Rekodi za Mapato, Gawio la Wanahisa NMB vyatikisa Kongamano la Uwekezaji Z’bar

NA MWANDISHI WETU, PEMBA  BENKI ya NMB imewahakikishia wawekezaji wadogo, wa kati na wakubwa walioshiriki Kongamano la Uwekezaji Zanzibar lililoratibiwa na Mamlaka ya Uwekezaji Zanzibar (ZIPA), kuwa iko imara kifedha kuwawezesha kushiriki Mapinduzi ya Kiuchumi visiwani humo na Tanzania kwa ujumla. Uthibitisho wa uimara wa NMB ni kuingia kwa benki hiyo katika Klabu ya Kampuni…

Read More

Straika Pamba alalamikiwa TFF | Mwanaspoti

BAADA ya Pamba Jiji kukamilisha usajili wa aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Kagera Sugar, Peter Lwasa, raia wa Uganda taarifa mpya ni nyota huyo atafunguliwa mashtaka Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji (TFF), kwa sababu ya kupinga agizo la waajiri wake. Iko hivi. Kager iliyoshuka daraja kutoka Ligi Kuu na kwenda Ligi ya Championship, ilifikia…

Read More

TANZANIA NA UTURUKI ZAWEKA LENGO KUBWA LA KIBIASHARA

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo,na Kaimu Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Bw. Ali Goktug IPEK,wakibadilishana Mkataba mara baada ya kusaini Azimio la Kamati ya Pamoja ya Biashara (JTC) kati ya Tanzania na Uturuki hafla iliyofanyika leo Julai 23,2025 jijini jijini Dar es Salaam. Na.Mwandishi Wetu SERIKALI ya Tanzania imeweka malengo makubwa ya…

Read More

DC LULANDALA AKAGUA MABANDA MAONYESHO NANE NANE ARUSHA

Na Mwandishi wetu, Arusha MKUU wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Fakii Raphael Lulandala amekagua mabanda ya maonyesho ya 30 ya kilimo ya nane nane kanda ya Kaskazini yanayofanyika viwanja vya Themi Njiro jijini Arusha na kuridhika na maandalizi yaliyofanyika. Kauli mbiu ya maonyesho hayo kwa mwaka huu wa 2024 ni chagua viongozi wa serikali…

Read More

Fanya haya kurudi kwa mpenzi mliyetosana

Dar es Salaam. Ni ukweli usiopingika kwamba mara nyingi wapenzi waliopendana wanaweza kuachana, tena katika hali ngumu na ya maumivu sana. Katika kuachana huku wapenzi hawa wanaweza kuchukiana sana, kusemeana maneno mabaya sana, kutukanana na hata kuaibishana mbele ya wengine. Sio kitu cha kushangaza baada ya muda mrefu au hata muda mfupi ukasikia wapenzi hawa…

Read More