Mvua yaua 18 Mbeya, wamo watoto 14
Mbeya. Mvua kubwa inayoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini imesababisha maafa ya vifo vya watu 18 kati yao 14 ni watoto Kata ya Nkunga, Lupepo, Kawetele na Ikuti wilayani Rungwe. Vifo hivyo vimetokea kati ya saa 6 hadi 9:30 usiku wa kuamkia leo Jumatano, Machi 25, 2026 baada ya mvua iliyokuwa na upepo kusababisha nyumba zaidi…