Serikali yaanika mkakati kupunguza bei ya gesi

Muheza. Huenda kilio cha bei ya gesi nchini kikapata suluhu baada ya Serikali kuweka wazi mikakati yake ya kuhakikisha inawapunguzia wananchi gharama ya nishati hiyo. Mikakati hiyo kwa mujibu wa Rais Samia Suluhu Hassan ni pamoja na kutoa ruzuku kwa wanaochakata gesi kuwa nishati na kuweka mazingira rafiki yatakayochochea ushiriki wa sekta binafsi kwenye shughuli…

Read More

Msako wa Straika, wanne wapo mezani Yanga

DIRISHA dogo la usajili lipo njiani kufunguliwa mapema mwakni, huku Yanga ikiwa haijakaa kinyonge ikipanga kuongeza mashine moja ya maana eneo la ushambuliaji na hivi unavyosoma tayari kuna majina manne mezani kwa mabosi wa klabu hiyo wakipiga hesabu waondoke na nani kati yao. Kocha timu hiyo, Pedro Goncalves ameutaka uongozi kumletea mashine hiyo ya kuongeza…

Read More

‘Bei za nishati ya kupikia vijijini ziangaliwe upya’

Dodoma. Wadau wa mazingira nchini Tanzania wameishauri Serikali, kuanzisha wakala utakaowezesha wakazi wa vijijini kupata nishati safi ya kupikia kwa gharama ya chini kama ilivyo kwa umeme. Serikali inatekeleza mkakati wa miaka 10, ulioanza mwaka 2024, unaolenga asilimia 80 ya Watanzania ifikapo mwaka 2034 wawe wanatumia nishati safi ya kupikia. Wadau hao wameyasema hayo leo…

Read More

Kilio cha wafanyakazi Mei Mosi, 2025

Dar/Mikoani. Katika kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani (Mei Mosi), 2025, wafanyakazi wamepaza sauti wakihitaji mishahara bora, ulinzi wa kisheria na ufuatiliaji wa haki kazini, kupambana na rushwa na kuwapo udhibiti katika sekta binafsi. Maadhimisho ya Mei Mosi kitaifa yatafanyika mkoani Singida yakiwa na kaulimbiu isemayo: ‘Uchaguzi Mkuu 2025: Utuletee viongozi wanaojali haki na masilahi ya…

Read More

KAMATI ZA MAAFA WILAYA ZATAKIWA KUWEKA MIPANGO YA DHARULA

Na Mwandishi wetu-SIMIYU Serikali imezitaka Kamati za Usimamizi wa Maafa Ngazi ya Wilaya kuhakikisha zinajiandaa kikamilifu na kuweka mpango wa dharula wa utendaji na uratibu wa mawasiliano katika kukabiliana na maafa kwenye maeneo yao. Maagizo hayo yametolewa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga, wakati akifungua mafunzo kwa…

Read More

Korosho Cup kuanza kutimua vumbi Agosti Jimbo la Lulindi

Na Mwandishi Wetu LIGI soka ya Korosho Cup Cup inatarajia kuzinduliwa Agosti 10 mwaka huu katika Jimbo la Lulindi, Masasi, mkoani Mtwara huku zawadi nono zikitangazwa kwa washindi. Mwandaaji na Mdhamini wa ligi hiyo ambaye ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Utalii 255 Community, Angelina Malembeka, amesema, bingwa atazawadiwa pikipiki ya magurudumu matatu maarufu kama guta…

Read More

MTATURU ALISHUKURU KANISA,ACHANGIA SH MIL 11.

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameshiriki Uzinduzi wa Jimbo la Ikungi KKKT na kuchangia vifaa vya ofisini vyenye thamani ya Shilingi Milioni 11. Vifaa hivyo ni pamoja na kompyuta,printa,Photocopy na samani za ofisi ikiwa ni maombi yaliyokuwemo kwenye risala iliyosomwa na Mkuu wa Jimbo Jipya la Ikungi Mch.Sara Msengi. Aidha,amewakumbusha kuwa Mwaka huu 2024…

Read More