Serikali yaanika mkakati kupunguza bei ya gesi
Muheza. Huenda kilio cha bei ya gesi nchini kikapata suluhu baada ya Serikali kuweka wazi mikakati yake ya kuhakikisha inawapunguzia wananchi gharama ya nishati hiyo. Mikakati hiyo kwa mujibu wa Rais Samia Suluhu Hassan ni pamoja na kutoa ruzuku kwa wanaochakata gesi kuwa nishati na kuweka mazingira rafiki yatakayochochea ushiriki wa sekta binafsi kwenye shughuli…