Ouma akalia kuti kavu Coastal

UONGOZI wa Coastal Union uko katika hatua za awali za kuachana na kocha mkuu wa timu hiyo, Mkenya David Ouma, huku Abdihamid Moallin wa KMC akitajwa kwenda kuchukua mikoba kwa ajili ya msimu ujao. Mbali na mchakato huo wa kusaka kocha mkuu, tayari kikosi hicho kimemuongeza aliyekuwa kocha wa Fountain Gate, Ngawina Ngawina ili awe…

Read More

Nestory Irankunda mambo magumu | Mwanaspoti

MAMBO yanaoneka kuwa magumu kwa winga mwenye asili ya Tanzania, Nestory Irankunda anayekipiga Grasshopper Club Zurich ya Uswisi kwa mkopo akitokea Bayern Munich. Winga huyo ambaye kwa sasa ana uraia wa Australia, alijiunga na mabingwa hao wa zamani wa Ujerumani akitokea Adelaide United ya Ujerumani aliyoitumikia kwenye timu za vijana za U-19, 21. Irankunda alishindwa…

Read More

Wanafunzi elimu ya juu watakiwa kutafuta fursa wakiwa vyuoni

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mratibu kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Wakili Onesmo Olengurumwa amewaasa wanafunzi wa vyuo kutafuta fursa wakiwa bado chuoni ili kuwarahishia njia pale wanapohitimu masomo yao. Ametoa kauli hiyo Juni 22,2024 katika mkutano mkuu wa Asasi ya Haki za Binadamu Chuo Kikuu cha Dar es…

Read More