Tanzania kurejesha hekta milioni 5.2 mwaka 2030

Arusha. Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imejipanga kurejesha hekta milioni 5.2 za ardhi iliyoharibika ifikapo mwaka 2030, kama sehemu ya jitihada za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kuboresha uhifadhi. Lengo ni kurejesha uoto wa asili katika maeneo mbalimbali yaliyopoteza misitu ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, kuimarisha biaonuwai na kuboresha maisha ya…

Read More

Dkt. Mwinyi Aahidi Masoko Mapya Matano kwa Wafanyabiashara Zanzibar

MGOMBEA wa Urais wa Zanzibar kupitia CCM, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kujenga masoko makubwa mapya matano ili kuwawezesha wafanyabiashara kufanya shughuli zao katika mazingira bora zaidi. ✅ Maeneo mapya: Kinyasini, Mwera, Kibandamaiti, Kisauni na Kwahajitumbo 
✅ Kupunguza msongamano na kodi kubwa kwa wafanyabiashara 
✅ Kuendeleza biashara na uchumi wa Zanzibar Rais Dkt. Mwinyi amewaomba…

Read More

Sababu mmoja kati ya wanne kupata mimba utotoni zatajwa

Dodoma. Wakati msichana mmoja kati ya wanne akipata mimba kati ya miaka 15-19, wataalamu wa afya wamesema ukimya wa wazazi, jamii na malezi yasiyofaa ndio chanzo cha wengi kuingia katika janga hilo. Wameeleza kuwa kutokujua ni lini mzazi aanze kuzungumza na kijana wake wa kike, kiume kuhusu afya ya uzazi huchangia mtoto kupata elimu isiyofaa…

Read More

Burudani zatawala nje kwa Mkapa

ACHANA na burudani inayotarajiwa kutolewa baadaye na Simba, lakini hivi sasa nje kuna vaibu lingine linaloendelea kwenye maeneo tofauti karibu na Uwanja wa Mkapa. Leo ni kilele cha wiki ya Simba Day ambayo hutambulisha wachezaji wapya na benchi la ufundi ikitaambatana na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali na mechi ya kirafiki. Kuna kikundi cha mashabiki…

Read More

    Haya yatamuepusha mtoto kuzaliwa na maradhi ya moyo

    Mwanza/Dar. Wakati takwimu zikionesha kuwa idadi ya watoto wanaozaliwa na magonjwa ya moyo ikiongezeka, watalaamu wa afya wametoa angalizo kwa wajawazito kuhakikisha wanapata virutubisho, kuepuka matumizi ya pombe na sigara kwa kuwa ndio vyanzo vikuu vinavyochangia maradhi hayo kwa watoto. Takwimu za kitaifa zinaonesha kuwa katika kila watoto 100 wanaozaliwa, wawili huwa na tatizo la…

    Read More

    Fadlu anadaiwa makombe Simba | Mwanaspoti

    “SIMBA msimu uliopita tulitengeneza msingi lakini msimu huu ni wa kushinda makombe, dirisha la usajili limeshafungwa, nawaamini sana wachezaji wangu wote na nimefurahishwa na kikosi changu. Kama kocha nitapambana na kikosi hiki kutengeneza timu yenye ushindani msimu huu.” Hayo ni maneno ya Kocha Mkuu wa Simba, Fadluraghman “Fadlu” Davids aliyoyasema mbele ya waandishi wa habari,…

    Read More

    TBS YATOA LESENI 129 KWA WAZALISHAJI KANDA YA MAGHARIBI

    SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Magharibi imefanikiwa kutoa leseni 129 kwa wazalishaji wa bidhaa katika kanda hiyo, huku leseni 99 kati ya hizo zikitolewa kwa wajasiriamali wadogo. Akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya TBS katika sekta ya viwanda, Meneja wa TBS wa Kanda hiyo, Bw. Hamisi Seleleko amesema hatua hiyo inaonesha…

    Read More