ATIDI Yajadili Uwekezaji wa Dola Bilioni 7.8 Tanzania

 Waziri wa Fedha wa Tanzania, Khamis Mussa Omar umza wakati wa mkutano huo uliofanyika leo Machi 26, 2026 jijini Dar es Salaam wakati kujadiliana juu ya uwekezaji na biashara yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 7.8 nchini Tanzania katika mkutano wa Bodi ya taasisi hiyo. AFRICAN Trade & Investment Development Insurance (ATIDI) imejadili uwekezaji na…

Read More

Mafuriko yakata barabara ya Ifakara – Mlimba

Kilombero. Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Dunstan Kyobya amesema mvua kubwa iliyonyesha usiku wa Machi 24 imesababisha kukatika kwa barabara kuu ya Ifakara – Mlimba katika maeneo ya Mbingu, Chita na Njage, hali iliyosababisha magari, yakiwemo mabasi ya abiria kushindwa kupita. Akizungumza baada ya kukagua miundombinu ya barabara hiyo iliyoharibika leo Alhamisi Machi 26, 2026,…

Read More

Husain kortini akidaiwa kuiba na kutakatisha cha Sh5 bilioni

Dar es Salaam. Mhasibu Hamid Husain (39) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka 43 yakiwemo ya kughushi stakabadhi za kawaida za malipo,  kutakatisha fedha na kuiba Sh5 bilioni. ‎Mshtakiwa huyo anadaiwa kughushi stakabadhi hizo kwa kuonyesha ni nyaraka halali na zimetolewa na Halmashauri ya Manispaa ya Temeke na zimepokea malipo tofautitofauti…

Read More

Kipanga yazitaka alama tatu za Zimamoto FC

UTAMU wa Ligi Kuu Zanzibar unarudi kesho Jumamosi Machi 28, 2026, ambapo Mafunzo itatoana jasho na KVZ huku Kipanga ikivaana na Zimamoto, keshokutwa Jumapili Machi 29, 2026. Akizungumza na Mwanaspoti, Kocha Mkuu wa Kipanga, Khamis Hassan Makame, amesema wamejiandaa kuhakikisha wanaibuka na ushindi dhidi ya Zimamoto baada ya kushuhudiwa mzunguko wa kwanza zikitoka suluhu. Kocha…

Read More

Stars yaanza kwa kipigo FIFA Series 2026

Taifa Stars imecheza mchezo wake wa kwanza wa Michuano ya Fifa Series na imepoteza kwa bao 1-0 dhidi ya nchi ndogo kisoka Liechtenstein. Mchezo huu ulioanza taratibu huku Stars ikipoteza nafasi nyingi za wazi kipindi cha kwanza ulifanya kwenye Uwanja wa Pele nchini Rwanda na kuhudhuriwa na mashabiki wa wastani. Hii ni mara ya pili…

Read More

Simulizi ya manusura maafa Rungwe, vifo vikiongezeka

Mbeya. Simanzi, vilio na majonzi vimetanda katika Kata za Lupepo na Nkunga wilayani Rungwe mkoani Mbeya, kufuatia maporomoko ya ardhi yaliyosababisha vifo vya watu 20 na kuacha majeruhi watano, baada ya mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali kunyesha usiku wa kuamkia Machi 25, 2026. Awali, taarifa zilieleza kuwa watu 18 walipoteza maisha katika tukio hilo,…

Read More