FCC YAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTOAJI HUDUMA KWA WANANCHI
Tume ya Ushindani (FCC) imeweka mikakati mbalimbali ya kuimarisha utoaji wa huduma bora kwa wananchi kwa wakati, kupitia matumizi ya mifumo ya kisasa katika utekelezaji wa majukumu yake. Akizungumza wakati wa kikao kazi na watumishi wa Tume hiyo kwa lengo la kupanga mikakati ya utekelezaji wa majukumu, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa FCC, Bi. Khadija Ngasongwa,…