Yanga yamaliza utata kuhusu Mzize

MABOSI wa Yanga umezima tetesi za mshambuliaji wa kikosi hicho, Clement Mzize kutimka kikosini humu kwa kuthibitisha kuwa ataendelea kuichezea timu hiyo hadi 2027. Mzize alikuwa anatajwa kutua Esperance Sportive de Tunisia, pia alikuwa anahusishwa na Al Masry hivyo kwa mujibu wa Yanga nyota huyo ataendelea kusalia Jangwani. Yanga imethibitisha hayo kupitia mtandao wao wa…

Read More

Hofu ongezeko gharama za kupanda ndege Tanzania

Dar es Salaam. Nauli za usafiri wa anga wa kimataifa huenda zikapanda kwa dola 45 (Sh111,250) kwa tiketi ya safari moja na dola 90 (Sh222,500) kwa safari ya kwenda na kurudi, endapo ada mpya itaanza kutumika kama ilivyopangwa. Serikali imepanga kuanza kutoza ada ya uwezeshaji abiria (Passenger Facilitation Fee) kwa wasafiri wote wa kimataifa kuanzia…

Read More

Saa moja ya Zuchu jukwaani kwa Mkapa

Takriban saa nzima ya Zuhura Othuman maarufu Zuchu katika tamasha la Wiki ya Mwananchi imetosha kutoa burudani ya aina yake kabla ya mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya Yanga na Bandari FC. Zuchu ametumia majukwaa manne tofauti akiimba nyimbo zake zaidi ya sita, huku akimrudisha jukwaani kwa mara ya pili D Voice kuimba naye…

Read More

Kipimo cha usajili kipo robo fainali

WAKATI timu zikipambana kutafuta nafasi ya kucheza hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), hali inaonyesha timu itakayotoboa ni ile iliyofanya usajili wa wachezaji wenye viwango vikubwa. Hiyo imetokana na ushindani mkubwa uliokuwepo kwa timu tano, zinazo tafuta nafasi za kucheza robo fainali ambapo Dar City, Jeshi Stars…

Read More

AICC KUENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZAKE

Na Mwandishi wetu KITUO cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC)kimesema kuwa kinaendelea kuboresha kumbi zake mbalimbali huku kikiwakaribisha wadau wa kimataifa na kitaifa kufanya shughuli zao za mikutano katika kumbi zao kutokana na madhari uwepo wa madhari nzuri. Akizungumza leo Septemba 26,2025 wakati akiongea na waandishi wa habari katika maonesho ya 22 ya wahandisi yanayoendelea…

Read More

Bato saba kali Azam vs Yanga kwa Mkapa

KUNA mechi kubwa itapigwa Jumapili hii Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ambapo wenyeji Azam FC watakapokutana na bingwa mtetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga, nenda kaone ufundi mwingi kwenye dabi hiyo ya Dar es Salaam. Mchezo huo utakuwa wa kwanza msimu huu kwa timu hizo kukutana kwenye ligi lakini kama unavyofahamu hakuna…

Read More

Guterres anaonya dhidi ya upotezaji wa kasi ya kidiplomasia ‘dhaifu’ juu ya Ukraine – Maswala ya Ulimwenguni

Na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameketi kwenye chumba cha iconic baada ya kufika kushiriki katika wiki ya kiwango cha juu cha UN, Katibu Mkuu aliangalia nyuma mnamo Februari wakati baraza lilikuwa na alama ya maadhimisho ya tatu ya uvamizi kamili wa Urusi. Tangu wakati huo, kumekuwa na ushiriki wa kidiplomasia “mkali” lakini pia “kuongezeka…

Read More