VETA SHINYANGA YAENDELEA KUWA INJINI YA UJUZI NA AJIRA KWA VIJANA
Mkuu wa Chuo cha VETA Shinyanga, Abraham Richard Mbughuni akizungumza na waandishi wa habari Machi 2, 2026 ofisini kwake kuhusu fursa zinazopatikana chuoni hapo ambazo zinaweza kuleta mabadiliko chanya kwa maisha ya vijana katika kupata ajira na kushiriki katika ujenzi wa uchumi wa nchi kupitia ujuzi watakaoupata.Mkuu wa Chuo cha VETA Shinyanga, Abraham Richard Mbughuni…