Watalii wa nje waongoza utalii wa puto hifadhi ya Taifa Ruaha, wazawa wasuasua
Iringa. Utalii wa puto ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Ruaha mkoani Iringa umeonekana kupata umaarufu kwa wageni kutoka mataifa ya nje huku wazawa wakiendelea kuwa wachache. Akizungumza na Mwananchi Digital Septemba 5, 2025 katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha iliyopo mkoani Iringa, Meneja wa kituo cha balloon safari Ruaha, Vincent Kavaya amesema kuwa hadi…