Askofu Mapunda asisitiza haki kuelekea uchaguzi mkuu

Mbeya. Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Singida, Edward Mapunda amewatahadharisha Watanzania kutorubuniwa kwa rushwa na kuomba haki itendeke kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29 mwaka huu wa kuchagua  Rais, Wabunge na Madiwani na kusisitiza atakayeshinda ashinde kwa haki. Hatua hiyo imetajwa ni kuhepusha  migogoro sambamba na kusisitiza  watakao shindwa wakubali  matokeo  ili kulinda amani ya…

Read More

Mechi tano zatibua mambo Mbeya City

MWENENDO usioridhisha wa Mbeya City kwa sasa katika mechi za Ligi Kuu msimu huu, zimemweka kwenye wakati mgumu kocha wa timu hiyo, Mecky Maxime, huku presha ikizidi zaidi baada ya juzi kikosi hicho kuchapwa bao 1-0, dhidi ya Fountain Gate. Mechi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Sokoine jijini, Mbeya, Mbeya City ilishindwa kutamba nyumbani na…

Read More

New Stone na mtego wa kuepuka kushuka daraja ZPL

LICHA ya timu ya New Stone Town kuvuna alama tatu kwenye michezo 20 iliyocheza, bado ina matumaini ya kubaki salama katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), huku hesabu zao ni kushinda mechi 10 zilizobaki. Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mussa Bajaka alisema endapo watashinda mechi hizo, watakuwa na alama 33 katika msimamo, ambao utawapandisha nafasi za…

Read More

Mbegu za asili zaidi ya 1,000 zimeingizwa kwenye mfumo rasmi

Dodoma. Serikali imesema kuwa hadi sasa imefanikiwa kutunza mbegu za asili zaidi ya aina 1,000 ambazo zimeingia kwenye mfumo rasmi ili kuwawezesha wakulima kulima kilimo hai na kutunza mazingira katika mtindo wa ikolojia. Aidha kupitia Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (Tari) wizara imefanikiwa kukusanya, kusafisha na kuhifadhi jumla ya mbegu za asili 770 katika mazao…

Read More

Pacome afungua code Yanga, amtaja Mfaransa

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua jioni ya jana alikuwa Angola kucheza mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wiliete Banguela, lakini mapema alitoa kauli ya kibabe kwa timu pinzani zitakazokutana na wababe hao wa Tanzania katika michuano yote. Nyota huyo aliyeifunga Simba kwa mara ya tatu katika mashindano tofauti, alisema kwa…

Read More