
MHANDISI MRAMBA NA JICA WAJADILI UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI
-Ni wa usafirishaji umeme kutoka Tanzania hadi Uganda na Dodoma ring circuit -Awasisitiza JICA kuwajengea uwezo wataalam wazawa katika usanifu wa mitandao ya usambazaji Gesi Asilia Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amekutana na Wataalam kutoka Shirika la Maendeleo la Japan (JICA) ili kujadili hali ya utekelezaji wa miradi ya Nishati inayofadhiliwa…