Dk Mwigulu aonya watumishi kupangisha vizimba wafanyabiashara

Arusha. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, ametoa onyo kwa baadhi ya watumishi wa umma wanaojihusisha na tabia ya kukodisha maduka au vizimba kwa wafanyabiashara kwenye masoko, kinyume na utaratibu. Ameagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha kusimamia sensa ya wafanyabiashara waliokuwa na vizimba katika soko la Kilombero, ili ujenzi utakapokamilika wapewe kipaumbele cha kwanza….

Read More

Wauza video za tamthilia, filamu walia na tozo, Serikali yaingilia kati

Mbeya. Wasambazaji na wauzaji wa movies, Muziki na Filamu jijini Mbeya wamelalamikia baadhi ya mawakala wanaopita kukusanya fedha kinyume na utaratibu, wakiomba serikali kuingilia kati ili kunusuru vibarua na usalama wao katika shughuli zao. Imeleezwa kuwa mawakala hao hujitambulisha kutoka Umoja wa wasambazaji Movies ‘Films Distributers’, ambapo hupita kila kibanda kukusanya Sh10,000 kwa kila wiki,…

Read More

Kwa Mkapa ‘full house’ | Mwanaspoti

Baada ya kusuasua kuingia uwanjani mashabiki wa Yanga hadi saa 10:45 Uwanja wa Mkapa ulikuwa umejaa (full house), kutokana na mafuriko ya mashabiki. Licha ya burudani kuanza mapema uwanja ulikuwa na mapengo, lakini hadi kufikia muda huo mashabiki walikuwa wamejaa na kuendelea kuburudika na burudani. Pamoja na uwanja kuonekana kujaa mashabiki wa Yanga wanaonekana kuendelea…

Read More

Watu 4 Wauawa, Wengi Wamejeruhiwa – Global Publishers

Watu wanne wamepoteza maisha na wengine wanane kujeruhiwa baada ya mtu mwenye silaha kushambulia ibada katika Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho huko Grand Blanc Township, Michigan, Jumapili asubuhi, polisi wanasema. Mshukiwa aliuawa na maafisa waliojibu tukio. Mamlaka zimetambua mshukiwa kuwa Thomas Jacob Sanford, 40, ambaye alidaiwa kulipiga…

Read More

Mbeya City ile siku ndo leo

JIJI la Mbeya leo litakuwa lipo bize kutokana na uwepo wa tamasha la kijanja la klabu ya Mbeya City iliyorejea katika Ligi Kuu Bara msimu huu, ikitoka Ligi ya Championship. Wanakomakumwanya leo ni siku yao na ndio maana wanashangweka kupitia Mbeya City Day kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini humo baada ya awali kufanya shughuli mbalimbali…

Read More

TRA yaja na mfumo mpya makusanyo ya kodi

Arusha. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imezindua mfumo mpya wa kielektroniki wa usimamizi wa maarifa (Knowledge Management System) unaolenga kuongeza uwazi na weledi katika ukusanyaji wa mapato. Mfumo huo unatajwa kuongeza ufanisi, uwazi, kupunguza mianya ya rushwa kwa watendaji wasio waadilifu, kuongeza usawa ambapo hakutakuwa na mlipakodi atakayetolewa makadirio makubwa sana au atakayependelewa kwa kutoa…

Read More