Watu wa Sudan waliteswa na kuuawa katika ‘nyumba za kuchinjia’, uchunguzi wa haki unasema – maswala ya ulimwengu

Muda kidogo baada ya kuwasilisha ripoti iliyoamriwa kwa Baraza la Haki za Binadamu Huko Geneva Jumanne, Mwenyekiti wa Ujumbe wa Kutafuta Ukweli juu ya Sudan, Mohamed Chande Othman, alisisitiza kwamba Wanajeshi wote wa Jeshi la Sudan (SAF) na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) walikuwa wamefanya uhalifu wa ukatili. Kati ya ushuhuda uliokusanywa kwa ripoti…

Read More

Necta yaonya kusambaza matokeo kwa majina ya watahiniwa

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limewaonya wale wote wanaohifadhi kuhifadhi, kuchapisha, kusambaza au kuonesha hadharani matokeo ya mtihani ya mtahiniwa, kwa kutumia jina lake au taarifa nyingine zozote zinazoweza kusababisha kumtambua mwanafunzi au mtahiniwa bila idhini yake. Kutumia taarifa binafsi zinazomtambulisha mtahiniwa bila kuwa na kibali,  kumetajwa kukiuka Sheria ya Ulinzi…

Read More

TAARIFA KUTOKA BODI YA WAKURUGENZI YA TAIFA GROUP KUHUSU TUHUMA ZILIZOTOLEWA HIVI KARIBUNI

Kwa niaba ya Bodi ya Wakurugenzi wa Taifa Group Limited (“Taifa Group”) tunapenda kukanusha kwa dhati na kwa uwazi tuhuma zisizokuwa na msingi zilizotolewa hivi karibuni kuhusu miamala iliyofanywa na kampuni zetu tanzu za Tancoal Energy Limited (TANCOAL) na Williamson Diamonds Limited (WDL) Tuhuma hizo zinahusu ununuzi wa hisa katika Tancoal na WDL.  Madai hayo…

Read More

Vifaa vyatolewa kusaidia watoto wachanga kupumua

Dar es Salaam. Mradi wa Breathing for Baby (BfB), unaolenga kuokoa maisha ya watoto wachanga wanaozaliwa na changamoto za kupumua, umekabidhi vifaa vya huduma ya watoto wachanga vyenye thamani ya zaidi ya Sh164 milioni kwa hospitali za mkoa wa Dar es Salaam. Takwimu za Tanzania Demographic and Health Survey (TDHS 2022) zinaonesha kuwa vifo vya…

Read More

BoT yafichua uimara wa uchumi kipindi cha uchaguzi

Dar es Salaam. Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imesema itaendelea kuboresha hatua za kudhibiti mfumuko wa bei na kulinda thamani ya Shilingi kuhakikisha uchumi utaendelea kuwa imara licha ya nchi kuwa kwenye uchaguzi. Gavana wa BoT, Emmanuel Tutuba, akizungumza na gazeti dada la The Citizen, amesema benki hiyo itahakikisha mzunguko na thamani ya fedha vinabaki…

Read More

Hii hapa sababu bei ya nyama kupaa Tanzania

Dar es Salaam. Wakati uzalishaji wa nyama nchini ukiongezeka kwa asilimia 42.8 kati ya mwaka 2020 hadi 2024, soko la uhakika limetajwa kuwa sababu ya ukuaji huo. Ripoti ya Takwimu Msingi za Tanzania zinazotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) 2024, inaonesha kuwa uzalishaji wa nyama ulitoka tani 738,166 mwaka 2020 hadi kufikia tani…

Read More

DK.NCHIMBI AENDELEA KUINADI ILANI UCHAGUZI MKUU, KUOMBA KURA ZA KISHINDO KWA CCM

Na Mwandishi Wetu,Katavi MGOMBEA Mwenza wa Urais wa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, ameendelea kunadi Ilani ya Chama hicho ya Uchaguzi Mkuu 2025-2030,ambayo kimsingi imelenga kwenda kuboresha maisha ya wananchi na ustawi wa maendeleo katika miaka mitano ijayo. Dk.Nchimbi leo Septemba 9,2025 amewasili mkoani Katavi na kuhutubia wananchi katika Uwanja wa…

Read More

RUVUMA YAFIKIWA ELIMU YA MAZINGIRA- MADINI YA URANIUM

Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limetoa elimu ya kimazingira na afya kwa vijiji viwili vya Mtonya na Mandela-Likuyu katika Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma kufuatia Mradi wa Uchimbaji wa Madini aina ya ‘Uranium’ unaotarajiwa kuanza hivi karibuni katika mgodi ulio karibu na vijiji hivyo. Elimu hiyo imetolewa kwa…

Read More