Mtanzania aitaka rekodi Misri | Mwanaspoti

BAADA ya kusaini mkataba wa miezi sita wenye kipengele cha kuongeza, mshambuliaji wa Kitanzania, Oscar Evalisto amesema anatamani kuandika historia ya kufunga mabao akiwa na Makadi FC ya Misri. Evalisto alisajiliwa hivi karibuni na timu hiyo inayoshiriki Ligi Daraja la Pili nchini Misri akitokea Mlandege FC ya Zanzibar. Mshambuliaji huyo alikuwa kwenye kikosi cha Mlandege…

Read More

CHAN 2024: Benni McCarthy aipiga kijembe Taifa Stars

KOCHA wa Kenya, Benni McCarthy ametoa kauli inayoonekana kama ni kijembe kwa Taifa Stars ya Tanzania, huku akisisitiza wanapaswa kujipanga kikamilifu kwa mechi ya robo fainali ya mashindano ya CHAN 2024 dhidi ya Morocco ambayo wao waliifunga katika makundi. Kenya iliibuka kinara wa Kundi A lililojulikana kama ‘kundi la kifo’ ambalo pia lilihusisha Morocco na…

Read More

Mashine kusaidia uuzaji vinywaji bila muuzaji

Dar es Salaam. Ili kuweka urahisi wa ufanyaji wa biashara pasipo uwepo wa watu, mbinu mpya na rahisi imebuniwa itakayofanya biashara kujiendesha kidigitali. Mbinu hiyo inaweza kuwa ahueni kwa wauzaji wa vinywaji ikiwemo juisi, bia, maziwa au maji katika maeneo mbalimbali nchini. Hiyo ni baada ya kutengenezwa kwa mashine mfumo wa ‘ATM’ ambayo mtu anaweza…

Read More

Ouma aingiwa na ubaridi,  aomba muda zaidi Coastal

KOCHA Mkuu wa Coastal Union Mkenya, David Ouma amesema kichapo cha mabao 5-2, ambacho timu hiyo imekipata dhidi ya Azam FC hakijawatoa katika mstari huku akiweka wazi anahitaji muda zaidi wa kutengeneza timu imara. Ouma amekumbana na kichapo hicho katika mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii, iliyopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex…

Read More

Wazazi chungeni watoto wasiwaharibie ndoa

Canada. Japo watoto ni neema katika ndoa, wana changamoto tena nyingi tu. Si watoto tu. Hata mafanikio yawe ya elimu na mali, vyote vina changamoto zake. Katika kuzingatia na kulijua hili, leo, tutadurusu visa viwili vilivyowaletea changamoto na mtihani wanandoa karibia wakosane kutokana na kuharibika au kuharibikiwa kwa watoto wao. Katika kisa cha kwanza binti…

Read More

Wizi mitandaoni bado  tatizo | Mwananchi

Dodoma. Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Maryprisca Mahundi, amesema ukuaji wa teknolojia umekuja na fursa na changamoto zake, ikiwamo wizi wa mitandaoni ukihusisha Simbanking. Mahundi amebainisha hayo leo Mei 12, 2025 bungeni Dodoma akieleza kwamba watumiaji wa huduma za mawasiliano wamekuwa wakifanyiwa hadaa na kujikuta wametapeliwa fedha zao mtandaoni. Kwa mujibu wa…

Read More

RAIS MWINYI:NIMERIDHIKA NA KAZI YA ZPDB

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameeleza kuridhishwa kwa utoaji na usimamizi wa vipaumbele vyote kwa sekta za umma hasa kwa miradi ya kimkakati. Amesema, usimamizi huo unalenga kuhakikisha wananchi wanapata huduma zinazotolewa na kuhakikisha utoaji huduma bora katika maeneo yote ya vipaumbele zikiwemo Elimu, Miundombinu, Uwezeshaji sekta…

Read More