
Wengine watatu warejesha fomu ZEC
Unguja. Watiania watatu wa kiti cha urais wamerejesha fomu Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) baada ya kukamilisha masharti yaliyowekwa kwa mujibu wa sheria, ikiwamo kupata wadhamini 1,000 kutoka mikoa mitano iliyopo Unguja na Pemba. Idadi hiyo inafanya jumla ya vyama vinne kurejesha fomu za kuomba uteuzi kati ya 17 vilivyochukua fomu hizo vikitanguliwa na Chama…