Someni mikataba msikimbilie kusaini – TIRA

Na Mwandishi Wetu, Arusha Wadau wa Sekta ya Madini nchini wametakiwa kusoma na kuelewa mikataba mbalimbali wanayopewa katika makubaliano kabla ya kuisaini hususani katika taasisi za Bima. Hayo yamesemwa leo Mei 23, 2024 na Meneja wa Kanda ya Kaskazini TIRA, Bahati Ogolla katika Jukwaa la Tatu la Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini linaloendelea…

Read More

NCCR-Magezi yaahidi kutumbua mafisadi kikipewa ridhaa

Kibaha. Mgombea urais kupitia Chama cha NCCR-Magezi, Haji Khamis ameahidi kusimamia maadili ya uongozi na kuwawajibisha viongozi watakaobainika kutumia ofisi za umma kwa manufaa binafsi, endapo atachaguliwa katika uchaguzi mkuu ujao. Akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika Jumatano Septemba 24, 2025 mjini Kibaha, Khamis amesema moja ya changamoto kubwa nchini ni viongozi wa ngazi za utekelezaji…

Read More

Upinzani wataka kauli ya Samia kuenguliwa wagombea

Dar/Mtwara. Vyama vya siasa vya upinzani vimemuangukia Rais Samia Suluhu Hassan, vikimuomba kuingilia kati kuhusu kuenguliwa wagombea wake katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vitongoji na vijiji utakaofanyika Novemba 27, mwaka huu. Jana Ijumaa Novemba 8, 2024 baada ya Tamisemi kuweka orodha ya wagombea walioteuliwa kuwania nafasi hizo, vyama vya upinzani vililalamika kwamba wagombea wao…

Read More

Mastaa Yanga waapa “tutafia uwanjani”

LICHA ya kwamba huku mtaani mashabiki wa Yanga hawana furaha, lakini mastaa wa kikosi hicho wanawataka wasihofu, kwani wale Silver Strikers hawatoki kwa Mkapa, Jumamosi wiki hii. Na katika kuhakikisha kwamba hilo linatimia unaambiwa kwamba tizi linalopigwa kambini kwao kule Avic, Kigamboni, Dar es Salaam si mchezo, huku mzuka ukiwa bab’kubwa. Lakini katika kusherehesha hilo…

Read More

Furahia Michezo Kila Sekunde na Meridianbet Virtuals

HIVI umewahi kujikuta unatamani kuweka jamvi lakini ratiba ya michezo haipo upande wako? Mechi kubwa zimekwisha, au weekend bado haijafika? Sasa huna haja ya kusubiri tena kwa sababu Meridianbet Virtuals imekuja kukupa burudani ya papo kwa papo na ushindi wa haraka kila dakika, kila sekunde. Kwenye ulimwengu huu mpya, kila kitu kinatokea haraka. Hakuna foleni,…

Read More