Mgombea ubunge Moshi ataja vipaumbele vyake

Moshi. Mgombea ubunge wa Moshi Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ibrahim Shayo maarufu Ibraline, amewaomba wananchi kumpa ridhaa ya kuwatumikia bungeni ili kuhakikisha hoja za maendeleo ya jimbo hilo zinapewa kipaumbele na si masilahi yake binafsi. Akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo Jumapili Septemba 21, 2025 katika Viwanja vya Netball Reli, Kata ya Njoro,…

Read More

Kauli ya Dk Nchimbi imegusa changamoto za kisiasa Tanzania

Kauli ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Emmanuel Nchimbi ya kwamba; “mambo ya kugombana kivyama siyapendi, naona ni ujinga tu,” imeibua mjadala mpana kuhusu mwenendo wa siasa nchini na wajibu wa viongozi katika kulinda umoja wa kitaifa. Kauli hiyo aliitoa wakati wa salamu za rambirambi kwenye mazishi ya Polycarp Kardinali…

Read More