Rais Samia aagiza bei ya gesi kupungua

Dar es Salaam. Huenda bei ya gesi ya kupikia ikapungua kutoka ile inayouzwa sasa, baada ya Serikali kuanza utekelezaji wa mkakati wa matumizi ya nishati safi ya kupikia. Dalili ya kupungua bei ya nishati hiyo, imetokana na kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuitaka Wizara ya Nishati ishirikiane na sekta binafsi kuona namna ya…

Read More

Nyasebwa: Ushindani mwanza ni mkubwa

Kocha wa mchezo wa Kikapu Mkoa wa Mwanza, Benson Nyasebwa amesema ushindani wa ligi hiyo mkoani humo ni mkubwa. Nyasebwa aliliambia Mwanaspoti, ushindani huo unatokana na viwango vikubwa vinavyoonyeshwa na timu zote zinazoshiriki ligi hiyo. Wakati huo huo, Planet iliifunga Crossover kwa pointi 59-49 katika mchezo wa ligi ya mkoa wa Mwanza katika Uwanja wa…

Read More

Simba yawashtukia Al Ahli yatega mitego mitatu

SIMBA wajanja. Tayari viongozi wa timu hiyo wamekaa kikao na kuamua ni namna gani wataicheza mechi ya mkondo wa kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika ugenini Libya dhidi ya Al Ahli Tripoli na sasa wametega mitego mitatu wanayoamini ikifanikiwa basi wana uhakika wa kushinda ugenini jijini Tripoli. Simba na Tripoli zitakutana Septemba 13 mwaka huu…

Read More

Pengo aliloacha Ngugi wa Thiong’o

Dar es Salaam. Afrika imepoteza mtu muhimu na mwanamapinduzi wa kweli, hivi ndivyo inavyoelezwa na waandishi wa kazi za fasihi wa Tanzania kufuatia kifo cha mwanafasihi na mwanataaluma Profesa Ngugi wa Thiong’o (87). Ngugi ambaye ni raia wa Kenya alifariki dunia asubuhi ya Mei 28,2025 na taarifa ya kifo chake kuthibitishwa na mtoto wake Wanjiku…

Read More

Wahamiaji haramu wadakwa dereva atelekeza gari, atokomea

Arusha. Wakati wimbi la wahamiaji haramu likiendelea kutikisa nchini, wahamiaji saba raia wa Ethiopia na Somalia walioingia nchini kwa njia za panya, wamekamatwa wakiwa wamejificha kwenye shamba la mahindi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumatatu Agosti 12, 2024 na Jeshi la Uhamiaji mkoani Arusha kupitia kwa Ofisa Uhamiaji, Fakih Nyakunda amesema waliwakamata wahamiaji hao…

Read More

Mpanzu atuma ujumbe kwa mashabiki Simba

MECHI saba tu zimetosha kwa kiungo wa Simba Ellie Mpanzu kuweka wazi kuhusu kile kilichompeleka katika kikosi hicho, huku akiweka wazi kuwa hana presha kabisa ya kufunga. Mpanzu ambaye alianza kucheza baada ya dirisha dogo, amecheza mechi nne za ligi na kutoa asisti mbili(dakika 220) tatu za kimataifa sawa na dakika 258. Tangu atue kwenye…

Read More