Mahakama yawaachia huru washtakiwa vurugu Oktoba 29

Mwanza. Watu saba waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya kufanya vurugu wakati wa Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, wameachiwa huru na Mahakama ya Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, baada ya mahakama kutoridhika na ushahidi uliotolewa dhidi yao. Washtakiwa hao pia walikuwa wakikabiliwa na tuhuma za kuchoma majengo ya Serikali, likiwemo la Mahakama ya Mwanzo Kisesa na…

Read More

 Kwa Mashaka ni kazi tu msimu huu

MSHAMBULIAJI mpya wa JKT Tanzania, Valentino Mashaka amesema anajipanga kuhakikisha huduma yake inaifaa timu hiyo kwa msimu wa 2025/26 unaotarajia kuanza Septemba 17. JKT Tz itaanza mechi yake ya kwanza ugenini dhidi ya Mashujaa itakayopigwa Septemba 18, jambo ambalo Mashaka alisema anatamani kuanza na mguu wa neema wa kufunga bao, ili ndoto zake kuwa na…

Read More

Msipeleke watoto vilabuni, Jeshi la Polisi laonya

Iringa. Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limewaonya wazazi na walezi kuacha tabia ya kuwapeleka watoto kwenye vilabu vya usiku, likieleza kuwa maeneo hayo yanachochea mmomonyoko wa maadili na kuwaweka watoto katika hatari ya ukatili wa kijinsia na kiafya. Onyo hilo limetolewa Agosti 28, 2025 na Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto Mkoa wa…

Read More

WATAALAM WA USTAWI JAMII WATAKIWA KUZINGATIA MAADILI

Na. OWM- KAM ‎Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Rahma Kisuo amewataka wataalamu na wadau wa Ustawi wa Jamii kufanya kazi kwa weledi, uadilifu katika utendaji kazi hususani kwa watoto na wananchi wanyonge. Ameyasema hayo Machi 24, 2026 Jijini Dodoma wakati alipofungua Kongamano na Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama…

Read More

Bado Watatu – 41 | Mwanaspoti

AFISA upelelezi akauliza kwenye simu:“Natumaini naongea na mstaafu Hashim Malick?”“Hapana. Unaongea na daktari mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Muheza. Mzee Hashim Malick amepata ajali ya gari dakika chache zilizopita. Ameletwa hapa akiwa hajitambui pamoja na dereva wake.”Maelezo hayo yalimshitua afisa upelelezi.“Unasema amepata ajali ya gari?” akauliza.“Ndiyo. Gari lake limegongana na lori la mafuta, kilometa…

Read More

TADB na Solidaridad wawezesha Vijana ufugaji Ng’ombe wa Maziwa Mkoani Tanga

Vijana wameendelea kupiga hatua za kimaendeleo Mkoani Tanga Kupitia ufugaji wa ng’ombe wa Maziwa waliowezeshwa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) kwa kushirikiana na Solidaridad. Katika kukabiriana na changamoto ya ukosefu wa ajira kwa vijana, TADB kwa kushirikiana na Solidaridad East Africa wameanzisha mpango wa kipekee unaoitwa Youth Farm Settlement (YFS), chini ya Dairy…

Read More