Nyota Wanaotengeneza Historia Hawa Hapa

LEO hii Jumatano wakali wa ubashiri Meridianbet wanakuletea orodha za wachezaji ambao ndio wafungaji bora wa muda wote kwenye Mataifa mbalimbali barani Afrika. Lakini leo hii pia unaweza ukasuka jamvi lako la ushindi na Meridianbet. Tukianza na Egypt rekodi ya mfungaji bora wa muda wote inashikilia na mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah ambaye mpaka sasa…

Read More

DC CHATO -MSINGI WA MAENDELEO LAZIMA UTOKANE NA WANANCHI WENYEWE

Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Chato, Geriad Mgoba,akitoa ufafanuzi kwa wananchi. Mkuu wa wilaya ya Chato,Louis Peter Bura,akipanda mti kwenye shule ya sekondari Nyamirembe. Wananchi katika maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. ……….. Na Daniel Limbe,Chato MKUU wa wilaya ya Chato mkoani Geita, Louis Bura,amewataka wananchi kudumisha amani, mshikamano na umoja…

Read More

Makocha wafichua kinachombeba Fei Toto kutua Simba

UNAKUMBUKA namna ambavyo Clatous Chama wakati anaichezea Simba alivyokuwa akihusishwa na Yanga kila kinapofika kipindi cha usajili kabla ya msimu huu dili hilo kuwa kweli? Basi ishu hiyo imehamia kwa Feisal Salum ‘Fei Toto’ ambaye ni msimu mmoja sasa unakatika tangu ameanza kuhusishwa na Wanamsimbazi. Kiungo huyo ametajwa kuwa na mambo manne yanayombeba zaidi huku…

Read More

KMC, Mtibwa Ligi Kuu Bara ngoja tuone!

NA leo tena! Ndivyo unavyoweza kusema wakati KMC iliyotoka kupasuka nyumbani katika mechi iliyopita mbele ya maafande wa JKT Tanzania, leo itashuka tena uwanjani kuvaana na Mtibwa Sugar iliyopoteza pia pambano lililopita la Ligi Kuu dhidi ya Yanga kwenye Uwanja wa KMC. KMC inayonolewa na kocha Mbrazili, Marcio Maximo ikipoteza mechi sita mfululizo za Ligi…

Read More

RC awashukia wanaokwamisha usajili stakabadhi ghalani

Shinyanga. Wakati Serikali ya Mkoa wa Shinyanga ikiwaonya baadhi ya wakulima na wafanyabiashara wanaokwamisha mfumo wa stakabadhi ghalani, wenyewe wamedai unachelewesha malipo na kuwakwamisha kiuchumi. Sintofahamu hiyo imetokana na kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Anamringi Macha ambaye amesema kutojisajili kwa baadhi ya wakulima kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani kunakwamisha juhudi za Serikali za…

Read More

Malisa atinga kortini kupinga Samia kuwa mgombea urais

Moshi. Aliyekuwa kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Godfrey Malisa, amewasilisha maombi kortini akiomba uanachama wake ulindwe, ili afungue maombi ya kupinga mchakato wa kumteua Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea urais. Dk Malisa amewasilisha ombi hilo akiomba mahakama itoe zuio la muda kwa lengo la kulinda hadhi ya uanachama wake, wakati maombi yake…

Read More

Walivyopatikana watoto waliotekwa Mwanza | Mwananchi

Mwanza. Wamepatikana. Ndilo neno lenye uzito wa kuelezea taarifa ya Polisi Mkoa wa Mwanza kuhusu kupatikana watoto wawili waliotekwa wakiwa kwenye basi la shule jijini hapa. Magreth Juma (8) anayesoma darasa la tatu na Fortunata Mwakalebela (5) wa darasa la pili katika Shule ya Blessing Modern iliyopo Nyasaka wilayani Ilemela walitekwa Februari 5, 2025, saa…

Read More