Fei Toto, Yanga kimeeleweka | Mwanaspoti

KUNA furaha inaendelea Jangwani yalipo Makao Makuu ya Klabu ya Yanga, hiyo ni baada ya kubeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya nne mfululizo na ya 31 kihistoria. Wakati furaha hiyo ikishamiri, kuna jambo lingine limeibuka ambalo linanogesha kile kinachoendelea katika klabu hiyo, hili linahusu usajili. …

Read More

Namibia yapata Rais wa kwanza mwanamke – DW – 04.12.2024

Ushindi huo unamfanya Nandi-Ndaitwah kuwa Rais wa kwanza mwanamke katika taifa hilo la Kusini Magharibi mwa Afrika. Matokeo yaliyotangazwa Jumanne na tume ya taifa ya uchaguzi ya Namibia yanaonesha kuwa makamu wa Rais Netumbo Nandi-Ndaitwah ameshinda katika uchaguzi huo kwa kupata asilimia 58 ya kura zilizopigwa baada ya zaidi ya asilimia 91 ya kura kuhesabiwa….

Read More

Rufaa yawanusuru wawili waliohukumiwa kuwaua wanandoa

Arusha. Mahakama ya Rufani imewaachia huru wakazi wawili wa Mkoa wa Mara, waliohukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kuwaua wanandoa. Walioachiwa huru ni Mwita Magori na Nyamahonge Joseph ambao walihukumiwa adhabu hiyo baada ya kukutwa na hatia ya kuwaua wanandoa ambao ni Mgosi Chacha na Mtongori Mwita, kisha…

Read More

NAIBU WAZIRI WA AFYA AAGIZA KUONGEZEWA KWA RASILIMALI KATIKA MPAKA WA TUNDUMA KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, ametoa agizo kwa uongozi wa mkoa wa Songwe kuongeza nguvu katika rasilimali watu na vifaa kwa ajili ya kuimarisha udhibiti wa magonjwa ya mlipuko, ikiwa ni pamoja na ugonjwa wa Mpox. Katika ziara yake ya kikazi kwenye forodha ya mpaka wa Tunduma mnamo Agosti 22, 2024, Dkt. Mollel…

Read More

Namibia kuongozwa na mwanamke? | Mwananchi

Windhoek. Chama tawala cha Namibia, Swapo, kinaendelea kuongoza katika kura zinazoendelea kuhesabiwa kufuatia uchaguzi wa urais na Bunge uliofanyika Jumatano iliyopita Novemba 27. Mgombea kupitia tiketi ya Swapo, Netumbo Nandi-Ndaitwah anatarajiwa kuibuka mshindi kutokana na kuongoza katika kura. Hadi sasa Tume ya Uchaguzi ya Namibia (ECN) imeonesha Nandi-Ndaitwah anaongoza kwa kura za urais kwa asilimia…

Read More