Mke wa Kiongozi Mkuu wa Zamani wa Iran Auawa Nyumbani Kwake

Global Publishers March 2, 2026 0 Comments Kituo cha televisheni ya taifa ya Iran, Channel Two, kimethibitisha kuwa Mansoureh Khojasteh Bagherzadeh, mke wa Kiongozi Mkuu wa zamani wa Iran Ali Khamenei, ameuawa nyumbani kwake. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Bagherzadeh aliuawa katika mazingira ambayo bado hayajawekwa wazi kwa kina na mamlaka za Iran. Awali, magazeti…

Read More

Mshambuliaji Mtanzania asimulia athari mgogoro Iran

WAKATI hali ya taharuki ikiendelea kuripotiwa katika baadhi ya maeneo ya Mashariki ya Kati kufuatia mshambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya Iran, imeripotiwa wachezaji watatu wa Kitanzania wanaokipiga katika ukanda huo wako salama. Wachezaji hao ni mshambuliaji Simon Msuva anayekipiga Al Talaba ya Ligi Kuu Iraq, Clara Luvanga (Al Nassr, Saudia) na Morice Sichone…

Read More

WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI, BALOZI MAHMOUD THABIT KOMBO ATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO YA WIZARA ARUSHAi

:::::::::: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Masharik, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ametembelea Miradi ya maendeleo inayotekelzwa na Wizara yake na taasisi zilizo chini ya Wizara jijini Arusha. Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mount Kilimanjaro (MKICC) kwenye eneo la Kijenge na ujenzi…

Read More

MARAIS AFRIKA WASHAURIWA KURUHUSU WANANCHI WAO KUFIKISHA MASHTAKA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINAADAM NA WATU

Na Seif Mangwangi,  Michuzi TV Arusha WAKUU wa nchi wanachama wa umoja wa Afrika ambazo bado hazijaridhia itifaki ya uanzishwaij wa mahakama ya Afrika ya  Haki za binaadam na Watu(AfCPHR),  wametakiwa kuharakisha itifaki hiyo Ili kuruhusu Haki na demokrasia kutendeka katika nchi zao. Akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa mwaka wa mahakama ya Watu na…

Read More