
Taifa Stars v Niger Mechi ya hesabu
KIKOSI cha timu ya taifa, Taifa Stars jioni ya leo kinatarajia kushuka kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar kuikabili Niger ikiwa ni mechi ya hesabu za kuisaka tiketi ya kwenda katika Fainali za Kombe la Dunia 2026. Baada ya kukosa tiketi ya moja kwa moja ya kushiriki fainali hizo za mwakani kutokana na Morocco kuinasa…