Mali za Urusi zilizozuiwa Ulaya kutumika kuikopesha Ukraine – DW – 24.10.2024

Mali za Urusi zitakazotumiwa katika mpango huo ni zile zilizozuiwa tangu Moscow ilipowekewa vikwazo baada ya kuivamia Kyiv, uamuzi uliofanywa baada ya Umoja wa Ulaya kufanya majadiliano na Marekani. Nyaraka za kisheria kuhusu maamuzi hayo zinaonesha kuwa, faida kutokana na mali za Urusi zilizozuiwa Umoja wa Ulaya zitapaswa kutumika kwa ajili ya mikopo inayotolewa na kundi…

Read More

Mafuriko yaua 47, tisa hawajulikani walipo Nepal

Kathmandu. Watu zaidi ya 40 wamefariki dunia na wengine hawajulikani walipo baada ya kutokea kwa mafuriko katika maeneo mbalimbali nchini Nepal. Mafuriko hayo yamesababishwa na mvua kubwa iliyoanza kunyesha tangu Ijumaa Oktoba 03, 2025 na kusababisha vifo, watu kutoweka na kusababisha uharibifu wa miundombinu ikiwemo barabara na madaraja. Kwa mujibu wa tovuti ya habari ya…

Read More

Rais wa Yanga ashinda tuzo Ufaransa

Na Mwandishi Wetu Rais wa Yanga na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vilabu Afrika Eng. Hersi Said, ameshinda Tuzo ya mwanamichezo mwenye mchango kwenye maendeleo ya soka barani Afrika. Sherehe ya utoaji tuzo hizo za ‘Nigeria-France Sports Awards,’ zilifanyika juzi jijini Paris, Ufaransa na Tuzo hiyo ya Hersi ilipokelewa na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa na…

Read More

Yanga yarejea kileleni, ikiipiga Kagera Sugar 4-0

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wamerejea kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo baada ya kupata ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Kagera Sugar na kuishusha Simba. Kurejea kwa Yanga kileleni kumetokana na kufikisha pointi 42, zikiwa mbili zaidi ya Simba yenye 40 ambayo kesho itacheza dhidi ya Tabora United kwenye Uwanja wa Ali…

Read More

TRA yawashukuru Wahariri kwa Kuhamasisha Ulipaji Kodi

Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Richard Kayombo, amewashukuru viongozi na wanachama wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) kwa kuwa sehemu muhimu ya mafanikio ya TRA katika kuhamasisha umma kuhusu ulipaji wa kodi. Akizungumza katika mkutano mkuu maalum wa siku mbili wa TEF uliofanyika hivi karibuni katika ukumbi…

Read More

Balama: Kama si Yanga ningeacha soka

CHANGAMOTO katika maisha ni vitu vya kawaida, lakini kuna nyingine huwa zinakatisha tamaa na kama mtu ana roho ndogo ni ngumu kutoboa. Hutokea bahati tu, mtu akizungukwa na watu wenye kujali na kutia moyo na kusaidia ushauri wa kisaikolojia kama ilivyomkuta winga wa zamani wa Yanga, Balama Mapinduzi ‘Kipenseli’ anayefichua alivyobakia kidogo tu aache kucheza…

Read More

Jeuri ya Yanga ipo hapa

KIKOSI cha Yanga kinajiandaa kuondoka jijini Dar es Salaam leo Ijumaa, kwenda Tanga kwa ajili ya mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), ikiendelea kuupigia hesabu ubingwa wa Ligi Kuu ikiwa kileleni mwa msimamo na pointi 73 baada ya mechi 27, lakini ikifichua siri inayoibeba timu hiyo. Yanga inayoshikilia taji la Ligi Kuu…

Read More