajatambulika wamefariki dunia papo hapo, huku mmoja akijeruhiwa kwa kukatika miguu katika ajali iliyohusisha malori mawili. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Janeth Magomi ajali hiyo imetokea leo Alhamisi Agosti 15,2024 saa 5:30 asubuhi eneo la Manzese mjini Kahama mkoani Shinyanga. Kamanda Magomi amesema ajali hiyo…

Read More