Sendiga akemea watoto kunyimwa fursa ya elimu

Simanjiro. Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amekemea kitendo cha wazazi na walezi wanaowazuia watoto wao wa kiume kwenda shule, badala yake kuwageuza wachungaji wa mifugo.  Amesema nyakati hizi si za wazazi kupuuzia elimu kwa watoto wao badala yake wawe mstari wa mbele kuwahimiza kuipenda. Sendiga amesema hata watoto wa kike nao  wananyimwa fursa…

Read More

KONGAMANO LA 12 LA SAYANSI MUHAS KUFANYIKA JUNI 27 NA 28.

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv CHUO cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kinatarajia kufanya kongamano lake la 12 la Kisayansi litakalojadili tafiti mbalimbali hususan zile zenye majibu ya magonjwa yasiyoambukiza. Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Appolinary Kamuhabwa amesemwa hayo leo Juni 24, 2024 wakati akizungumza na waandishiwa habari juu ya kongamano hilo la…

Read More

Mzambia kunogesha mbio za magari Tanga

DEREVA muongozaji (navigator) kutoka Zambia, David Sihoka ni mmoja wa magwiji wa mbio za magari  wa daraja la juu barani Afrika wanaotegemewa kunogesha mashindano ya mbio za magari ya Advent yatakayofanyika jijini Tanga katikati ya mwezi ujao. Sihoka, amekuwa akimuongoza dereva Muna Singh wa Zambia kwa zaidi ya muongo mmoja sasa, safari hii atakuwa na…

Read More

Gambo, Makonda uso kwa uso mbele ya Katibu Mkuu CCM

Arusha. Katika kile kinachoonekana kama juhudi za viongozi wa juu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushusha mvutano wa kisiasa kati ya Mbunge wa sasa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ambaye anatajwa kuweka nia yake kulitwa jimbo hilo. Mapema leo, Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel…

Read More