Pesa yako tu mastaa hawa wapo sokoni
MNA hela? Je, klabu yako inahitaji mashine mpya ili kuimarisha kikosi kupitia dirisha dogo? Kama ndio, basi usikonde, maana kuna mastaa kadhaa wa klabu za Ligi Kuu Bara ambao mikataba yao ipo ukingoni na unaweza kuwanasa kupitia dirisha dogo litakalofunguliwa Januari, 2026. Ndio, zikiwa zimebaki takribani siku 15 kabla ya dirisha hilo kufunguliwa, kuna mastaa…