Ni huyu Priscilla, mpenzi mpya wa Jux kutoka Nigeria
STAA wa Nigeria, Priscilla Ojo, 23, ndiye ameushikilia moyo wa Mtanzania Jux, 34, kwa sasa baada ya mwanamuziki huyo kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Karen Bujulu ambaye walidumu kwa takribani mwaka mmoja kuanzia Januari 2023. Ukiachana na Karen, Jux alishawahi kuwa na warembo wengine kama Jacqueline Wolper, Jackie Cliff, Vanessa Mdee na Nayika Thongom kutoka…