KIKUNDI CHA AMANI NCHINI WAFANYA MKUTANO MAALUMU ULIOLENGA KUHAMASISHA UZALENDO NA KUELEZEA MAFANIKIO YA SERIKALI

Na Oscar Assenga,Tanga KIKUNDI cha Amani nchini kimefanya mkutano maalumu leo katika Jiji la Tanga uliolenga kuhamasisha uzalendo, kuelezea mafanikio ya Serikali na kupongeza utekelezaji wa ahadi za siku 100 za Rais tangu alipochaguliwa 2025. Akizungumza wakati wa mkutano huo Maalumu Mwenyekiti wa Kikundi hicho nchini Hassan Kubebelwa alitoa wito kwa watanzania hususani vijana wametakiwa…

Read More

Barnabas aanika mipango Transit Camp

KOCHA mpya wa Transit Camp, Vicent Barnabas amesema ataendelea kusimamia malengo ya timu hiyo ya kuhakikisha inapanda Ligi Kuu Bara msimu huu, licha ya ushindani mkubwa uliopo katika Ligi ya Championship, hususani mechi hizi za mwishoni. Akizungumza na Mwanaspoti, Barnabas, amesemalicha ya kukabidhiwa majukumu hayo makubwa, ila jambo analojivunia ni kukaa na timu hiyo kwa…

Read More

SBL YAZINDUA SERENGETI PREMIUM APPLE CHA KITANZANIA

::::::::::::: Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua rasmi Serengeti Premium Apple, ikiweka historia kama kinywaji cha kwanza chenye hadhi ya juu ‘Ready-to-Drink (RTD)’ kutengenezwa hapa nchini Tanzania.  Uzinduzi huu unalenga kubadili mtazamo wa soko ambalo kwa muda mrefu limetawaliwa na bidhaa za kuagiza kutoka nje ya nchi, kwa kuanzisha bidhaa ya kisasa, ya kiwango cha kimataifa,…

Read More

Barnabas aanika mipango Transit | Mwanaspoti

KOCHA mpya wa Transit Camp, Vicent Barnabas amesema ataendelea kusimamia malengo ya timu hiyo ya kuhakikisha inapanda Ligi Kuu Bara msimu huu, licha ya ushindani mkubwa uliopo katika Ligi ya Championship, hususani mechi hizi za mwishoni. Akizungumza na Mwanaspoti, Barnabas, amesemalicha ya kukabidhiwa majukumu hayo makubwa, ila jambo analojivunia ni kukaa na timu hiyo kwa…

Read More

Mwanza, Singida kuna ngoma nzito Ligi Kuu

BAADA ya hekaheka za Dabi ya Kariakoo iliyopigwa jana usiku kwenye Uwanja wa New Amaan visiwani Zanzibar, uhondo wa Ligi Kuu Bara umehamia katika miji ya Mwanza na Singida wakati mechi mbili za Ligi Kuu zikitarajiwa kupigwa leo. Simba na Yanga ziliumana juzi katika pambano la kwanza la Ligi Kuu kwa msimu huu ambapo bila…

Read More

Aarafi ateuliwa kuiongoza Iran kwa muda

Tehran. Mwanazuoni wa Kishia na mjumbe wa Baraza la Walinzi, Alireza Arafi, amechaguliwa kuwa mwakilishi wa wanazuoni wa sheria katika Baraza la Uongozi la Muda la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, chombo kinachotarajiwa kushika majukumu ya kiongozi mkuu hadi atakapoteuliwa mrithi rasmi. Uteuzi huo umefanywa na Baraza la Utambuzi kufuatia taarifa za kuthibitishwa kwa kifo…

Read More