SERIKALI YAFAFANUA HATUA ZA KUDHIBITI MIKOPO YENYE RIBA KUBWA

Na. Chedaiwe Msuya na Jordan Mbwambo WF, Dodoma. Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Mhandisi Mshamu Ali Munde (Mb), amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua mbalimbali kudhibiti mikopo yenye riba kubwa ili kulinda wananchi dhidi ya mikopo hatarishi, ikiwemo kuimarisha usimamizi wa sekta ya fedha kupitia Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Mhe. Munde alitoa kauli hiyo bungeni…

Read More

Makonda: Wananchi changamkieni fursa za miradi ya maendeleo

Arusha. Mbunge wa Arusha Mjini, Paul Makonda, amewataka wananchi wa Arusha Mjini kuchangamkia fursa za kiuchumi zinazotokana na utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali, ukiwemo ujenzi wa stendi ya kisasa ya mabasi inayojengwa katika Kata ya Olasiti, maarufu kama Bondeni City. Makonda, ambaye pia ni Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, ametoa wito…

Read More

MIAKA 49 CCM,UWT WATOA MAHITAJI KWA WANAWAKE NA WATOTO NJITI YENYE THAMANI YA MILIONI 20.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma  Katika shamra shamra za kuelekea Maadhimisho ya miaka 49 ya kuzaliwa Chama cha Mapinduzi Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)wametoa mahitaji mbalimbali kama vile vitanda,sabuni,kanga na kitanda maalum cha joto kwa watoto njiti na wanawake wanaojifungua katika hospital ya Mkoa wa Dodoma. Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo Suzan Kunambi amesema kuwa…

Read More

Polisi Arusha yazungumzia Mbwambo wa fedha za Lissu

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi mkoani Arusha linaendelea kumshikilia kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Fredrick Mbwambo, kwa tuhuma za wizi wa fedha zilizochangwa kwa ajili ya kumsaidia mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu. Mbwambo alikamatwa siku nane zilizopita baada ya jeshi hilo kupokea malalamiko kutoka kwa kaka yake Lissu, Alute Mughwai,…

Read More