
1.2 milioni kuanza mtihani wa kuhitimu la saba kesho, Necta yaonya
Dar es Salaam. Jumla ya watahiniwa 1,172,279 wanatarajiwa kufanya mtihani utakaonza kesho Jumatano Septemba 10, 2025 huku Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) likiwataka kujiepusha na vitendo vya udanganyifu. Kati ya watahiniwa hao wavulana ni 535,138 sawa na asilimia 45.65 na wasichana ni 637,141 sawa na asilimia 54.35. Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta),…