KASEKENYA:BARAZA LA WAFANYAKAZI NI JUKWAA MUHIMU MAHALA PA KAZI

  NAIBU Waziri wa Ujenzi Mhandisi  Godfrey Kasekenya,akizungumza wakati  akizindua  Baraza la Wafanyakazi la Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) lililofanyika leo Oktoba 23,2024 jijini Dodoma. NAIBU Waziri wa Ujenzi Mhandisi  Godfrey Kasekenya,akizungumza wakati  akizindua  Baraza la Wafanyakazi la Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) lililofanyika leo Oktoba 23,2024 jijini Dodoma. Mwakilisha wa Katibu Mkuu Wizara ya…

Read More

BASHIRI NA MERIDIANBET AHAMISI YA LEO

ALHAMISI ni kwaajili ya mechi za EUROPA na leo hii kuna mechi zaidi ya 10 ambazo zinaenda kukupatia mkwanja wa maana. Usipitwe na ODDS KUBWA ndani ya Meridianbet, beti sasa. Suka jamvi lako kwenye mechi ya Galatasaray vs Tottenham Spurs ambapo timu hizi zimetofautina pointi 2 pekee kwenyeji yupo nafasi ya 5 na mgeni wake…

Read More

TBS yapongezwa na Kamati ya Bunge kwa utekelezaji majukumu

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda na Biashara, Kilimo na Mifungo imempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uwekezaji mkubwa alioufanya kwenye Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa lengo kuhakikisha usalama wa bidhaa ambazo zinatumiwa na Watanzania. Mbali na kupongezwa uwekezaji uliofanywa kwenye shirika hilo, Kamati hiyo pia ilimpongeza Rais Samia kwa uwekezaji wa aina…

Read More

Mapya mafuta yanayodaiwa kuwababua ngozi wakazi Yombo Dovya

Dar es Salaam. Shirika la Viwango Tanzania(TBS), limetoa ripoti ya mafuta yanayodaiwa kuwadhuru wakazi wa Yombo Dovya zaidi ya 200 na kueleza kuwa yalikuwa na kemikali. Tukio hilo liliripotiwa kwa mara ya mwanzoni mwa Januari, 2025 ambapo wananchi walisema walipata athari za kiafya baada ya kutumia chakula kilichoandaliwa kwa kutumia mafuta hayo, waliyodai wameyanunua kwa…

Read More

Wito wa kimataifa wa kuwapa vijana ujuzi kwa ajili ya mustakabali wenye amani na endelevu – Masuala ya Ulimwenguni

Katika ujumbe wa Jumatatu Siku ya Ujuzi wa Vijana DunianiAntónio Guterres alidokeza kuwa vijana duniani tayari wanafanya kazi kujenga jumuiya salama na zenye nguvu, ingawa karibu robo moja hawako katika elimu, ajira au mafunzo. “Wanaweza kuleta mabadiliko makubwa zaidi kwa mustakabali wetu wa pamoja kwa mafunzo kwa uchumi unaokua wa kijani kibichi na kidijitali, elimu…

Read More