NITAWATUMIKIA WANA SIMANJIRO BILA UBAGUZI – OLE MILLYA

Na Mwandishi wetu, Simanjiro MGOMBEA ubunge wa Simanjiro mkoani Manyara, kupitia CCM wakili msomi, James Ole Millya amesema endapo atapewa nafasi hiyo atawatumikia wakazi wa eneo hilo bila ubaguzi wowote. Akizungumza kwenye uzinduzi wa kampeni ya CCM uliofanyika mji mdogo wa Orkesumet, Ole Millya ameomba achaguliwe kwani yeye ni mtumishi wao. Amesema hivi sasa yeye…

Read More

Diarra kweli nimeamini avumae baharini papa

SASA hivi Yanga wanatamba kumchapa mtani wao Simba katika mechi sita mfululizo za mashindano tofauti ambayo ni Ligi Kuu Tanzania Bara na Ngao ya Jamii. Ni haki yao kutamba kiukweli maana hizi ndio timu mbili kubwa na utani wao wa jadi ni wa muda mrefu hivyo unavyompata mwenzako unapaswa utembee kifua mbele haswa maana siku…

Read More

UNDP, UINGEREZA WATOA ZAIDI YA TSH MILIONI 70 KUIMARISHA BIASHARA BUNIFU ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU TANZANIA

Mpango huo unatekelezwa na UNDP kupitia Mradi wa FUNGUO kwa ushirikiano na Serikali ya Uingereza kupitia FCDO. Ushirikiano huo unalenga kuimarisha mfumo wa ubunifu nchini kwa kuwaunganisha wanafunzi na ushauri elekezi, fursa za ufadhili pamoja na mazingira yatakayosaidia mawazo yao kukua na kuwa biashara endelevu. Kabla ya kutangazwa kwa washindi, timu za wanafunzi zilipata mafunzo…

Read More

Polisi waimarisha ulinzi, kesi ya Lissu Mahakama Kuu Dar

Dar es Salaam. Wakati Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, akitarajia kupandishwa kizimbani leo katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kwa ajili ya usikilizwaji wa hoja au maelezo ya awali ya kesi ya uhaini inayomkabili, ulinzi umeimarishwa kuanzia nje, getini hadi ndani ya Mahakama. Ulinzi huo umeimarishwa na askari…

Read More

DOTTO NDUMBIKWA AAHIDI KUCHANGIA MADAWATI 50, MAGODORO 20 NA MBAO SHULE YA MSINGI MAZINYUNGU.

Farida Mangube, Kilosa MDAU wa Maendeleo Wilayani Kilosa Ndugu Dotto Ndumbikwa ameahidi kuchangia Madawati Hamsini (50), Magodoro Ishirini (20), Pamoja na Mbao katika Ujenzi wa Shule ya Msingi Mazinyungu Wilayani Kilosa. Ndugu Dotto ametoa ahadi hiyo wakati akijibu Risala ya Wanafunzi iliyoelezea baadhi ya Changamoto Shuleni hapo katika Mahafali ya kumaliza Elimu ya Msingi kwa…

Read More

NISHATI SAFI INATEKELEZWA KWA VITENDO GEITA

::::::::::: Wananchi wakiwa katika banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ili kununua majiko ya gesi na majiko banifu kwa bei ya ruzuku katika Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini mkoani Geita.  Maonesho hayo yamefunguliwa rasmi na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa.  

Read More