WAZIRI MAVUNDE  ASIKILIZA CHANGAMOTO ZA WADAU WA MADINI NCHINI

Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde leo Aprili 22, 2024 jijini Dodoma amekutana na wafanyabiashara wa madini na wachimbaji wa madini kwa lengo la kusikiliza changamoto zinazowakabili kwenye shughuli zao ikiwemo changamoto ya ukosekanaji wa teknolojia ya uchenjuaji wa baadhi ya madini na hivyo kuielekeza Tume kuandaa utaratibu sahihi wa usafirishaji wa madini yaliyongezwa thamani…

Read More

Wiki tatu za jasho Yanga

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC kwa sasa wanaishi kwa kupiga hesabu za vidole kabla ya kutetea ubingwa ambao utakuwa wa 30 tangu kuanzishwa kwa ligi hiyo. Ni wiki tatu za jasho kabla ya Mei 22. Yanga wapo kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo wakiwa na pointi 62 baada ya kucheza mechi 24,…

Read More

Kiama wanaopangisha wachimbaji wadogo | Mwananchi

Dar es Salaam. Serikali imeamua kuja na mwarobaini wa kupunguza migogoro katika sekta ya madini inayohusisha wamiliki wa leseni za uchimbaji  na wachimbaji wadogo. Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari  jijini Dar es Salaam kuhusu miaka minne ya mafanikio ya Rais Samia Suluhu Hassan katika sekta ya madini, Waziri wa Madini, Antony Mavunde,  amesema…

Read More

SHIMIWI NI MAHALA PA KAZI – Bi ZIANA MLAWA

………….. 📌 Asema Wizara ya Nishati ipambane irudi na ushindi 📌 Asema Wizara ya Nishati iwe mfano kwa Wizara zingine Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Nishati, Bi. Ziana Mlawa leo amesema kushiriki michezo mbali mbali inasaidia katika kujenga afya ya mwili na akili hivyo mtumishi anapopata nafasi ya kushiriki michezo yeyote aitumie…

Read More

Hatima kaya 171 zilizokataa uthamini Kigoma kujulikana Aprili 25

Kigoma. Serikali Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma imesema haitofanya uthamini kwa kaya 171 zilizogomea kwa awamu mbili tofauti ili kupisha upanuzi wa hifadhi ya milima ya Mahale inayoendeshwa na Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa), utakaosaidia kulinda ikolojia ya wanyama aina ya sokwe wanaopatikana katika hifadhi hiyo. Pia, imesisitiza kuwachukulia hatua za kisheria wananchi…

Read More

Majaliwa ateta nawaziri wa uchumi wa Urusi.

Waziri mkuu Kassim Majaliwa amekutana na Waziri wa Uchumi na Maendeleo wa Shirikisho la Urusi, Bw. Maxim Reshetnikov na kujadiliana naye masuala mbalimbali yakiwemo yanayogusa biashara, kilimo, usafirishaji, elimu, nishati na utalii. Akizungumza na Waziri Reshetnikov leo (Jumatatu, Oktoba 28, 2024) ofisini kwake Magogoni, jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu amemhakikishia Waziri huyo kwamba Tanzania…

Read More

Zile 10 za Chikola zapata ugumu

NYOTA wa Tabora United, Offen Chikola amekiri ameanza kupata shaka ya kutimiza ndoto zake za kufunga mabao 10 msimu huu ili kuweka rekodi binafsi katika Ligi Kuu Bara iliyopo ukingoni. Mshambuliaji huyo, alisema kwa sasa anakuna kichwa ili kuona anazitumia mechi nne zilizosalia za timu hiyo kufunga mabao matatu na kukamilisha hesabu ya mabao 10,…

Read More