
‘Uzalishaji simu janja Afrika utapunguza gharama, kufungua fursa za ajira’
Dar es Salaam. Afrika imetajwa kuwa na nafasi ya kufanya vema katika uchumi wa kidijitali iwapo itaunganisha nguvu katika uzalishaji wa simu janja, kwa ajili ya soko lake na kwingine. Hayo yamebainishwa hivi karibuni na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Tehama Tanzania (ICTC), Dk Nkundwe Mwasaga katika kilele cha kongamano la simu za mkononi kwa…