Camara atega kengele kokote! | Mwanaspoti
MITAA ya Kariakoo baada ya dabi kumalizika kwa Yanga na Simba kushindwa kufungana, kuna jambo lingine linaendelea chini kwa chini likiwahusu makipa wa timu hizo. Unaweza kusema ni suala la muda tu ndio jambo litaamuliwa iwe au isiwe. …