Mkandala ajifungia kuirejesha Coastal kibabe

KIUNGO mshambuliaji wa Coastal Union, Cleophas Mkandala amesema licha ya kiwango bora alichonacho kwa sasa, lakini hafurahishwi na matokeo ya jumla ya timu hiyo akikiri kuwa inahitajika nguvu ya ziada kujiweka pazuri. Pia staa huyo ameelezea kwamba, matarajio yake ni kuona Coastal Union ikimaliza Ligi Kuu Bara msimu huu nafasi sita za juu kwenye msimamo….

Read More

Mkandala ajifungia kuirejesha Coastal kibabe

KIUNGO mshambuliaji wa Coastal Union, Cleophas Mkandala amesema licha ya kiwango bora alichonacho kwa sasa, lakini hafurahishwi na matokeo ya jumla ya timu hiyo akikiri kuwa inahitajika nguvu ya ziada kujiweka pazuri. Pia staa huyo ameelezea kwamba, matarajio yake ni kuona Coastal Union ikimaliza Ligi Kuu Bara msimu huu nafasi sita za juu kwenye msimamo….

Read More

Watoto 123,000 wa kaya maskini wasaidiwa Kilimanjaro

Arusha. Zaidi ya watoto na vijana 120,000 wanaoishi katika kaya zenye mazingira magumu nchini wamepata msaada wa huduma za elimu, afya na ustawi wa familia baada ya Shirika la Compassion International Tanzania kutumia zaidi ya Sh119.7 bilioni katika mwaka wa fedha 2025/2026. Fedha hizo zimeelekezwa katika miradi na programu mbalimbali za maendeleo zinazolenga kuimarisha ustawi…

Read More

Watatu mbaroni Njombe Tuhuma za kuuza mbolea feki

Njombe. Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kuchakachua mbolea na kuwauzia wakulima mbolea bandia katika Halmashauri ya Mji wa Makambako, huku mfanyabiashara mmoja akitafutwa na polisi akidaiwa kuhusika katika mtandao huo. Watuhumiwa hao wanadaiwa kubadilisha mbolea aina ya Fomi na kuipakia katika mifuko ya mbolea aina ya DAP kisha…

Read More

Marekani kuivamia upya Iran mazungumzo yakishindikana

Mvutano kati ya Marekani na Iran umechukua sura mpya baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kuanza kujiandaa kwa uvamizi wa ardhini kufuatia Tehran kukataa mpango wa amani uliowasilishwa hivi karibuni. Kwa mujibu wa taarifa za kijeshi, Marekani imetuma wanajeshi karibu 7,000 katika ukanda wa Mashariki ya Kati, wakiwemo askari wa anga kutoka kikosi cha…

Read More

Sh2 bilioni kuzawadiwa wateja wa CRDB

Dar es Salaam. Ikiendeleza hamasa ya kuwajumuisha Watanzania katika huduma za kidijitali, Benki ya CRDB imetenga Sh2 bilioni zitakazotolewa kama zawadi kwa wateja wake watakaoibuka kinara katika matumizi ya huduma za SimBanking. Kiasi hicho cha fedha kilichotengwa kimetangazwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo alipozindua msimu wa sita wa kampeni ya…

Read More

Tume Yakanusha Uvumi wa Usajili wa CCTV kwa Watu Binafsi

Global Publishers March 25, 2026 0 Comments Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imebaini kuwepo kwa taarifa zisizo sahihi zinazosambazwa mitandaoni zikidai kuwa kila mwenye kamera za usalama (CCTV) anatakiwa kujisajili na Tume hiyo. Kupitia ufafanuzi wake, PDPC imeeleza wazi kuwa siyo kweli kwamba kila mtu binafsi mwenye CCTV anatakiwa kujisajili. Kwa mujibu wa…

Read More

Aliyeshtakiwa kwa kumuua mama yake wa miaka 83,aachiwa

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Bukoba imemwachia huru Deus Boniphace, baada ya kujiridhisha kuwa ushahidi wa upande wa mashtaka haukutosha kuthibitisha bila shaka yoyote kuwa ndiye aliyemuua mama yake mzazi, Cricencia Boniphace (83). Deus alikuwa akikabiliwa na shtaka la mauaji yaliyodaiwa kutokea Mei 22, 2024 katika Kijiji cha Kihinda, wilayani Kyerwa, ambapo alidaiwa kumshambulia…

Read More