Shirika la uangalizi wa nyuklia linatoa wito wa kujizuia huku kukiwa na mgomo unaoendelea – Masuala ya Ulimwenguni

Akizungumza mjini Vienna, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA), Rafael Grossi, alibainisha kuwa hakuna dalili kwamba mitambo ya nyuklia ya Iran, ikiwa ni pamoja na Kiwanda cha Nguvu za Nyuklia cha Bushehr, Kinu cha Utafiti cha Tehran na vifaa vingine vya mzunguko wa mafuta ya nyuklia vimeharibiwa. Wakati huo huo…

Read More

Kliniki ya ardhi kutatua changamoto za ardhi kwa wanawake

Dodoma. Serikali imeanzisha kliniki maalumu ya ardhi kwa lengo la kuwasaidia wanawake kutatua changamoto za umiliki wa ardhi, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayotarajiwa kufanyika Machi 8 mwaka huu. Akizungumza leo Jumatatu Machi 2, 2026 jijini Dodoma, Katibu Mkuu wa Wizara ya Nyumba, Ardhi na Maendeleo…

Read More

Jukwaa la vijana lazinduliwa Mtwara, Waziri ahimiza ushiriki wa sekta binafsi

Mtwara. Katika juhudi za kuendelea kuwezesha vijana jukwaa la vijana nchini limezinduliwa mkoani Mtwara limefunguliwa mahususi kutoa elimu ya fedha na mafunzo ya ujasiriamali yatakayowasaidia kujishughulisha kiuchumi na kujiingizia kipato. Ufunguzi wa jukwaa hilo linalowaunganisha vijana nchi nzima ni mwendelezo wa jitihada za Serikali kwa kushirikiana na CRDB Bank Foundation. Katika uzinduzi huu ulioongozwa na…

Read More

Viazi lishe kuinua kipato cha wakulima

Iringa. Serikali ya Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, imezindua rasmi mbegu za miche ya viazi lishe, hatua inayolenga kuimarisha usalama wa chakula, kuboresha lishe na kuongeza kipato cha wakulima wa mkoa huo. Uzinduzi huo umefanyika leo Jumatatu Machi 2, 2026 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa na kuongozwa na…

Read More