JUMUIYA YA WAZAZI CCM MKOA WA DAR ES SALAAM YAADHIMISHA MIAKA 49 YA CCM KWA KAZI ZA KIJAMII TEMEKE
Dar es Salaam 02 Februari, 2026 Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam leo tarehe 02 Februari, 2026, imeungana na wanaCCM na wananchi kwa ujumla kuadhimisha kilele cha miaka 49 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi, kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii katika Wilaya ya Temeke. Katika maadhimisho hayo…