Mbunge Kabati awarejeshea tabasamu wenye ulemavu 13

Iringa. Furaha na shangwe zimetawala katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa, baada ya watu 13 wenye ulemavu kukabidhiwa viungo bandia vya miguu vilivyogharimiwa na Mbunge wa Kilolo, Ritta Kabati kupitia Taasisi ya Ritta Kabati Trust Fund. Wanufaika hao wamesema kwa muda mrefu walikwamishwa na gharama kubwa za viungo saidizi, hali iliyowafanya waendelee kuishi…

Read More

Shahidi aeleza washtakiwa walivyokiri kuhamisha fedha

‎Dar es Salaam. Askari Polisi mwenye namba G 2325, Sajenti Joseph (41) ameieleza Mahakama jinsi mshtakiwa, Respicius Magesa (54) na mwenzake Andrew Kamugisha (47) walivyokiri kutenda kosa la kughushi na kuhamisha Sh159 milioni, kutoka akaunti binafsi kwenda katika akaunti ya Sekondari ya Macmillian.‎ ‎Joseph, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Alhamisi Machi 5, 2026,…

Read More

Msisimko wa Gates of Halloween Hauishi Meridianbet

NDANI ya ulimwengu wa burudani za mtandaoni, Meridianbet inaendelea kuleta uzoefu unaovuka mipaka ya kawaida kupitia mchezo wake wa kasino, Gates of Halloween. Mchezo huu umebeba mandhari ya Halloween kwa ubunifu wa kisasa, ukitoa hali ya kusisimua inayoweka mchezaji katikati ya hadithi ya kipekee. Kila mzunguko unajengwa kama tukio jipya, ukichanganya matarajio na burudani katika…

Read More

Mkutano wa Injili Tabora kufanyika kwa masharti

Tabora/Dar. Sakata la zuio la mkutano wa Injili mkoani Tabora limechukua sura mpya baada ya Serikali kuruhusu ufanyike lakini kwa masharti, ikiwamo mmoja wa wainjilisti kutohudhuria. Mkutano huo unaanza leo Alhamisi, Machi 19–22, 2026 huku muinjilisti Paulo Ndutu akipigwa marufuku kushiriki katika shughuli hiyo. Katika kikao cha maridhiano kilichoongozwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora,…

Read More

MHE. RAIS AIPANDISHA HALMASHAURI YA BAGAMOYO KUWA MJI

Na John Mapepele Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameamua kupandisha hadhi ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kuwa Halmashauri ya Mji wa Bagamoyo. Aidha, ameitaka Wizara yake kukamilisha taratibu zote za kisheria ikiwa ni pamoja na kuitangaza katika gazeti za Serikali kukamilika mara moja.Mhe. Mchengerwa ametoa…

Read More

Mbinu za kujenga ukaribu na wanao

Dar es Salaam. Inawezekana  ukaishi na watoto au mtoto wako nyumbani lakini akahisi kama vile haupo. Labda kwa lugha nyingine naweza kusema unaweza kuwepo nyumbani kimwili “physically” lakini usiwepo kihisia na kijamii “absent socially and emotionally” na hapa ndipo wazazi na walezi wengi tulipo pasipo kujua na huku tukidhani kuwa mambo yote baina yetu na…

Read More

Samia kufanyia kazi ombi la Nzega kuwa mkoa

Nzega. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanznia kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuyafanyia kazi maombi yaliyowasilishwa kwake na mgombea ubunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe, ikiwemo kuanzisha mkoa mpya wa Nzega. Samia ametoa ahadi hiyo leo, Septemba 10, 2025, wakati wa mkutano wake wa kampeni katika Jimbo la Nzega…

Read More