Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy
Habari

ADEM Yasukuma Mageuzi ya Uongozi wa Elimu kwa Mafunzo ya Kitaifa

July 10, 2025 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KATIKA kipindi cha uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita, Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu-ADEM imeendesha programu za

Read More
Habari

Mahakama yawaita kwa dharura wadaawa kesi ya waumini Kanisa la Gwajima

July 10, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma imewatia wadaawa katika shauri la maombi ya Kikatiba, lililofunguliwa na baadhi ya waumini wa Kanisa la Glory

Read More
Habari

NBAA YAZINDUA MFUMO WA KUKUSANYA TAARIFA ZA FEDHA ILI KUSAIDIA WADAU KUFANYA MAAMUZI SAHIHI

July 10, 2025 Admin

Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imezindua rasmi mfumo mpya wa kukusanya taarifa za fedha zilizokwisha kukaguliwa na Wakaguzi wa

Read More
Habari

Hati miliki za kimila 1,200 zatolewa Kishapu

July 10, 2025 Admin

Kishapu. Hati miliki za kimila 1,200 zimetolewa kwa wananchi wa vijiji vya Idukilo na Mwaduo Lohumbo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, ikiwa ni juhudi za Serikali

Read More
Habari

Wawili wafariki ajali ya gari lililokuwa likisafirisha maiti

July 10, 2025 Admin

Morogoro. Watu wawili wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa katika ajali ya gari lililokuwa likisafirisha maiti, iliyotokea katika Kijiji cha Badilo kilichopo katika Halmashauri ya

Read More
Habari

Tanzania yaiita Urusi kuwekeza kwenye gesi, uzalishaji simu janja na teknolojia

July 10, 2025 Admin

Dar es Salaam. Serikali imewataka wawekezaji kutoka Urusi kuchangamkia fursa za uwekezaji zilizopo nchini, hususan katika maeneo ya kimkakati kama gesi asilia, uzalishaji wa simu

Read More
Habari

WAZIRI AWESO AWATOA UHAKIKA WA MAJI DAR NA PWANI

July 10, 2025 Admin

Waziri wa maji Mh.Jumaa Aweso (Mb) amewatoa hofu wakazi wa mikoa ya Dar na Pwani kuhusu upatikanaji wa huduma ya majisafi mara baada ya kutembelea

Read More
Habari

Mpango atoa neno uwekezaji kutumia fedha za mifuko ya hifadhi

July 10, 2025 Admin

Arusha. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amezishauri nchi za Afrika zinapowekeza kwenye miradi ya miundombinu kupitia mifuko ya hifadhi ya jamii, kuwekeza kwenye miradi

Read More
Michezo

Fadlu ashikilia faili la kiungo Mkongo

July 10, 2025 Admin

KIKOSI cha Simba kinaendelea kupiga hesabu ya kuingiza mashine mpya na kuzitema zile ambazo hazina mipango nayo kwa msimu ujao, lakini kuna kiungo mshambuliaji mmoja

Read More
Habari

ACT­-Wazalendo yazngumzia tembo wanaoharibu mazao, wataja mkakati kukabiliana nayo

July 10, 2025 Admin

Tunduru. Kuvuna tembo na kupitia upya mipaka ya hifadhi ni miongoni mwa mambo yatakayotekelezwa na Chama cha ACT –Wazalendo, ili kupunguza changamoto ya uharibifu wa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 19 20 21 … 3,721 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.