APR, KMC zajiweka pazuri CECAFA Kagame Cup

MIAMBA ya soka la Rwanda, APR na vijana wa Kinondoni, KMC zimejiweka pazuri kutuinga nusu fainali kutokana na kushinda mechi mbili za kwanza za hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Kagame 2025 inayoendelea jijini Dar es Salaam. Jana Jumamosi, KMC ilichomoza na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Bumamuru ya Burundi, likifungwa na…

Read More

Ambulance lagongana na Lori, mgonjwa afariki

Na Mashaka Mhando, Tanga JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linafanya uchunguzi wa ajali mbaya ya barabarani iliyosababisha kifo cha mgonjwa mmoja na kujeruhi watu wengine wanne, baada ya gari la wagonjwa (Ambulance) kugongana uso kwa uso na lori la mizigo. Tukio hilo limetokea leo Machi 1, 2026, majira ya saa 6:10 usiku katika eneo…

Read More

SAME YAMPOKEA DKT. NCHIMBI

 :::::::::: MGOMBEA Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewasili Wilaya ya Same kuwahutubia Wananchi wa jimbo la Same Magharibi kwenye mkutano wake mdogo,leo Jumapili Septemba 14,2025 mkoani Kilimanjaro. Dkt.Nchimbi ambae ni mgombea mwenza wa Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan…

Read More

Kocha Pamba afungua ‘code’ ya Simba

WAKATI Pamba Jiji ikijipanga kuipokea Simba SC, kocha wa kikosi hicho, Francis Baraza amesema kazi kubwa waliyonayo ni kuwashika wekundu hao pabaya. Mechi hiyo itakayochezwa Machi 19, mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, Baraza alisema eneo lenye nguvu zaidi kwa Simba ni kiungo, hivyo watadili nalo kuhakikisha wanapata ushindi kirahisi wakiwa nyumbani….

Read More

WanaCCM Same Mashariki watakiwa kuvunja makundi

Same. Mgombea mteule wa Viti Maalumu kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Zuena Bushiri, amewataka wanachama wa chama hicho katika Jimbo la Same Mashariki kuvunja makundi na kuungana kwa pamoja ili kuhakikisha wagombea wa CCM wanashinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Bushiri ametoa wito huo alipozungumza katika mkutano…

Read More

WAZIRI WA FEDHA AZIKABIDHI TUZO ZA UBUNIFU ZA TRA

::::::: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa Tuzo za ubunifu kwa washindi 9 waliotoa mawazo bora zaidi yatakayosaidia kuendelea kuboresha huduma za kodi na kuongeza wigo wa kodi.  Akikabidhi tuzo hizo, vyeti pamoja na hundi kwa washindi hao Februari 25.2026, Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar ameipongeza TRA kwa kuja na Tuzo hizo…

Read More