1,675 watibiwa magonjwa ya ngono Njombe

Njombe. Kaimu Mganga mkuu wa Mkoa wa Njombe Dk David Ntahindwa amesema mwaka 2024 huduma ya uzazi wa mpango ilitolewa kwa vijana balehe wapatao 35,223 (wenye umri kati ya miaka 10 hadi 24) huku zaidi ya 1,600 wakitibiwa magonjwa ya ngono. Takwimu hizo zimetolewa leo Januari 11, 2025 wakati wa mkutano wa Naibu Waziri Ofisi…

Read More

SERIKALI KUJENGA KIWANDA KIKUBWA CHA SUKARI.

Na Oscar Assenga,Pangani. RAIS DKt Samia Suluhu amesema kwamba Serikali inakusudia kujenga Kiwanda Kikubwa cha Sukari eneo la Bandarini Jijini Tanga ili kujitosheleza na mahitaji hapa nchini. Aliyasema hayo February 26,2025 mjini Pangani wakati wa ziara yake ya Wilayani Pangani baada ya kuweka jiwe la Msingi Kwenye barabara ya Tanga-Pangani pamoja na daraja la Mto…

Read More

Bajeti kiduchu kwa vijana, deni la Taifa likipewa kipaumbele

Dar es Salaam. Wakati vijana wakiwa ndiyo nguvu kazi inayotegemewa katika kujenga uchumi shindani, lakini ndilo kundi lililotengewa fedha kiduchu katika bajeti ya Serikali ya mwaka wa fedha 2025/26, huku robo ya bajeti hiyo ikielekezwa kulipa deni la Taifa. Katika bajeti hiyo ya Sh56.49 trilioni, kundi la vijana limetengewa Sh38.4 bilioni, ikiwa ni kiwango kidogo…

Read More

Serikali kuongeza ulizi Kwa Mkapa, kamera 200 kufungwa

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amewaonya mashabiki wa mpira wa miguu wanaofanya vurugu uwanjani akisema watashughulikiwa, kwani Serikali ina ukarabati kwa kuweka kamera zaidi ya 200. Kauli hiyo ameitoa leo Desemba 18, 2024 katika mkutano wa Waziri Wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumza na wadau…

Read More

Asimulia alivyopata ulemavu, kukimbiwa na mke wake

Morogoro. Oktoba 14, 2023 haitasahaulika katika maisha ya Lucas Mhomba, mkazi wa Dumila wilayani Kilosa, Mkoa wa Morogoro. Alivamiwa na watu wasiojulikana akajikuta akipoteza miguu yote miwili na mikono yote. Mhomba (24), akizungumza na Mwananchi anasema alikuwa dereva bodaboda alipofikwa na kadhia hiyo. “Nilikuwa nafanya shughuli zangu hapa Dumila, Oktoba 14 niliamka asubuhi kuendelea na…

Read More