Wanafunzi wabuni mifumo ya kupunguza foleni na ajali za bodaboda
Dar es Salaam. Katika juhudi za kutatua changamoto zinazolikumba Jiji la Dar es Salaam na maeneo mengine nchini, wanafunzi wa shule za sekondari wameibuka na bunifu za kiteknolojia zenye lengo la kupunguza foleni pamoja na ajali zitokanazo na bodaboda. Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Chang’ombe jijini Dar es Salaam wamebuni mfumo walioupa jina la Digital…