NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KATIKA kipindi cha uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita, Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu-ADEM imeendesha programu za

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma imewatia wadaawa katika shauri la maombi ya Kikatiba, lililofunguliwa na baadhi ya waumini wa Kanisa la Glory

Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imezindua rasmi mfumo mpya wa kukusanya taarifa za fedha zilizokwisha kukaguliwa na Wakaguzi wa

Kishapu. Hati miliki za kimila 1,200 zimetolewa kwa wananchi wa vijiji vya Idukilo na Mwaduo Lohumbo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, ikiwa ni juhudi za Serikali

Morogoro. Watu wawili wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa katika ajali ya gari lililokuwa likisafirisha maiti, iliyotokea katika Kijiji cha Badilo kilichopo katika Halmashauri ya

Dar es Salaam. Serikali imewataka wawekezaji kutoka Urusi kuchangamkia fursa za uwekezaji zilizopo nchini, hususan katika maeneo ya kimkakati kama gesi asilia, uzalishaji wa simu

Waziri wa maji Mh.Jumaa Aweso (Mb) amewatoa hofu wakazi wa mikoa ya Dar na Pwani kuhusu upatikanaji wa huduma ya majisafi mara baada ya kutembelea

Arusha. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amezishauri nchi za Afrika zinapowekeza kwenye miradi ya miundombinu kupitia mifuko ya hifadhi ya jamii, kuwekeza kwenye miradi

KIKOSI cha Simba kinaendelea kupiga hesabu ya kuingiza mashine mpya na kuzitema zile ambazo hazina mipango nayo kwa msimu ujao, lakini kuna kiungo mshambuliaji mmoja

Tunduru. Kuvuna tembo na kupitia upya mipaka ya hifadhi ni miongoni mwa mambo yatakayotekelezwa na Chama cha ACT –Wazalendo, ili kupunguza changamoto ya uharibifu wa