Mbunge wa Malava afariki akipatiwa matibabu Aga Khan

Nairobi. Mbunge wa Malava katika Kaunti ya Kakamega, Kenya, Moses Injendi amefariki dunia wakati akipatiwa na matibabu katika Hospitali ya Aga Khan, Nairobi. Hayo yamethibitishwa na Spika wa Bunge Moses Wetang’ula jana Jumatatu Februari 17, 2025 bungeni “Waheshimiwa wabunge kwa huzuni ninawaarifu kuhusu kifo cha mwenzetu mheshimiwa Moses Malulu Injendi ambaye alituacha leo jioni (jana)…

Read More

KEVOWAC si Chuo cha kufundisha masomo ya Afya-NACTVET

Meneja wa Udhibiti Ubora wa NACTVET Mhandisi Enock Kayaani akizungumza kuhusiana na Chuo cha KEVOWAC kilichofungwa na Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sixtus Mapunda. NACTVET wakiangalia mazingira ya Chuo hicho kusichokuwa na usajili Afisa Mtendaji wa Nzasa Hilda Kalolela akizungumza kuhusiana na chuo hicho kuendelea kuwa wanafunzi wakati kikiwa kimefungwa. *Ni Chuo ambacho hakina usajili…

Read More

SHUGHULI ZA UOKOAJI ZAKUMBWA NA CHANGAMOTO KALI BAADA YA MAPOROMOKO YA ARDHI KARELA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kufuatia maporomoko makubwa ya ardhi yaliyosababisha vifo vya watu 182 huko Kerala, matumaini ya kupata manusura yanaendelea kupungua. Shughuli za uokoaji zinakumbana na changamoto kubwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha kwa wiki nzima, ambayo imefanya maeneo ya Mundakkai na Chooralmala katika wilaya ya Wayanad kuwa yasiyopita. Karibu watu 200 bado hawajulikani walipo baada ya maeneo…

Read More

TBS YAKAMATA TANI 20 ZA BIDHAA HAFIFU JIJINI DAR ES SALAAM

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limefanya operesheni maalumu katika Mkoa wa Dar es Salaam na kufanikiwa kukamata tani 20 ya bidhaa hafifu na zisizo na viwango. Akizungumza na waandishi wa habari Oktoba 11,2024 Jijini Dar es Salaam, Meneja wa TBS Kanda ya Mashariki, Noor Meghji amesema katika operesheni hiyo walijikita…

Read More

Mapinduzi: Nililia mwenyewe kisa majeraha

Ilikuwa Januari 4, 2020 mchezo mkubwa Tanzania Simba na Yanga zipo Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, wekundu hao wakitangulia kwa mabao 2- 0 ya mshambuliaji Meddie Kagere na winga Deo Kanda. Simba walikuwa wanaona kama ni siku yao lakini kumbe haikuwa hivyo, akatoka kijana mmoja mfupi wa kimo mwenye utundu wa miguu…

Read More

Ajali yaahirisha mchezo wa Simba vs Dodoma Jiji

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imesogeza mbele mchezo baina ya Simba na Dodoma Jiji FC ambao ratiba ya awali inaonyesha ilipangwa kuchezwa Februari 15, 2025 katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Kuahirishwa kwa mchezo huo kumekuja ikiwa ni siku mbili tangu msafara wa Dodoma Jiji ulipopata ajali katika eneo la Somanga, Kilwa,…

Read More

Nouma anavyoteswa na muziki wa Tshabalala Simba

UJIO wa Valentin Nouma ndani ya kikosi cha Simba ulikuwa na matumaini makubwa kwa mashabiki na viongozi wa timu hiyo, wakiamini ataongeza nguvu eneo la ulinzi, lakini hadi sasa kwenye mechi kumi za ligi zilizochezwa na Simba ametumika kwa dakika 185 katika mechi nne. Beki huyo wa kushoto alisajiliwa na Simba kwa ajili ya kusaidiana…

Read More