Mikakati ushindi Yanga hii hapa

Katika kuhakikisha inafanya vizuri kwenye mashindano ya ndani baada ya kutolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga imepanga kufanya mambo mawili ikiamini yatakuwa na tija kwa mechi ilizobakiza msimu huu. Jambo la kwanza ambalo imeamua kulifanya ni kufanya maboresho ya kamati yake ya mashindano ambapo kuna baadhi ya watu itawapunguzwa na wengine kuongezwa ili kuipa…

Read More

EDGAR: Mashine ya mabao, tumaini la Fountain

EDGAR William ni miongoni mwa maingizo mapya kwenye kikosi cha Fountain Gate msimu huu na tangu msimu huu umeanza tayari ameonyesha ni mshambuliaji hatari kwa kufumania nyavu za wapinzani jambo linalompa kiburi kocha wa timu hiyo, Mohamed Muya. Nyota huyo ameingia moja kwa moja kwenye mfumo wa Muya huku akicheza katika nafasi mbalimbali uwanjani ikiwemo…

Read More

Wananchi zaidi ya Milioni 8 kupata umeme wa uhakika ifikapo 2030.

  Na Jane Edward, Arusha  Naibu Mkurugenzi Mtendaji uzalishaji umeme kutoka Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) Mhandisi,Costa Rubagumiya amesema Tanzania inampango wa kuwapatia wananchi milioni 8. 3 umeme kufikia mwaka 2030. Costa ameyasema hayo leo wakati wa Mkutano wa nishati wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki (EAECS) uliofanyika jijini Arusha. Amesema kuwa  mkutano huo unalengo…

Read More

Dk Nchimbi alivyoruka viunzi vya siasa

Usione vyaelea, jua vimeundwa. Ni msemo unaoakisi mikiki mikiki ya siasa aliyopitia Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi. Januari 19, 2025 Dk Nchimbi alipendekezwa kuwa mgombea mwenza wa urais wa CCM na Rais Samia Suluhu Hassan, mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu maalumu wa chama hicho uliofanyika jijini Dodoma. Hatua hiyo ilifikiwa baada ya…

Read More

Picha zingine Kutoka kwa Mkapa DSM, ‘Yanga Day’

NI Agosti 4,2024 ambapo Mashabiki wa klabu ya Yanga SC wamejitokeza kwenye siku ya Mwananchi katika Uwanja wa Taifa ‘Benjamin Mkapa’ Dar es Salaam. Katika siku hii maalumu ya Wana Yanga wataweza kuwashuhudia wachezaji wapya waliosajiliwa katika klabu hiyo. Hizi ni baadhi ya picha unaweza ukazitazama kufahamu kile kilichojiri. . . . . . ….

Read More

HUMPHREY POLEPOLE AJIUZULU UBALOZI

 :::::: Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, amemuandikia barua Rais Samia akitangaza kujiuzulu nafasi ya uwakilishi wa Tanzania nchini Cuba, eneo la Karibe, Amerika ya Kati pamoja na nchi rafiki za Colombia, Venezuela na Guyana Katika barua hiyo, Polepole ameeleza kuwa ameamua kujiuzulu kutokana na mwelekeo wa kiuongozi unaokosa msimamo thabiti katika kusimamia haki…

Read More

MPox yawa tishio duniani, panya wahusishwa

Dar es Salaam. Wataalamu wa uchunguzi wa virusi na vimelea vya magonjwa wamebaini chanzo cha virusi vya homa ya nyani, maarufu ‘Mpox’ ni panya wa msituni na si nyani. Taarifa hizo zinatolewa baada ya miaka mingi kuaminika kuwa chanzo pekee cha homa hiyo ni nyani wanaopatikana Afrika ya Kati na Magharibi. Aina mpya ya homa…

Read More