Mkandala ajifungia kuirejesha Coastal kibabe
KIUNGO mshambuliaji wa Coastal Union, Cleophas Mkandala amesema licha ya kiwango bora alichonacho kwa sasa, lakini hafurahishwi na matokeo ya jumla ya timu hiyo akikiri kuwa inahitajika nguvu ya ziada kujiweka pazuri. Pia staa huyo ameelezea kwamba, matarajio yake ni kuona Coastal Union ikimaliza Ligi Kuu Bara msimu huu nafasi sita za juu kwenye msimamo….