Taifa Stars mambo yake ni magumu

Taifa Stars imepoteza matumaini ya kufuzu kwa fainali za Kombe la Dunia mwaka 2026, baada ya kulala kwa bao 1-0 dhidi ya Niger kwenye mchezo uliopigwa Uwanja wa Amaan Zanzibar. Stars ilikuwa inatakiwa kuhakikisha inapata ushindi kwenye mchezo huu ili kufikisha pointi 13 ambazo zingefufua matumaini yake ya kucheza hatua ya mchujo wa michuano hiyo,…

Read More

Ally Salim apewa mmoja Dodoma Jiji

KIPA mpya wa Dodoma Jiji, Ally Salim amesaini mkataba wa mwaka mmoja ambao una kipengele cha kuongezewa mwingine endapo akionyesha kiwango cha juu kuisaidia timu hiyo. Kigogo mmoja wa timu hiyo (jina tunalo) alisema sababu ya kumsainisha kipa huyo mwaka mmoja ilitokana na muda mfupi wa kufanya makubaliano ya baadhi ya mambo, hivyo wakaona bora…

Read More

Jela miaka 30 kwa kubaka, kumpa ujauzito mwanafunzi

Simiyu. Mahakama ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela, Luth Jacobo (50), mkulima wa kijiji cha Mwanundi, kata ya Sengwa wilayani humo, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto wa miaka 15 (jina linahifadhiwa) na kumsababishia ujauzito. Hukumu hiyo ilisomwa leo Jumanne, Septemba 9, 2025 na Hakimu Mkazi Mfawidhi…

Read More

Ninja nje hadi dirisha dogo

BEKI wa kati Abdallah Shaibu ‘Ninja’ licha ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Transit Camp inayojiandaa kushiriki Ligi ya Championship, huenda asionekane uwanjani hadi utakapofika usajili wa dirisha dogo. Baada ya usajili huo, Mwanaspoti lilimtafuta Ninja kuhusu mipango yake ya Ligi ya Championship na alisema amefurahi kujiunga na timu hiyo, lakini hataanza msimu hadi…

Read More

Pigo lingine Simba | Mwanaspoti

SIMBA itakuwa uwanjani leo Jumatano kwa mara ya kwanza tangu itoke kambini Misri, lakini baada ya mshambuliaji Jonathan Sowah, kuna staa mwingine inaweza kumkosa mbele ya Yanga. Simba itamkosa Sowah kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga, lakini mashabiki wa timu…

Read More

Katwila apewa mmoja Geita Gold

Geita Gold imempa mkataba wa mwaka mmoja, Zuberi Katwila kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo kwa msimu ujao wa Ligi ya Championship. Katwila ambaye amewahi kuzifundisha Mtibwa Sugar, Mbeya City na Tanzania Prisons, atasaidiwa na Paul Nonga ambaye pia atakuwa kocha wa viungo pamoja na Agustino Malindi akiwa kocha wa makipa. Katwila anachukua mikoba iliyoachwa…

Read More

WAZIRI KOMBO AINADI DIRA YA ZANZIBAR KUWA KITOVU BORA CHA KIFEDHA AFRIKA MASHARIKI JIJINI LONDON

:::::::: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, ameinadi dira ya Tanzania ya kuifanya Zanzibar kuwa kitovu bora cha kifedha Afrika Mashariki.  Balozi Kombo amewasilisha dira hiyo aliposhiriki mjadala uliyofanyika katika jengo la kihistoria la Guildhall jijini London chini ya kauli mbiu ya “Kuibua Zanzibar Kama Kitovu…

Read More